Say no to CHAPUTA

Say no to CHAPUTA

kupiga puli ni ulimbukeni tu na kujiendekeza sijawahi kupiga puli mimi na sahv wife kajifungua yupo likizo ya uzazi mwezi unaenda wa 3 sijapiga nje wala kupiga puli its a matter of mindset nawasihi wanaume wenzangu acheni kujiendekeza
 
1.Naishi peke angu
2.Nasoma
3.Free time ni ndogo sana ila naitumia hiyohiyo
4.Sina mpenzi kutokana na woga kwani nilishapata perfomance anxiety nikashindwa kusimamisha nikiwa geto na dem mpaka leo sijarudia.
Hapo ndio kaxi ya nyeto hiyo mpka uone porno kwanza
 
Punyeto HAIWEZI ikakupunguzia nguvu za kupiga mjeredi!Matter of fact punyeto inasaidia kuimarisha misuli ya dushelele na unakuwa na perfomance nzuri sana
Nina watoto 7 mama tofauti na sometimes kama nimekosa windo napiga punyeto toka nikiwa na miaka 16 hadi leo nawajukuu
Ww una ishu zingine tu aisee sio ngunga
nimecheka sana cjui ni muelewe nan
 
Kila mwanaume duniani ashawahi kupiga nyeto.

Nilikuwa muhanga Wa nyeto tangu 2009 hadi 2014 ilinitesa sana na hayo yote ni kwakuwa siku na demu

Kuhusu bao kuja fasta wala usiwe na shaka wanaume huwa tunatofauti dakika kwenye hilo bao la kwanza Ila kuanzia la pili ba kuendelea kama nako ni shida basi utakuwa na tatizo la upungufu Wa nguvu za kiume

Nakushauri acha punyeto acha porn na mapicha ya uchi
.
Kula mbegu za maboga hata 20 kwa siku kwa wiki 2

Tafuta gemu ujipime ufanisi dushe linabidi lizoee joto la K sio mkono

Tafuta gemu zaidi performance itaongezeka

Usiache kula mbegu za maboga ..
 
Kila mwanaume duniani ashawahi kupiga nyeto.

Nilikuwa muhanga Wa nyeto tangu 2009 hadi 2014 ilinitesa sana na hayo yote ni kwakuwa siku na demu

Kuhusu bao kuja fasta wala usiwe na shaka wanaume huwa tunatofauti dakika kwenye hilo bao la kwanza Ila kuanzia la pili ba kuendelea kama nako ni shida basi utakuwa na tatizo la upungufu Wa nguvu za kiume

Nakushauri acha punyeto acha porn na mapicha ya uchi
.
Kula mbegu za maboga hata 20 kwa siku kwa wiki 2

Tafuta gemu ujipime ufanisi dushe linabidi lizoee joto la K sio mkono

Tafuta gemu zaidi performance itaongezeka

Usiache kula mbegu za maboga ..
kweli mkuu....

joto la k ni hatari sana.... ukizoea nyetto alafu ukakutana na lile joto....unaeza eka kichwa tu ukapiga bao
 
Ni jambo la kujipongeza sana nimeondoka CHAPUTA tangu September mwaka huu na sijarudi tena, Ee Mola naomba aniwezeshe niache kabisa ujinga huu niliouanza tangu 2009, unaaibisha sana, kwa wale ambao bado mnaendelea tujitahidi sana kuacha inawezekana "SAY NO TO CHAPUTA", ila pilau ndo nimeshindwa kuacha kuangalia ila nayo kufikia mwaka mpya naamini nitakua nimepiga hatua, tuombeane wandugu.

Karibu wenye shuhuda mbalimbali za kuacha tupeane inspiration, pia tuelekezane jinsi ya kurudisha nguvu na confidence.

KUACHA INAWEZEKANA
Ndio kitu gani hicho CHIPUTA
 
NYONGEZA: Kwa siku hizo chache nilizoacha kupiga nimeona mabdiliko mazuri, uume unasimama vizuri naikiamka asubuhi kitu ambacho kilikua adimu kwangu enzi hizo, naamini na zoezi la kuacha porn likikamilika hali itakua nzuri zaidi, pia napiga vizoezi kidogo asubuhi kabla ya kuwahi daladala push ups 50,squats 50 ,kata tumbo 30 hivi , pia lile la kulala chali na kurusha miguu juu na chini kama mara 30 hivi, tuacheni punyeto jamani ndugu zangu, tuacheee...!!! madhara yapo ingawa sio kwa wote
Natamani nikutane na mwanaume anaepiga nyeto alafu mzigo ushindwe kusimama nione aibu yake inavyokuwa
 
Hongera sana jitahidi kabisa kwa kila njia usirudi huko
 
Duuh.. leo si kidogo nichepuke tena, nimeamka asubuhi nakuta mchizi kasimama dede nikaanza kumshikashika mara nikapaka na lubricant kabisa... ile nataka kuanza si ndo nikakumbuka kumbe nimesharudisha kadi ya CHAPUTA aisee nimeruka fasta nikaamka nikapiga push ups 30 ,squats 50 nikaoga fasta sa sa hz naendelea na shughuli zangu kiroho safi.. tuombeane jamani wandugu hili zoezi ni zito nashukuru nimeshinda hilo jaribu.. ila tusife moyo KUACHA INAWEZEKANA.
 
CHAPUTA==??????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom