phitter
Senior Member
- Dec 1, 2014
- 158
- 173
Mengine msiwe mnafuata mkumbo, heb kawaulize watu wa kanda ya ziwa waliokuwa wanategemea ziwa kwa ajiri ya uvuvi usikie kama hawatakuambia ziwa limefungwa had samaki wawe wakubwa na ukikamatwa unaenda jera kwa kukiuka kanuniMkuu wewe ni typical mtanzania, yaani kichwa kigumu kuelewa na kujiongeza. Teuzi zimekuwa na uelekeo wa upande mmoja, ziara ndio huko unakosema, majanga ya wakulima na wafugaji hayajasemewa, tetemeko limetelekezwa, wengine wamebomolewa nyumba bila hata kauli ya kuwafariji ila machinga wa Mwanza waliotolewa waliko kinyume na sheria wakazuiliwa kuondolewa na viongozi wakaonesha wanajua hadi eneo la Kiloleli hakuna biashara. Hapo haujongelea fedha ya nini sijui ikajenge rami huko. Barabara niliyopita 1990 kule mbeya wakati naenda kuanza form one hadi leo tunabanana humo humo yaani toka Simike hadi Nzovwe kama una ka Vitz halafu kako chini kananata barabarani matairi yanabaki yanaelea. Nchi ina wenyewe saizi wanalipiza kaskazini walivyokula bata kwa hiyo kama hauko Ntwara Lindi, hauko Kaskazini ambako wameshiba tayari na hauko Ziwa ambako ndio zamu yao kula, ishia kuchekea chooni tu
Ukerewe, Bunda n.k watu wanalia hali ya chakula ni mbaya na wanaomba msaada wa chakula haraka sana
Hakuna jipya hata kama akija kwenu bali utaona sura yake tu halaf anaondoka THINK BIG