SAUT siyo Chuo salama kwa Wanafunzi

SAUT siyo Chuo salama kwa Wanafunzi

G.P.A ya 2.5 ya SAUT sawa na G.P.A ya 4.5 vyuo vingine wale ni warumi shule kwanza mengine badae ukiwa mjanja mjanja pale lazima upite mbio chuo kinaitaji nidhamu

WE BUILD THE CITY OF GOD

Shout out kwa Wana walioishi dafuu,Nyamalango na kwa Masha, kijiweni kwa malisa bila kusahau wadau tulionana the stone club enzi za ujimq, pilq villa park
Umenikumbusha mbali Sana ndugu,
Class ya Mwaka gani pale ulipita?
 
G.P.A ya 2.5 ya SAUT sawa na G.P.A ya 4.5 vyuo vingine wale ni warumi shule kwanza mengine badae ukiwa mjanja mjanja pale lazima upite mbio chuo kinaitaji nidhamu

WE BUILD THE CITY OF GOD

Shout out kwa Wana walioishi dafuu,Nyamalango na kwa Masha, kijiweni kwa malisa bila kusahau wadau tulionana the stone club enzi za ujimq, pilq villa park
Kuna story fulani ilizagaa miaka ya 2014 na 15 kuhusu graduate wa sheria SAUTI mwenye GPA ya 4 alienda kusoma masters UDSM. Wakampa interview Wakasema alifeli. Hii story ilizagaa saaana
 
Kuna bursor mmoja hapo Ni sister mweusiiii alikuwa hamwangaliii mtu usoni kwenye ada enzi hizo sijui yupo bado? Pia kulikuwa na Dada mmoja dirisha la kuchukulia vitambulisho karibu na hosteli mpya alikuwa na kiburi yule Dada ilikuwa Kama chuo chake
 
Ratiba ya mtihani ya sem2 ilitakiwa ianze j3,cha ajabu unaambiwa leo ile mida ya yanga anacheza game kua, j3 ni special na supp sem1 akati watu hatukufanya mitihan hatujapata id na tumelipa ada.sijui hizo id zitagawiwa lin sijyui ratiba itatoka sangap sijui nta ji organise vp , huku ni kutuvunjia haki zetu kama binadamu

Kila siku hii inchi inanipa sababu za msingi kabisa za kuamia usa😡
 

Attachments

  • E1E05A11-DFA4-4EC9-9F5E-396E824351B9.jpeg
    E1E05A11-DFA4-4EC9-9F5E-396E824351B9.jpeg
    36 KB · Views: 40
Kuna story fulani ilizagaa miaka ya 2014 na 15 kuhusu graduate wa sheria SAUTI mwenye GPA ya 4 alienda kusoma masters UDSM. Wakampa interview Wakasema alifeli. Hii story ilizagaa saaana
Acha story za kitoto. Lini SAUT ika andikwa SAUTI
 
Dr.FatherApolinary Ndasi si ndiyo mkuu wenu?
Kwanini msimfuate mumueleze?
Ni mtu makini sana yule.
Huyo mkuu wa chuo wao ni mwehu tuu..!kiongozi makini huzitambua changamoto mapema na kuzitafutia ufumbuzi.Huyo le proffeseri hana tofauti na lipumbavu
 
Ushauri kwa Kaka, Dada, Mama, Baba, Mjomba, Shangazi na walezi usije mshauri kijana wako wa kike au wa kiume kuomba chuo Cha SAUT-Malimbe Mwanza tegemea yafuatayo

* Carry ya kutafutiwa na mhadhiri ushaidi waulize wanafunzi wa BAMC-3 juu ya course ya TV production

* Incomplete kwenye matokeo ni jambo la kawaida unaweza pata incomplete ukiwa first year mpaka unafika third year unayo licha ya juhudi binafsi kuiondoa kwenye hili wanafunzi wa PR ni wahanga na mashaidi wazuri Kama una ndugu anasoma uliza.

* Dharau wafanyakazi wengi SAUT sio wawajibikaji kutimiza wajibu wao huona Kama ni hisani pia dharau kwa wanafunzi mfano ni ofisi ya IT

* Wanafunzi kurudia course pale suala la incomplete likiwa ngumu mwanafunzi hushauri kurudia course ( carry) na kulipia kiasi Cha 50,000/=Tsh wakati sio kosa lake ni kosa la mfumo SIM

* Penalty ukiwa na deni la chuo na muda ukipita wa kulipa ndugu yangu penalty inakuhusu 100,000/= hata Kama una daiwa 10,000/=

* Kukosa ID ya kufanyia mtihani ada umelipa huna deni lakini kukosa ID ya kufanya mtihani ni kawaida hili ndio tatizo kubwa kwa Sasa mpaka muda huu watu hawajui hiyo jumatatu wataingia kwenye chumba Cha mtihani au laa.

* Chuo kujiendesha kienyeji. Yaani unawakusanya wanafunzi wa course zote katika chumba kimoja halafu wanasimama watu mbele wanaita majina ya ID za mitihani
emoji15.png
emoji15.png


Haya nikwa machache tu uzuri humu wadau wapo wengi Sana watakuja kuongezea.

"Zingatia ushauri huu utakuja kunishukuru baadaye"
Uwapo Chuo soma acha ujinga
 
Tafuteni list ya vyuo bora tanzania vile 10 vya mwanzo ndio mkasome huko

Chuo hata top ten hakipo unaenda kusome ili iweje

Ujue mambo yake kienyeji sana
Kuna chuo kikuu cha waomba dua Morogoro ambacho Ben aliwapa hao wanao muombea dua katelephone awowe chuma kingine ili apate utulivu sijui nacho bado ni Chuo Kikuu au...
 
Kuna bursor mmoja hapo Ni sister mweusiiii alikuwa hamwangaliii mtu usoni kwenye ada enzi hizo sijui yupo bado? Pia kulikuwa na Dada mmoja dirisha la kuchukulia vitambulisho karibu na hosteli mpya alikuwa na kiburi yule Dada ilikuwa Kama chuo chake
Yule sista aiseee
 
Ratiba ya mtihani ya sem2 ilitakiwa ianze j3,cha ajabu unaambiwa leo ile mida ya yanga anacheza game kua, j3 ni special na supp sem1 akati watu hatukufanya mitihan hatujapata id na tumelipa ada.sijui hizo id zitagawiwa lin sijyui ratiba itatoka sangap sijui nta ji organise vp , huku ni kutuvunjia haki zetu kama binadamu

Kila siku hii inchi inanipa sababu za msingi kabisa za kuamia usa[emoji35]
Kuna Binti Yangu anasoma LLB1 ananambia waliopata ID ni wachache sana na wengi bado na ndo maana ratiba ya mtihan imesogezwa mpk tar 11 badala ya kesho.
.
Kuna Kakangu Padre John Yuko Hapo Ni Director Wa HRM ila nae akili yake Daaaah

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nasikia Saut kuna direct carry, kwhy kama corse work haifk 16 means hautafanya UE na ndo matokeo yaktoka utakutana na INCOMPLETE kwahy utaanza kurudia coz japo nackia juz juz wameondoa direct carry.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nasikia kuna uwezekano pia ukafka mpk mwaka wa3 matokeo yako yakabadlika ukajkuta na INCOMPLETE zisizojulkana ukashindwa graduate.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hiki chuo hakieleweki,wengine wanakisifia na wengine wanakipondea...
Hamna kitu mule, chuo cha kata kile, tafuta graduate wa pale halafu ongea nae umpime ubongo wake ndio utaamini, wanafunzi wengi pale ni rejects wa vyuo bora tz, ndio maana kwenye suala la wanaosubiri ajira saut hawapewi kipaombele
 
Tatizo la SAUT sio chuo au wahadhiri, ila ni wanafunzi. Take that from me. Wanafunzi wanapenda mtelemko, wanataka kubebwa kuliko vyuo vingine. Sasa wanapo shindwa kubebwa huanza lawama.
Mkuu Kwenye taasisi kama hz hua kuna wa2 tofauti tofaut kwahy wapenda mtelemko wapo na wanaohangaika pia wapo.
.
Na kujkuta juhud zao hazionekan lkn pia kuna wanaohangaika na wanafanikiwa na kuna wapenda mtelemko wanaupata mtelemko vzur maisha yanaendelea hawawez kufanana
.
Mfano suala la id halihusian na wanafunz ni chuo chenyew nan alaumiwe Sasa.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom