Nyakijooga
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 474
- 737
Wanafunzi wa Kampala kwenye upande wa Afya tunanyanyasika na lectures wa Kigeni, haswa sisi Wanafunzi wa maabara.
Tunasimamiwa na raia wa Nigeria, hana msaada wowote zaidi ya kutunyanyasa na ametufanya wanafunzi kitega uchumi wake, Mwanafunzi akichelewa ku-submit research idarani anatakiwa alipe Shilingi 40,000 idarani.
Mfano tukio hili aliwapigisha magoti chini Wanafunzi tena kwenye Laboratory sehemu ambapo kuna uchafu mwingi wa kikemikali. Hivi ni sawa kweli Wanafunzi wa Chuo Kikuu kupigishwa magoti darasani kwao kama hivi?
Ukifeli hospital attachment ama rotation unatakiwa ulipe Shilingi 40,000 idarani. Mara kadhaa tumepeleka malalamiko management hatujasikilizwa, Wanafunzi tunateseka hatuna wa kututetea.
Wanafunzi wa mwaka wanne anatunyima haki kwenye specialization anataka watu waende area ambazo hawataki ku-specialize, tukitaka kwenda kwa wakuu wa chuo anasema hawawezi kusaidia.
Wanafunzi akifiwa hata na wazazi hauruhusiwi kumiss darasa wala mitihani anakwambia ukienda kumzika atafufuka, ana majibu mabaya sana Dr V.
TCU tunaomba mfatilie hili suala la wageni kuwa wengi kwenye Chuo Kikuu cha Kampala.
Tunasimamiwa na raia wa Nigeria, hana msaada wowote zaidi ya kutunyanyasa na ametufanya wanafunzi kitega uchumi wake, Mwanafunzi akichelewa ku-submit research idarani anatakiwa alipe Shilingi 40,000 idarani.
Mfano tukio hili aliwapigisha magoti chini Wanafunzi tena kwenye Laboratory sehemu ambapo kuna uchafu mwingi wa kikemikali. Hivi ni sawa kweli Wanafunzi wa Chuo Kikuu kupigishwa magoti darasani kwao kama hivi?
Ukifeli hospital attachment ama rotation unatakiwa ulipe Shilingi 40,000 idarani. Mara kadhaa tumepeleka malalamiko management hatujasikilizwa, Wanafunzi tunateseka hatuna wa kututetea.
Wanafunzi wa mwaka wanne anatunyima haki kwenye specialization anataka watu waende area ambazo hawataki ku-specialize, tukitaka kwenda kwa wakuu wa chuo anasema hawawezi kusaidia.
Wanafunzi akifiwa hata na wazazi hauruhusiwi kumiss darasa wala mitihani anakwambia ukienda kumzika atafufuka, ana majibu mabaya sana Dr V.
TCU tunaomba mfatilie hili suala la wageni kuwa wengi kwenye Chuo Kikuu cha Kampala.
sijui hata nacheka nini.