[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Anashinda Kanda ya Ziwa ila kashindwa kwenda kuwaona wana BK.
Mbona Arusha amekuja huku...?! Shinyanga na Simiyu ameenda lini...?!Salaam Wakuu.
Takribani ni Mwaka mmoja toka Serikali ya Awamu ya 5 ishike hatamu naona Trip za Wakubwa zaidi kwanzia PM zaidi ya 90% ni Kusini, yaani Lindi na Mtwara, mathalani PM baada ya Kutoka tu Arusha Juma lililopita kapitiliza Mtwara na leo hii Ruangwa ambako ndiyo jimbo lake, ni zaidi ya mara 3 anashinda huko wakati kuna Mikoa hajakanyaga Kusikiliza Kero za Wananchi wao wenyewe maana ndiyo inatia Uzito. Ikumbukwe ni Waziri Mkuu na si Mbunge wa kawaida.
Naye Mkulu toka State House ndiyo Kabisaaa, ameenda Chato naye si Chini ya Mara 3 na leo yupo huko kwa kisingizio eti kaenda Msibani.Mbona Bukoba walikufa Watanzania na wengi zaidi na jirani na Chato ila hajawahi Kanyaga?
Kama wewe si wa Kusini ama Kanda ya Ziwa hususani Mwanza, Shinyanga, Simiyu na Geita nje na Dar es Salaam utasubiri saana.Kumbuka Ukweli hisia huja zaidi baada ya Kujionea.
Aliyoyakataza Muasisi wa Taifa hili la Tanznaia Hayati; Mwl. JK Nyerere yaani, Ukabila, Ukanda na Udini yanarejea kwa Kasi ya Ajabu saana, kwa Pamoja wapenda Tanzania tuyapinge kwa nguvu zetu zote.
Hawa watu wa ajabu sana... Magufuli alikuja Arusha, Majaliwa kaja Arusha...Mnafurahisha kweli.Mbona kwetu Mara kanda ya ziwa hajafika? ama ni kanda ya ziwa kaskazini? ha ha ha ha
Watanzania fanyeni kazi acheni majungu.
Yupo pia Maghembe Kilimanjaro...Alipenyaje! Salaaleeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Na Arusha pia kuna wasukuma wengi ama...?!Mpakani mwa wasukuma huko singida emu fuatilia uone kama hautokuta wasukuma wengi singida. Pia kanda ya ziwa nako anaenda kwa wasukuma tu mkoa wa Mara hajakanyaga. Na kwa upande wa mwanza kwa ndugu zangu wakerewe hakuna kwenda...over
Ambulance tu zenyewe imekuwa ni Shida, halafu pia hata zile ambulance zingeenda tuseme hata Arusha, wengine wangetukanwa...Bora hata wamepeleka bodaboda 200 Arusha maaana zingepelekwa shinyanga ingekuwa tabu hum
Umesema Magufuli kakanyaga Mwanza, Shinyanga, Simiyu na Geita haswa haswa...Nakwambia frequently yupo kanda ya Kusini kuliko yoyote. Na kuna Mikoa kibao hajakanyaga na hali kusini kaenda mara nne. Huona kuna Bias fulani hivi.
Serikali ya awamu ya Tano ndiyo serikali makini kuwahi kutokea hapa nchini. Magufuli, tuko nyuma yako na una akil sana. Mungu akulinde milele.
kumuelekeza chizi utajipa kaziInauma saana kusubiria Embe chini ya Mnazi.