Kama shida ni wanafunzi, bado kiini cha hao kuwa wabovu ni uongozi wa chuo: Usajili wao ni wa hovyo au management ya chuo mbovu.Tatizo la SAUT sio chuo au wahadhiri, ila ni wanafunzi. Take that from me. Wanafunzi wanapenda mtelemko, wanataka kubebwa kuliko vyuo vingine. Sasa wanapo shindwa kubebwa huanza lawama.
Chuo hakina dini mkuu,huu uzi hauhusu dini mkuu maana unaleta ubishi wa kidini hapaUkiwa Msabato wanakuwekea test jumamosi makusudi kabisa
Shukran boss ubarikiweMasha, Luchelele,Ngaza,kijiweni,sweya nk

Hakuna sehemu ambayo nimesema wanafunzi ni perfect hapana lakini mifumo ya SAUT ni hovyo mfano walihamisha mfumo wa kuweka matokea kutoka OSIM kwenda SIM wanafunzi wakajawa na furaha tele kwamba Sasa matatizo ya Incomplete yatafika mwisho kilicho tokea ni GPA za watu kushuka kijinga kabisa bila sababu na tatizo la Incomplete kuwa kubwa zaidi Sasa hapa shida iko wapi kwa wanafunzi?Shida wala sio chuo,shida ni akili ndogo za wanafunzi....
Wanafunzi hua wao wanadhani hawanaga makosa,kumbe chanzo cha matatizo yote haya ni bongo zao za hovyo...
Sometimes muwe mna take responsibility of your own useless IQs!
Hakuna Vita mkuu shida ni mifumo mibovu ya SAUTNaona Kuna Vita kubwa dhidi ya SAUT sijui shida ni Nini?. Kwa ta
Usisahau na PhD ya mchongo kutoka DodomaSAUT nakumbuka walimpa master degree ya bure Doto Biteko.
Mkuu sio kweli wanafunzi wanapambana mifumo niya hovyo.Angalia picha hiyo chini wanafunzi wanagawiwa ID Kama wanafunzi wa shule ya msingiTatizo la SAUT sio chuo au wahadhiri, ila ni wanafunzi. Take that from me. Wanafunzi wanapenda mtelemko, wanataka kubebwa kuliko vyuo vingine. Sasa wanapo shindwa kubebwa huanza lawama.
Acha kuchafua chuo chetu yako wapi hayo wakati mwenyewe nipo hapo nasoma sijaona unachokisemea hapa, mfano uvivu wako na kuelemewa na starehe chuo kikubebe tu pole yako,Ushauri kwa Kaka,Dada,Mama,Baba,Mjomba,Shangazi na walezi usije mshauri kijana wako wa kike au wa kiume kuomba chuo Cha SAUT-Malimbe Mwanza tegemea yafuatayo
* Carry ya kutafutiwa na mhadhiri ushaidi waulize wanafunzi wa BAMC-3 juu ya course ya TV production
* Incomplete kwenye matokeo ni jambo la kawaida unaweza pata incomplete ukiwa first year mpaka unafika third year unayo licha ya juhudi binafsi kuiondoa kwenye hili wanafunzi wa PR ni wahanga na mashaidi wazuri Kama una ndugu anasoma uliza.
* Dharau wafanyakazi wengi SAUT sio wawajibikaji kutimiza wajibu wao huona Kama ni hisani pia dharau kwa wanafunzi mfano ni ofisi ya IT
* Wanafunzi kurudia course pale suala la incomplete likiwa ngumu mwanafunzi hushauri kurudia course ( carry) na kulipia kiasi Cha 50,000/=Tsh wakati sio kosa lake ni kosa la mfumo SIM
* Penalty ukiwa na deni la chuo na muda ukipita wa kulipa ndugu yangu penalty inakuhusu 100,000/= hata Kama una daiwa 10,000/=
* Kukosa ID ya kufanyia mtihani ada umelipa huna deni lakini kukosa ID ya kufanya mtihani ni kawaida hili ndo tatizo kubwa kwa Sasa mpaka muda huu watu hawajui hiyo jumatatu wataingia kwenye chumba Cha mtihani au laa.
* Chuo kujiendesha kienyeji.yaani unawakusanya wanafunzi wa course zote katika chumba kimoja alafu wanasimama watu mbele wanaita majina ya ID za mitihani
Haya nikwa machache tu uzuri humu wadau wapo wengi Sana watakuja kuongezea.
"Zingatia ushauri huu utakuja kunishukuru baadaye"
Sababu kuu ya GPA kushuka ni nini?Hakuna sehemu ambayo nimesema wanafunzi ni perfect hapana lakini mifumo ya SAUT ni hovyo mfano walihamisha mfumo wa kuweka matokea kutoka OSIM kwenda SIM wanafunzi wakajawa na furaha tele kwamba Sasa matatizo ya Incomplete yatafika mwisho kilicho tokea ni GPA za watu kushuka kijinga kabisa bila sababu na tatizo la Incomplete kuwa kubwa zaidi Sasa hapa shida iko wapi kwa wanafunzi?
Mkuu Kuna watu ni wabishi Sana SAUT mifumo na uongozi wake niwa hovyoHili ni kweli kabisa
Sasa hasira zao ndo ziwe kwa wanafunzi ndio maana wahadhiri wanawapa carry na ku force kununua vitabuTatizo la SAUT halijali wahadhiri. Yani mshahara kupanda imekataliwa. Mhadhiri anafundisha wanafunzi elfu moja lakini mshahara ni ule ule miaka kumi na tano Sasa.
Naked truth chuo kuna shuka link kila uchwaoTafuteni list ya vyuo bora tanzania vile 10 vya mwanzo ndio mkasome huko
Chuo hata top ten hakipo unaenda kusome ili iweje
Ujue mambo yake kienyeji sana
