Jaby'z
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 4,318
- 7,655
hahaha sawa mhandisihahahhaa Engineer ..mwana ME mwenzanguu...nafataliaa sanaa reply zako..ilaa kwa hii nmechekaa sanaa...
Punyetoo juuuuuu
hahaha sawa mhandisihahahhaa Engineer ..mwana ME mwenzanguu...nafataliaa sanaa reply zako..ilaa kwa hii nmechekaa sanaa...
Punyetoo juuuuuu
Acha then tia mamanzi kujiridhisha usiangalie sana kama wanaridhika slowly utarudi normalNi jambo la kujipongeza sana nimeondoka CHAPUTA tangu September mwaka huu na sijarudi tena, Ee Mola naomba aniwezeshe niache kabisa ujinga huu niliouanza tangu 2009, unaaibisha sana, kwa wale ambao bado mnaendelea tujitahidi sana kuacha inawezekana "SAY NO TO CHAPUTA", ila pilau ndo nimeshindwa kuacha kuangalia ila nayo kufikia mwaka mpya naamini nitakua nimepiga hatua, tuombeane wandugu.
Karibu wenye shuhuda mbalimbali za kuacha tupeane inspiration, pia tuelekezane jinsi ya kurudisha nguvu na confidence.
KUACHA INAWEZEKANA
kwamba una sifa zote za kutopendwa????????????????????1: Tafuta mtu uishi naye awe wa kushare naye gharama za chumba (kama unaishi nyumbani mkaribishe kama rafiki).
3: Free time unayoipata jipatie shughuli ya kufanya, kama una laptop tafuta software ya FL ujifunze kutengeneza beats au ya kuedit video, hiyo free time itumie hivyo. Kama unajua home exercises zifanye.
4: Mimi nina sifa zote za kutopendwa na msichana lakini kinachoniongoza ni kua cool na kua relaxed nikiwa mbele ya msichana, huwezi kua cool or funny? Or both?
Hongera kamanda, kufkisha mwaka sio spotispoti, vipi game unapiga lakn.?mi namshukuru mungu nimeacha na naelekea kumaliza mwaka bila kufanya hivo kitendo cha kwenda tu kuoga ilikuwa lazima nipige
game napga kawahida hata kipindi napiga haijawah kuniaffectHongera kamanda, kufkisha mwaka sio spotispoti, vipi game unapiga lakn.?








Ngoja kwanza...., kwani kupiga selfie (nyeto) kuna noma gani..? BAKI NJIA KUU BRADHA...., BAKI CHAPUTANi jambo la kujipongeza sana nimeondoka CHAPUTA tangu September mwaka huu na sijarudi tena, Ee Mola naomba aniwezeshe niache kabisa ujinga huu niliouanza tangu 2009, unaaibisha sana, kwa wale ambao bado mnaendelea tujitahidi sana kuacha inawezekana "SAY NO TO CHAPUTA", ila pilau ndo nimeshindwa kuacha kuangalia ila nayo kufikia mwaka mpya naamini nitakua nimepiga hatua, tuombeane wandugu.
Karibu wenye shuhuda mbalimbali za kuacha tupeane inspiration, pia tuelekezane jinsi ya kurudisha nguvu na confidence.
KUACHA INAWEZEKANA
Mkuu Jaribu kutafuta demu kidogo kidogo utazoea Kwani practice make perfect, mimi bwana juzi nimeabika pia mtoto kaja gheto usiku nikamwandaa fresh akalainika hatari Ile kuingiza dushe tu wazungu hao na ngoma ikanywea na usingizi hapo hapo, nilijiona mzembe wa hali ya juu, mimi niliacha kupiga nyeto kwa mwaka mzima ila nikawa nachk porn kwa mwezi mara moja huku nikiwa sina demu, lakini cha ajabu mwezi wa kumi na moja nikaanza tena kunyetuka kwa wiki mara moja au mbili, sasa juzi si ndio nikapata demu nikaishia kuabika tu, lakini sitokata tamaa, najua nitakua sawa tu, jamani wale waliopona watupe shuhuda ase maana hii kitu inaumiza sana
na usingizi hapo hapo? Umenichekesha sana mkuuDuh! kila siku mara tatu?Nenda kwa wataalam wa kisaikolojia
Mm nimesoma form one hadi Six shule za wanaume tu
Tulikuwa tunapiga nyeto at least mara tatu kwa siku
Tena tunatazamana bafuni au bwenini
Lkn mbna sina tatizo lolote?
Watoto saba mama tofauti
Na sijawahi wa disappoint mbona?
Anyway mm ni mnyakyusa tumejaaliwa kuwa na vilema huku chini
Ngoja kwanza...., kwani kupiga selfie (nyeto) kuna noma gani..? BAKI NJIA KUU BRADHA...., BAKI CHAPUTA

Asanteni kwa ushauri, najitahidi kupunguza kwa kweli ili mwisho niache kabisa, kuna mda najiskia kuzidownload tu ila hata siziangalii yani nadownload hata 8 hv then naangalia kidogo moja hata dk1 af nafuta zote.. yani hivi vitu unakua kama chizi aisee
Asanteni wote kwa ushauri, nawafatilia vizuri.. kuhusu kutafuta dem shida ni kuwa bado nina wasiwasi na perfomance yangu niasije kuaibika
Mimi siachi kabisa imefikia hatua nikiona sabuni dukani Nadinda![]()