Wengi kwasababu kinachukua hadi vilazaChuo Cha kata kimeanza 1998?. Please tuache kashfa. Na ndicho chuo binafsi chenye wanafunzi wengi.
Wengi kwasababu kinachukua hadi vilazaChuo Cha kata kimeanza 1998?. Please tuache kashfa. Na ndicho chuo binafsi chenye wanafunzi wengi.
Hivi mfano mtu amemaliza form four, masomo ya arts yote ana AAA ila masomo ya science ana CCC, sasa kutokana na pressure katika jamii kwamba science inasoko ikabidi aachane na michepuo ya arts aliofaulu vizuri akaenda kusoma science ambako alama zake zilikuwa CCC, let's say labda akaenda kusoma PCB,CBG..nk..Wengi kwasababu kinachukua hadi vilaza
Thubutu! Yule yupo kuonea upande wa pili tuAngekuwepo Ndalichako aisee kingefungwa faster
Kwani hawafuati vigezo vya TCU?Wengi kwasababu kinachukua hadi vilaza
Je huyu mtu kwako ni kilaza? Yani amelazimishwa kusoma vitu asivyoviweza huko advance kwako ni kilaza?Hivi mfano mtu amemaliza form four, masomo ya arts yote ana AAA ila masomo ya science ana CCC, sasa kutokana na pressure katika jamii kwamba science inasoko ikabidi aachane na michepuo ya arts aliofaulu vizuri akaenda kusoma science ambako alama zake zilikuwa CCC, let's say labda akaenda kusoma PCB,CBG..nk..
Kwa vile huyu mwanafunzi siyo mzuri Sana katika masomo ya science ila ni mzuri kwa Arts japo kutokana na mazingira na pressure kutoka kwa wazazi amesoma science na bahati mbaya amepata div 3 ya PCB akakosa option ikabidi aende tu SAUT kusoma Labda Business Administration Sababu qualifications za kusoma kozi za afya amekosa
Je huyu mtu kwako ni kilaza? Yani amelazimishwa kusoma vitu asivyoviweza huko advance kwako ni kilaza?
Pale ukienda na mawazo ya chuo bata umeliwaArdhi University nakikubali sana hiki chuo...
Watu wanaiva haswa..
Na kozi zake ni nzr
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kwamba unagundua leo au sizitaki mbichi hizi.Ushauri kwa Kaka, Dada, Mama, Baba, Mjomba, Shangazi na walezi usije mshauri kijana wako wa kike au wa kiume kuomba chuo Cha SAUT-Malimbe Mwanza tegemea yafuatayo
* Carry ya kutafutiwa na mhadhiri ushaidi waulize wanafunzi wa BAMC-3 juu ya course ya TV production
* Incomplete kwenye matokeo ni jambo la kawaida unaweza pata incomplete ukiwa first year mpaka unafika third year unayo licha ya juhudi binafsi kuiondoa kwenye hili wanafunzi wa PR ni wahanga na mashaidi wazuri Kama una ndugu anasoma uliza.
* Dharau wafanyakazi wengi SAUT sio wawajibikaji kutimiza wajibu wao huona Kama ni hisani pia dharau kwa wanafunzi mfano ni ofisi ya IT
* Wanafunzi kurudia course pale suala la incomplete likiwa ngumu mwanafunzi hushauri kurudia course ( carry) na kulipia kiasi Cha 50,000/=Tsh wakati sio kosa lake ni kosa la mfumo SIM
* Penalty ukiwa na deni la chuo na muda ukipita wa kulipa ndugu yangu penalty inakuhusu 100,000/= hata Kama una daiwa 10,000/=
* Kukosa ID ya kufanyia mtihani ada umelipa huna deni lakini kukosa ID ya kufanya mtihani ni kawaida hili ndio tatizo kubwa kwa Sasa mpaka muda huu watu hawajui hiyo jumatatu wataingia kwenye chumba Cha mtihani au laa.
* Chuo kujiendesha kienyeji. Yaani unawakusanya wanafunzi wa course zote katika chumba kimoja halafu wanasimama watu mbele wanaita majina ya ID za mitihani
Haya nikwa machache tu uzuri humu wadau wapo wengi Sana watakuja kuongezea.
"Zingatia ushauri huu utakuja kunishukuru baadaye"
Kwamba Kama tatizo lipo watu wakae kimya?Kwamba unagundua leo au sizitaki mbichi hizi.
Hii kuibiwa kura mkuu nimesikia kwa juujuu maana sio mfuatiliaji wa siasa takataka za pale na uhayawani huu umefanywa na vijana wa chama Cha mapinduzi bila aibu kabisa ubaya wahadhiri wengi ni Wana chama Cha mboga mboga.Mleta mada upo? Umesikia vioja vingine vya SAUT wamesogeza mtihani mbele ulitakiwa uanze tar4 lakini utaanza tar11 ila hiyo sio mbaya sana.
Kioja kingine sasa SAUT walifanya uchaguzi wa serikali ya wanafunzi Uraisi mgombea mmoja kutoka BAED mwingine ni LLB na mshindi akapatikana ambae alitoka BAED lakini tume ya uchaguzi iliitisha uchaguzi uludiwe.
Katika kurudia uchaguzi mgombea kutoka LLB ndiye alishinda siku ya jana, wadau waliona vihoja hatari kwanza kuna kundi likiongozwa na vijana wa CCM ambapo kulikua na katibu wa CCM SAUT anatoka sheria ndiye master wa wizi hadi akachukuliwa na polisi, Pia kijana huyo wa LLB 2 ndiye alikua na kura nyingi ambazo zimeshapigwa kwa mgombea wake wa LLB, pia alikua na ID za mwaka watatu lakini yeye ni mwaka wa 2.
Ukiachana na wizi wa kura kuna jambo jingine la ajabu ni matokeo kutangazwa bila wasimamizi na mawakala kusaini.
Alafu tatizo la SAUT ukitaka kugombea hasa uraisi ni lazima uwe mwana-ccm kama huna kadi huwezi gombea kabisa.
100% wahanga wapo wengi tu wa jambo hili mkuuNasikia kuna uwezekano pia ukafka mpk mwaka wa3 matokeo yako yakabadlika ukajkuta na INCOMPLETE zisizojulkana ukashindwa graduate.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Je UDOM? Mbona mlimpa Biteko na Jafo PHD za bure? UDOM chuo la ovyo kweli heri SAUT mara 100.SAUT nakumbuka walimpa master degree ya bure Doto Biteko.
Vijana wa Uvccm bure kabisa hawana maana pale kura ziliibiwa mchana kweupe na waliwakamata lakini amna hatua yyte iliyochukuliwa. Na sifa ya kuwa raisi pale ni lazima uwe mboga mboga ndio maana raisi aliyeshinda alipigwa chini na uchaguzi ukarudiwa.Hii kuibiwa kura mkuu nimesikia kwa juujuu maana sio mfuatiliaji wa siasa takataka za pale na uhayawani huu umefanywa na vijana wa chama Cha mapinduzi bila aibu kabisa ubaya wahadhiri wengi ni Wana chama Cha mboga mboga.
Kufanya kazi private na kumg'ang'ania sehemu moja ni uzembe wa hali ya juuTatizo la SAUT halijali wahadhiri. Yani mshahara kupanda imekataliwa. Mhadhiri anafundisha wanafunzi elfu moja lakini mshahara ni ule ule miaka kumi na tano Sasa.
Daaah ningeteseka sana aisee saut mkunduli 💩💩💩💩Ukiwa Msabato wanakuwekea test jumamosi makusudi kabisa
Hii ni kweli aseee 🤣🤣🤣🤑🤑Wengi kwasababu kinachukua hadi vilaza