Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,412
- 11,061
Katibu mwenezi wa CCM ndugu Paul Makonda hajafanya kosa lolote kumpa maagizo Waziri Mkuu kutatua changamoto za ardhi, Serikali ipo kwa niaba ya CCM na hao mawaziri wote ni wanachama wa CCM na boss wao ni hio secretariat ya CCM.
Mazombi mnapanic kama vibwengo acheni hizo. Tanzania mmezidi kuwa vichwa vya panzi mnasahau mamlaka ya kiti enzi za Nape akiwa mwenezi.
Acheni wivu Makonda bado yupo sana.
Ni hayo tu tukutane kwenye comments
Wadiz
Mazombi mnapanic kama vibwengo acheni hizo. Tanzania mmezidi kuwa vichwa vya panzi mnasahau mamlaka ya kiti enzi za Nape akiwa mwenezi.
Acheni wivu Makonda bado yupo sana.
Ni hayo tu tukutane kwenye comments
Wadiz