heterochromatin
Member
- Dec 4, 2016
- 62
- 54
- Thread starter
- #81
PIPOO HAPPY NEW YEAR..!!! KAMA KAWAIDA TUZIDI KUWASHAWISHI NA WENGINE WARUDISHE KADI.. MWANAUME KUPIGA PULI AIBU JAMANI
Mwiz tu huyo kk analolote!wasiwasi wako tu mkuu..
ushajiwekea mawazo ya kutopeform vizuri hebu twist psychology yako ujione we ni mwanaume rijali halafu omba mechi..
mi ni mwanachama mzuri tu wa chaputa na weekend hii nilikua na mechi mkuu asikuambie mtu hapa naona utitiri wa meseji za kusifiwa maana kit.ombo nilichompa anasema hajawahi pewa toa azaliwe
Hilo tatizo huwa linaisha lakini kwa kuacha kabisa kupiga puli na kuangalia pono,,,maisha yako yote chukia sana porno na puli waone kama maadui wa uanaume wako naamin utaacha kabisa,,, pili utafute mwenzi wa kufanya nae tendo kila utapoitaji,kwa kuwa ulkuwa mdau wa huu mchezo lazima kuna tabu utakuwa unapitia ila jipe moyo na wala usiwaze kama unaumwa maana saikolojia n kila kitu....puli na porno ndo chanzo kikubwa cha hili tatizo kwa vijana wengi...mim n shuhuda nmeacha huu mchezo japo ilkuwa tabu mwanzoni ila sasa shoo yangu ni kama vodacom wasafi beach party,,,all the best brothersMkuu Jaribu kutafuta demu kidogo kidogo utazoea Kwani practice make perfect, mimi bwana juzi nimeabika pia mtoto kaja gheto usiku nikamwandaa fresh akalainika hatari Ile kuingiza dushe tu wazungu hao na ngoma ikanywea na usingizi hapo hapo, nilijiona mzembe wa hali ya juu, mimi niliacha kupiga nyeto kwa mwaka mzima ila nikawa nachk porn kwa mwezi mara moja huku nikiwa sina demu, lakini cha ajabu mwezi wa kumi na moja nikaanza tena kunyetuka kwa wiki mara moja au mbili, sasa juzi si ndio nikapata demu nikaishia kuabika tu, lakini sitokata tamaa, najua nitakua sawa tu, jamani wale waliopona watupe shuhuda ase maana hii kitu inaumiza sana
Mkuu Jaribu kutafuta demu kidogo kidogo utazoea Kwani practice make perfect, mimi bwana juzi nimeabika pia mtoto kaja gheto usiku nikamwandaa fresh akalainika hatari Ile kuingiza dushe tu wazungu hao na ngoma ikanywea na usingizi hapo hapo, nilijiona mzembe wa hali ya juu, mimi niliacha kupiga nyeto kwa mwaka mzima ila nikawa nachk porn kwa mwezi mara moja huku nikiwa sina demu, lakini cha ajabu mwezi wa kumi na moja nikaanza tena kunyetuka kwa wiki mara moja au mbili, sasa juzi si ndio nikapata demu nikaishia kuabika tu, lakini sitokata tamaa, najua nitakua sawa tu, jamani wale waliopona watupe shuhuda ase maana hii kitu inaumiza sana
Umeacha?? Vip mashine imerud kwenye hali yake au ni kweli ngunga inapunguza ukubwa na urefu wa mashine???Mimi nina ushahidi maana nilipiga mpaka mashine ikawa inesinyaa kama ya mtoto
Bado mtoto tafuta kitu kingine cha kufanya wakati wa free time. Usikie free1.Naishi peke angu
2.Nasoma
3.Free time ni ndogo sana ila naitumia hiyohiyo
4.Sina mpenzi kutokana na woga kwani nilishapata perfomance anxiety nikashindwa kusimamisha nikiwa geto na dem mpaka leo sijarudia.
SafiiiiCHAPUTA CHAPUTA CHAPUTA
Alaaniwe alie kuleta,
nimeacha,,, ila nilikua mbwana samata katika game hii
Ee MUNGU nisaidie