Ongenza na KampalaSitulikubaliana chuo kikuu Cha kusoma hapa tz ni
Usu, udsm, udom, Mzumbe, ardhi
Kwa MD ni kcmc, bugando, muhas
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Ongenza na KampalaSitulikubaliana chuo kikuu Cha kusoma hapa tz ni
Usu, udsm, udom, Mzumbe, ardhi
Kwa MD ni kcmc, bugando, muhas
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Hukusoma SUA maana huo uliotaja kama upuuzi haupo SUABwege Nazi kweli wewe 😂,,,mi nimesoma chuo chenye heshima SUA.
Pale hakuna utoaji mimba kama huko kwingine.Mkuu hujapunguza kitu kabisa. Mdogo wangu kamaliza Diploma hapo mwaka jana hayo mambo kayakuta.
Kuna jambo hujagusa, SAUT ndio chuo kinaongoza Tanzania kwa wanafunzi kujifungua hasa ukienda BaEd huwa wanataniwa kwamba wanazaa wanafunzi wao wenyewe. Hili sijabahatisha kulisema, nimezungukavyuo vingi kwenye matembezi yangu na nina marafiki wengi ila SAUT kwa kulea watoto ni next level
Hahahah sawa mkuu, au unataka utajiwe na maprofesa kabisaHukusoma SUA maana huo uliotaja kama upuuzi haupo SUA
Mbona hicho ni kitu kidogo sana, hutaki kugawiwa ID?Mbona una paniki mkuu kama upo SAUT muda huu huoni kinacho endelea M 11 na M 9 basi utakuwa kipofu
Tatizo halipo kwa Maprof bali kwako na wale wanaofikiri ukifika chuo basi kwenda viwanja na kusoma kwa kuletewa sms, wa aina hiyo lazima malalamiko yawepoHahahah sawa mkuu, au unataka utajiwe na maprofesa kabisa
😂😂😂😂SAUT ni shule ya msingi iliyo changamka
Wajomba someni kwa bidii, hapo inatakiwa COMPETENCE sio kufaulu mtihani lakini huwezi ku-deliver!!Duuu hatari Sana Kuna ulazima serikali kupitia TCU ifanye jambo SAUT Kuna madudu mengi sana
Basi hongera kwa kuzalishaPale hakuna utoaji mimba kama huko kwingine.
Nganza,nyamalango,swea,kijiweni,nyamazobe hapo utawapata sana tuuOyaa nikitaka nitafune watoto wa SAUT kiurahisi natakiwa niwe naishi maeneo gani hapo MWANZA ?
Kaka afu unapenda kukaa backbench. Unaonekana ni mtoro picha zote uko nyuma kabsa mwa hall(joking).Hawa wote Wana subili ID za paper muda huu wanao tetea udhaifu wa SAUT Wana shidaView attachment 2278079
Safi sana mkuuNganza,nyamalango,swea,kijiweni,nyamazobe hapo utawapata sana tuu
Afu huyo mwamba aliyesimama mwenye tshirt yenye green mikononi nampata [emoji23][emoji23][emoji23] jamaa fulani mgumu iviHawa wote Wana subili ID za paper muda huu wanao tetea udhaifu wa SAUT Wana shidaView attachment 2278079
Pole Sana mkuu SAUT Kuna shida kubwa Sana panahitajika mageuzi makubwa Sana ya kimfumo na uongoziNakuelrwa Sana mtoa mada Mimi tibaijuka alinishikilia yangu first year
Kuu nakuelewa Sana Uzi wako, Sina hamu na saut, nilishikilowa na mhadhir somontangu first year Hadi third year nannikashindwa kugraduate kisa nimemkataa
Namna ya ugawaji wa ID niwa kishamba kwa chuo kma SAUTMbona hicho ni kitu kidogo sana, hutaki kugawiwa ID?
Mkuu toka msingi,sec,A-level mpka chuo ni mwendo wa backbench tuKaka afu unapenda kukaa backbench. Unaonekana ni mtoro picha zote uko nyuma kabsa mwa hall(joking).
Anakitetea kuwa siyo kweli.Chuo alichosoma popoma la kutukuka ni chuo uchwara tu.
SweyaOyaa nikitaka nitafune watoto wa SAUT kiurahisi natakiwa niwe naishi maeneo gani hapo MWANZA ?
Mkuu someni acheni kudhurura dhurura huko Nyamalango, wanafunzi wa hizo course ulizotaja ndio wanaongoza kwa kula bata, kila weekend huwakosi jembe ni jembe sasa hapo unategemea nini? Mbona hujataja wanafunzi wa law au engineering.Mkuu kuna ujinga mkubwa Sana SAUT yaani lecturer anawapa carry takribani course nzima alafu uongozi upo tu na taarifa wanazo sijui ndo kukaa kimya ili wavune zile 50,000/=