SAUT siyo Chuo salama kwa Wanafunzi

SAUT siyo Chuo salama kwa Wanafunzi

Nilishasema mimi Tanzania vyuo ni vitatu tu
Ardhi University kama unataka kuwa mbobevu wa ukandarasi wa majengo na usanifu ramani na mambo ya ardhi.

SUA kama unataka kuwa mbobevu wa mambo ya kilimo

MZUMBE kama unataka uwe mbobevu wa maswala ya sheria uongozi na utawala bora

Vingine ni takataka tu
Walau St. Joseph i think
Ardhi University nakikubali sana hiki chuo...

Watu wanaiva haswa..

Na kozi zake ni nzr

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Nilikua nataka niwashauri ndugu Zangu Wajiunge. Lakini Baada ya Kupitia Huu Uzi. Nimegundua SAUT ni miyeyusho.
Mkuu, siku hizi vyuo vinajichagulia vyenyewe wanafunzi vinaowataka. So hata ukiwashauri kwenda huko, bado wanaweza wasipate nafasi.
 
Jiandae ni mtihani mkuu. Usidhani hapo serikali haipo! hayo mambo ya ID nadhani kila chuo ni ivo ivo, Ukienda pale UD utakuta vijana wamepanga mstari kwa ajili ya kupata ID.
ud ni baed hao, kawaida ya huko id husambazwa kwenye kila department. mfano, kozi yetu tulikuwa tunachujue kwenye department yetu au cr anakuja nazo class kabsa ila ukifata pale aris unaambiwa nenda kwenye department yako labda iwe ni dharura tu au ulichelewa kulipa ada.
 
Acha ujinga na uzembe, soma. Incomplete unaiondoa kwa kufanya mtihani sio kwa juhudi nje ya taaluma.
Wewe ni kati ya wanafunzi wazembe mnaoendekeza tu starehe Chuoni. Na usipobadilika, utadisco kabisa na hiyo incomplete Yako.
Watanzania tusiendekeze uzembe katika kutafuta maarifa. Jitambue kama kweli unataka shule.
Nawaombea wahadhiri washikilie hapohapo
 
Tatizo la SAUT sio chuo au wahadhiri, ila ni wanafunzi. Take that from me. Wanafunzi wanapenda mtelemko, wanataka kubebwa kuliko vyuo vingine. Sasa wanapo shindwa kubebwa huanza lawama.
Nimemuuliza mleta mada kama alishasoma vyuo vingine. Ingemsaidia kujua shida iko wapi.
 
Kujua uzoefu uliona nao kwenye mfumo wa elimu ya juu hapa nchini. Sasa kama umesoma chuo kimoja, ni ngumu sana kufikia hilo hitimisho.
Hatuwezi fanya kitu kimazoea na mwisho kuja na hitimisho kwamba inapaswa kuwa hivyo mkuu hapana
 
G.P.A ya 2.5 ya SAUT sawa na G.P.A ya 4.5 vyuo vingine wale ni warumi shule kwanza mengine badae ukiwa mjanja mjanja pale lazima upite mbio chuo kinaitaji nidhamu

WE BUILD THE CITY OF GOD

Shout out kwa Wana walioishi dafuu,Nyamalango na kwa Masha, kijiweni kwa malisa bila kusahau wadau tulionana the stone club enzi za ujimq, pilq villa park
 
Acha ujinga na uzembe, soma. Incomplete unaiondoa kwa kufanya mtihani sio kwa juhudi nje ya taaluma.
Wewe ni kati ya wanafunzi wazembe mnaoendekeza tu starehe Chuoni. Na usipobadilika, utadisco kabisa na hiyo incomplete Yako.
Watanzania tusiendekeze uzembe katika kutafuta maarifa. Jitambue kama kweli unataka shule.
Nawaombea wahadhiri washikilie hapohapo
Hauja elewa nini nilicho andika umekurupuka Sana mkuu
 
G.P.A ya 2.5 ya SAUT sawa na G.P.A ya 4.5 vyuo vingine wale ni warumi shule kwanza mengine badae ukiwa mjanja mjanja pale lazima upite mbio chuo kinaitaji nidhamu

WE BUILD THE CITY OF GOD

Shout out kwa Wana walioishi dafuu,Nyamalango na kwa Masha, kijiweni kwa malisa bila kusahau wadau tulionana the stone club enzi za ujimq, pilq villa park
Maybe city of fornication
 
Back
Top Bottom