Say no to CHAPUTA

Say no to CHAPUTA

Asanteni wote kwa ushauri, nawafatilia vizuri.. kuhusu kutafuta dem shida ni kuwa bado nina wasiwasi na perfomance yangu niasije kuaibika
wasiwasi wako tu mkuu..
ushajiwekea mawazo ya kutopeform vizuri hebu twist psychology yako ujione we ni mwanaume rijali halafu omba mechi..
mi ni mwanachama mzuri tu wa chaputa na weekend hii nilikua na mechi mkuu asikuambie mtu hapa naona utitiri wa meseji za kusifiwa maana kit.ombo nilichompa anasema hajawahi pewa toa azaliwe
 
Ni jambo la kujipongeza sana nimeondoka CHAPUTA tangu September mwaka huu na sijarudi tena, Ee Mola naomba aniwezeshe niache kabisa ujinga huu niliouanza tangu 2009, unaaibisha sana, kwa wale ambao bado mnaendelea tujitahidi sana kuacha inawezekana "SAY NO TO CHAPUTA", ila pilau ndo nimeshindwa kuacha kuangalia ila nayo kufikia mwaka mpya naamini nitakua nimepiga hatua, tuombeane wandugu.

Karibu wenye shuhuda mbalimbali za kuacha tupeane inspiration, pia tuelekezane jinsi ya kurudisha nguvu na confidence.

KUACHA INAWEZEKANA

Anza kubet utaacha tu
 
Mkuu Jaribu kutafuta demu kidogo kidogo utazoea Kwani practice make perfect, mimi bwana juzi nimeabika pia mtoto kaja gheto usiku nikamwandaa fresh akalainika hatari Ile kuingiza dushe tu wazungu hao na ngoma ikanywea na usingizi hapo hapo, nilijiona mzembe wa hali ya juu, mimi niliacha kupiga nyeto kwa mwaka mzima ila nikawa nachk porn kwa mwezi mara moja huku nikiwa sina demu, lakini cha ajabu mwezi wa kumi na moja nikaanza tena kunyetuka kwa wiki mara moja au mbili, sasa juzi si ndio nikapata demu nikaishia kuabika tu, lakini sitokata tamaa, najua nitakua sawa tu, jamani wale waliopona watupe shuhuda ase maana hii kitu inaumiza sana
Mkuu hapo mi naogopa kutangazwa, ukizingatia nipo chuo hizi habari za kushindwa mechi zikienea si ntakosa pa kujificha.
 
mrudie MUNGU wako sali sana naamin atakusaidia weka nia ya kuacha kabisa
nyeto madhara yake hayatokei papo kwa papo ila inakuathir taratibu kadri siku zinavyozidi kwenda
hupunguza sana uwezo wa kufikiri na kutunza kumbumbu.
epuka kuwa mtumwa wa mwili wako jitahidi sana ku control hisia zako.

Madhara yake mengine ni kuwahi kufika mshindo na kushindwa kuendelea na mashine kusinyaa na hata nukijaribu kuvuta hisia haikubali kusimama

Yapo madhara mengi sana ambayo yatakuja tokea baadae kama ww ni muumin wa hii kitu acha mara moja

mm nimeweza kwa kuitanguliza sala mbele na kuweka nadhir ya kutofanya tena naamin na ww unaweza
kama umeathirika na hii kitu kwanza amua kuachana nayo pia jipe muda kama miezi minne hadi sita ukiwa una
fanya mazoezi ya viungo
una kula karanga
una tumia kitunguu swaumu
una tumia asali

ili kuweza kurudisha uwezo wako wa zaman
 
Ni jambo la kujipongeza sana nimeondoka CHAPUTA tangu September mwaka huu na sijarudi tena, Ee Mola naomba aniwezeshe niache kabisa ujinga huu niliouanza tangu 2009, unaaibisha sana, kwa wale ambao bado mnaendelea tujitahidi sana kuacha inawezekana "SAY NO TO CHAPUTA", ila pilau ndo nimeshindwa kuacha kuangalia ila nayo kufikia mwaka mpya naamini nitakua nimepiga hatua, tuombeane wandugu.

Karibu wenye shuhuda mbalimbali za kuacha tupeane inspiration, pia tuelekezane jinsi ya kurudisha nguvu na confidence.

KUACHA INAWEZEKANA
Jitahidi usirudi tena huko!
 
1: Tafuta mtu uishi naye awe wa kushare naye gharama za chumba (kama unaishi nyumbani mkaribishe kama rafiki).

3: Free time unayoipata jipatie shughuli ya kufanya, kama una laptop tafuta software ya FL ujifunze kutengeneza beats au ya kuedit video, hiyo free time itumie hivyo. Kama unajua home exercises zifanye.

4: Mimi nina sifa zote za kutopendwa na msichana lakini kinachoniongoza ni kua cool na kua relaxed nikiwa mbele ya msichana, huwezi kua cool or funny? Or both?
Sija kusoma hapo kwenye namba nne
 
wasiwasi wako tu mkuu..
ushajiwekea mawazo ya kutopeform vizuri hebu twist psychology yako ujione we ni mwanaume rijali halafu omba mechi..
mi ni mwanachama mzuri tu wa chaputa na weekend hii nilikua na mechi mkuu asikuambie mtu hapa naona utitiri wa meseji za kusifiwa maana kit.ombo nilichompa anasema hajawahi pewa toa azaliwe
hahahhaa Engineer ..mwana ME mwenzanguu...nafataliaa sanaa reply zako..ilaa kwa hii nmechekaa sanaa...
Punyetoo juuuuuu
 
sema pono ndo mchaw wa yote uza smartphone iyo tumia kitochi kwa muda wa miezi 4 iv huku ukiwa na nia ya kuacha alafu uje utupe mrejesho
 
Kuna jamaa yangu anapiga sana na akipata demu anaua kama kawa according to him. Piga nyeto usizidishe Kula vizur kunywa maji mengi mwili uwe na nguvu. Nyeto for life.
 
Kuna jamaa yangu anapiga sana na akipata demu anaua kama kawa according to him. Piga nyeto usizidishe Kula vizur kunywa maji mengi mwili uwe na nguvu. Nyeto for life.

hapana ukipiga sana unakuwa mlemavu
 
Mimi nina ushahidi maana nilipiga mpaka mashine ikawa inesinyaa kama ya mtoto
Nenda kwa wataalam wa kisaikolojia
Mm nimesoma form one hadi Six shule za wanaume tu
Tulikuwa tunapiga nyeto at least mara tatu kwa siku
Tena tunatazamana bafuni au bwenini
Lkn mbna sina tatizo lolote?
Watoto saba mama tofauti
Na sijawahi wa disappoint mbona?
Anyway mm ni mnyakyusa tumejaaliwa kuwa na vilema huku chini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom