SAUT siyo Chuo salama kwa Wanafunzi

SAUT siyo Chuo salama kwa Wanafunzi

Nilisoma SAUT enzi za Dr Fr. kitima, those days kwanza chuo kilikuwa na hadhi na heshima kwakuwa hakukuwa na branches nyingi.
Lkn hizo kero ulizotaja, baadhi zilikuwepo t enzi hizo hasa kero kubwa ilikuwa ni Ile unajikuta ushalipa ada lkn bado deni likawa lipo pale pale hivyo ilitulazimu kutunza sana bank slip.
Hilo la matokeo mm pia ni mhanga, ilibaki kidogo nishindwe kuhitimu baada ya kukuta Nina sup ambayo sijui ht ilitoka wapi. Baada ya kufatilia sana ndio matokeo yakarekebishwa.
But, all in all by then hali ilikuwa nafuu kidogo kwsbb kadi za mitihani zilikuwa zinatolewa na department husika.
 
Acha kuchafua chuo chetu yako wapi hayo wakati mwenyewe nipo hapo nasoma sijaona unachokisemea hapa, mfano uvivu wako na kuelemewa na starehe chuo kikubebe tu pole yako,
Mbona una paniki mkuu kama upo SAUT muda huu huoni kinacho endelea M 11 na M 9 basi utakuwa kipofu
 
Nilisoma SAUT enzi za Dr Fr. kitima, those days kwanza chuo kilikuwa na hadhi na heshima kwakuwa hakukuwa na branches nyingi.
Lkn hizo kero ulizotaja, baadhi zilikuwepo t enzi hizo hasa kero kubwa ilikuwa ni Ile unajikuta ushalipa ada lkn bado deni likawa lipo pale pale hivyo ilitulazimu kutunza sana bank slip.
Hilo la matokeo mm pia ni mhanga, ilibaki kidogo nishindwe kuhitimu baada ya kukuta Nina sup ambayo sijui ht ilitoka wapi. Baada ya kufatilia sana ndio matokeo yakarekebishwa.
But, all in all by then hali ilikuwa nafuu kidogo kwsbb kadi za mitihani zilikuwa zinatolewa na department husika.
Mkuu Mambo sio mambo mwanzo ID ilikuwa unafuata department lakini leo hii zinagawiwa kwa kuitwa majina M 9

Kuna siku father mmoja (sitaki kumtaja jina) aliwahi kusema SAUT ilikuwa enzi za Kitima
IMG_20220630_170448_698.jpg
 
Mtoa mada pengine una hoja za msingi lkn umeongeza chumvi,
*Sio kweli kwamba chuo kinatoa carry za makusudi kila lecturer anapenda kufaulisha, acha uvivu soma,
*Chuo cha SAUT hakina room ambayo unaweza kuwajaza wanafunzi wa kozi zte kwa pamoja, kama hall lip litaje
*Baada ya uongozi wa chuo unafata uongoz wa wanafunzi ,kuna mambo umeorodhesha hapa ni uzembe wa uongozi wa wanafunzi, mfano ugawaji wa ID.
*Sabab kubwa ya Incomplete ni kutokana na uzembe wa wanafunzi kutoka kufanya QUIZ ambazo znakuja kwa surprise, acheni UTORO hudhuria vipi vyote halaf uone kama utapata Incomplete.
*Kuhusu penalty unapochelewa kulipa ada upo utaratb ambao ikiwa unahisi utashindwa kulipa ada kwa wakat uandike barua rasmi kuujulisha uongozi, hamfanyi hvyo mnaendekeza starehe mkipata boom
acha UMALAYA.
Hakuna chuo kilochokuwa hakina mapungufu hapa bongo, lkn SAUT ni miongoni mwa vyuo vichache vilivyoweka kanuni madhubuti za kuwadhibiti wanafunzi wazembe na wasiofuata taratibu.
 
Mkuu Mambo sio mambo mwanzo ID ilikuwa unafuata department lakini leo hii zinagawiwa kwa kuitwa majina M 9

Kuna siku father mmoja (sitaki kumtaja jina) aliwahi kusema SAUT ilikuwa enzi za Kitima View attachment 2277536
M9 haijazi wanafunzi wa kozi zote kama ulivyosema, hao ni wanafunzi wa kozi moja tu.wengi hamlipi ada mkibanwa mnaanza kulaumu,
 
Bila kusahau totoz za MASHA , NGANZA , KIJIWENI NA PIA SWEYA ....

Chuo kipo fresh....shida ni wanafunzi tu....
Wanafunzi Wana shida zao na wahadhiri pia Wewe uliona wapi wanafunzi wanachangishwa pesa za ukarabati ?
 
Ushauri kwa Kaka,Dada,Mama,Baba,Mjomba,Shangazi na walezi usije mshauri kijana wako wa kike au wa kiume kuomba chuo Cha SAUT-Malimbe Mwanza tegemea yafuatayo

* Carry ya kutafutiwa na mhadhiri ushaidi waulize wanafunzi wa BAMC-3 juu ya course ya TV production

* Incomplete kwenye matokeo ni jambo la kawaida unaweza pata incomplete ukiwa first year mpaka unafika third year unayo licha ya juhudi binafsi kuiondoa kwenye hili wanafunzi wa PR ni wahanga na mashaidi wazuri Kama una ndugu anasoma uliza.

* Dharau wafanyakazi wengi SAUT sio wawajibikaji kutimiza wajibu wao huona Kama ni hisani pia dharau kwa wanafunzi mfano ni ofisi ya IT

* Wanafunzi kurudia course pale suala la incomplete likiwa ngumu mwanafunzi hushauri kurudia course ( carry) na kulipia kiasi Cha 50,000/=Tsh wakati sio kosa lake ni kosa la mfumo SIM

* Penalty ukiwa na deni la chuo na muda ukipita wa kulipa ndugu yangu penalty inakuhusu 100,000/= hata Kama una daiwa 10,000/=

* Kukosa ID ya kufanyia mtihani ada umelipa huna deni lakini kukosa ID ya kufanya mtihani ni kawaida hili ndo tatizo kubwa kwa Sasa mpaka muda huu watu hawajui hiyo jumatatu wataingia kwenye chumba Cha mtihani au laa.

* Chuo kujiendesha kienyeji.yaani unawakusanya wanafunzi wa course zote katika chumba kimoja alafu wanasimama watu mbele wanaita majina ya ID za mitihani

Haya nikwa machache tu uzuri humu wadau wapo wengi Sana watakuja kuongezea.

"Zingatia ushauri huu utakuja kunishukuru baadaye"
Vipi kuhusu upatikanaji wa mbususu hapo chuoni, na je walaji wakubwa ni wakufuzu, wanafunzi au watu mtaani tu?
 
Mtoa mada pengine una hoja za msingi lkn umeongeza chumvi,
*Sio kweli kwamba chuo kinatoa carry za makusudi kila lecturer anapenda kufaulisha, acha uvivu soma,
*Chuo cha SAUT hakina room ambayo unaweza kuwajaza wanafunzi wa kozi zte kwa pamoja, kama hall lip litaje
*Baada ya uongozi wa chuo unafata uongoz wa wanafunzi ,kuna mambo umeorodhesha hapa ni uzembe wa uongozi wa wanafunzi, mfano ugawaji wa ID.
*Sabab kubwa ya Incomplete ni kutokana na uzembe wa wanafunzi kutoka kufanya QUIZ ambazo znakuja kwa surprise, acheni UTORO hudhuria vipi vyote halaf uone kama utapata Incomplete.
*Kuhusu penalty unapochelewa kulipa ada upo utaratb ambao ikiwa unahisi utashindwa kulipa ada kwa wakat uandike barua rasmi kuujulisha uongozi, hamfanyi hvyo mnaendekeza starehe mkipata boom
acha UMALAYA.
Hakuna chuo kilochokuwa hakina mapungufu hapa bongo, lkn SAUT ni miongoni mwa vyuo vichache vilivyoweka kanuni madhubuti za kuwadhibiti wanafunzi wazembe na wasiofuata taratibu.
Mkuu hakuna chumvi wanafunzi wa BAMC 3 ni wahanga wa carry ya kupewa Kama una rafiki au ndugu anasoma BAMC muulize jambo hili.

Leo asubuhi course zote zilikussnyika M 13 wanafunzi walikuwa mpka nje na hivi Kuna wanafunzi wamejaa M 11 mpka nje

Kuhusu incomplete Mimi ni muhanga matokeo ya mwisho yanatoka sikuyaona nakuja kufuatilia naambiwa course work hakuna lakin final result ipo,uzuri course work ninazo nampelekea mhadhiri analeta habari za kurudia kusoma course nikagoma mpka Sasa ipo hiyo incomplete
 
Mtoa mada pengine una hoja za msingi lkn umeongeza chumvi,
*Sio kweli kwamba chuo kinatoa carry za makusudi kila lecturer anapenda kufaulisha, acha uvivu soma,
*Chuo cha SAUT hakina room ambayo unaweza kuwajaza wanafunzi wa kozi zte kwa pamoja, kama hall lip litaje
*Baada ya uongozi wa chuo unafata uongoz wa wanafunzi ,kuna mambo umeorodhesha hapa ni uzembe wa uongozi wa wanafunzi, mfano ugawaji wa ID.
*Sabab kubwa ya Incomplete ni kutokana na uzembe wa wanafunzi kutoka kufanya QUIZ ambazo znakuja kwa surprise, acheni UTORO hudhuria vipi vyote halaf uone kama utapata Incomplete.
*Kuhusu penalty unapochelewa kulipa ada upo utaratb ambao ikiwa unahisi utashindwa kulipa ada kwa wakat uandike barua rasmi kuujulisha uongozi, hamfanyi hvyo mnaendekeza starehe mkipata boom
acha UMALAYA.
Hakuna chuo kilochokuwa hakina mapungufu hapa bongo, lkn SAUT ni miongoni mwa vyuo vichache vilivyoweka kanuni madhubuti za kuwadhibiti wanafunzi wazembe na wasiofuata taratibu.
Umeongea vyema
 
Ushauri kwa Kaka,Dada,Mama,Baba,Mjomba,Shangazi na walezi usije mshauri kijana wako wa kike au wa kiume kuomba chuo Cha SAUT-Malimbe Mwanza tegemea yafuatayo

* Carry ya kutafutiwa na mhadhiri ushaidi waulize wanafunzi wa BAMC-3 juu ya course ya TV production

* Incomplete kwenye matokeo ni jambo la kawaida unaweza pata incomplete ukiwa first year mpaka unafika third year unayo licha ya juhudi binafsi kuiondoa kwenye hili wanafunzi wa PR ni wahanga na mashaidi wazuri Kama una ndugu anasoma uliza.

* Dharau wafanyakazi wengi SAUT sio wawajibikaji kutimiza wajibu wao huona Kama ni hisani pia dharau kwa wanafunzi mfano ni ofisi ya IT

* Wanafunzi kurudia course pale suala la incomplete likiwa ngumu mwanafunzi hushauri kurudia course ( carry) na kulipia kiasi Cha 50,000/=Tsh wakati sio kosa lake ni kosa la mfumo SIM

* Penalty ukiwa na deni la chuo na muda ukipita wa kulipa ndugu yangu penalty inakuhusu 100,000/= hata Kama una daiwa 10,000/=

* Kukosa ID ya kufanyia mtihani ada umelipa huna deni lakini kukosa ID ya kufanya mtihani ni kawaida hili ndo tatizo kubwa kwa Sasa mpaka muda huu watu hawajui hiyo jumatatu wataingia kwenye chumba Cha mtihani au laa.

* Chuo kujiendesha kienyeji.yaani unawakusanya wanafunzi wa course zote katika chumba kimoja alafu wanasimama watu mbele wanaita majina ya ID za mitihani

Haya nikwa machache tu uzuri humu wadau wapo wengi Sana watakuja kuongezea.

"Zingatia ushauri huu utakuja kunishukuru baadaye"
Hili ni shambulio dhidi ya chuo..ni chuki zako binafsi..kwa uzembe na ujinga wako..unakosaje ID ya chuo kama sio ukosefu wa akili.

Hutaki kusoma unataka ufaulu..bila kusoma ukipata sapu ndio unaanza kulialia humu.

Moja ya uzi wa hovyo kutoka kwa kijana wa hovyo.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hili ni shambulio dhidi ya chuo..ni chuki zako binafsi..kwa uzembe na ujinga wako..unakosaje ID ya chuo kama sio ukosefu wa akili.

Hutaki kusoma unataka ufaulu..bila kusoma ukipata sapu ndio unaanza kulialia humu.

Moja ya uzi wa hovyo kutoka kwa kijana wa hovyo.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Nisha andika hilo tayali wanafunzi sio kama hawana ID za chuo bali ni utaratibu mbovu wa kupata ID ya mtihani elewa jambo kwanza kabla ya kuandika.tofautisha Kati ya ID ya chuo na Id ya mtihani alafu hakuna sehemu nimesema nina sup naona unatumia hisia zaidi
 
Ushauri kwa Kaka,Dada,Mama,Baba,Mjomba,Shangazi na walezi usije mshauri kijana wako wa kike au wa kiume kuomba chuo Cha SAUT-Malimbe Mwanza tegemea yafuatayo

* Carry ya kutafutiwa na mhadhiri ushaidi waulize wanafunzi wa BAMC-3 juu ya course ya TV production

* Incomplete kwenye matokeo ni jambo la kawaida unaweza pata incomplete ukiwa first year mpaka unafika third year unayo licha ya juhudi binafsi kuiondoa kwenye hili wanafunzi wa PR ni wahanga na mashaidi wazuri Kama una ndugu anasoma uliza.

* Dharau wafanyakazi wengi SAUT sio wawajibikaji kutimiza wajibu wao huona Kama ni hisani pia dharau kwa wanafunzi mfano ni ofisi ya IT

* Wanafunzi kurudia course pale suala la incomplete likiwa ngumu mwanafunzi hushauri kurudia course ( carry) na kulipia kiasi Cha 50,000/=Tsh wakati sio kosa lake ni kosa la mfumo SIM

* Penalty ukiwa na deni la chuo na muda ukipita wa kulipa ndugu yangu penalty inakuhusu 100,000/= hata Kama una daiwa 10,000/=

* Kukosa ID ya kufanyia mtihani ada umelipa huna deni lakini kukosa ID ya kufanya mtihani ni kawaida hili ndo tatizo kubwa kwa Sasa mpaka muda huu watu hawajui hiyo jumatatu wataingia kwenye chumba Cha mtihani au laa.

* Chuo kujiendesha kienyeji.yaani unawakusanya wanafunzi wa course zote katika chumba kimoja alafu wanasimama watu mbele wanaita majina ya ID za mitihani

Haya nikwa machache tu uzuri humu wadau wapo wengi Sana watakuja kuongezea.

"Zingatia ushauri huu utakuja kunishukuru baadaye"
Wewe ni mwanafunzi mpuuzi sana...nawashauri walimu wenu wawakamate haswa ikibidi mdisco kabisa vilaza nyie...
Hamtaki kusoma alafu mnataka kufaulu?...mmechanganyikiwa kweli...
Enzi zangu wakati nafundisha chuo mtu kama wewe lazima nikutoe nishai...sipendi watu vilaza...
 
Wewe ni mwanafunzi mpuuzi sana...nawashauri wallimu wenu wawakamate haswa ikibidi mdisco kabisa vilaza nyie...
Hamtaki kusoma alafu mnataka kufaulu?...mmechanganyikiwa kweli...
Enzi zangu wakati nafundisha chuo mtu kama wewe lazima nikutoe nishai...sipendi watu vilaza...
Mbona povu mkuu tulia
 
Back
Top Bottom