Na Dodoma alienda kisiasa tuPm amezuru kwao mara 4 ndani ya mwaka 1.
> mara ya kwanzai....akatoa kauli ya kupiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa.
>mara ya pili ...akakagua shule ya sekondari iliyo ungua.
>mara ya 3 ...akafungua duka la msd
>mara ya 4 ndo sasa.
mbona mikoa mingine hajakanyaga hata mara 1?
Ujui kuwa pia ni mbunge anatakiwa ajue kero za walio mchagua au wewe unadhani ukiwa waziri Mkuu majukumu ya kuwakilisha wananchi wake yanakoma toa hoja ya msingi hila hii big No.Pm kila baada ya miezi 3 anatimba jimboni kwake
Unaona wengine wanalalamika waziri mkuu kutembelea wapiga kura wake Mara kwa Mara wewe unalalamika kuwa wabunge Wa singida hawashindi majimboni sasa nani yuko sahihiSINGIDA NI NJIA TU wanapita. Siku wakija na bajeti ya maendeleo pamoja n Development plan ya mkoa ndio nitawaunga mkono.
Mkoa wangu singid Sifa yake pekee ni kutoa kura za kutosha kwa ccm bila hio ccm kufanya jitihada za kuuendleza. Naamini siku wakichoka na huku kwetu ndio kifo kamili cha ccm kitatimia.
Wabunge wenyewe w Mkoa huu wanakuja kupatia ubunge tu huku , wao ni Dar na Arusha.
Umeshasema mmemzomea xaxa anaanzaje kuja tena kwan x hamkumpigia kura aje kufanya nn ?nakumbuka kijamaa kilisema kinazunguka nchi nzima kuwashukuru waliompigia kura,alianza kanda ya ziwa akahusisha na baadhi ya mikoa along mwanza dar road tu..zenji alienda kumwaga sumu za fitna..
sijui mbeya tulikomzomea 2015 atakuja lini kutushukuru wapiga kura ?
Mbona akina Kigwangala, Mwigulu na wengineo wamekwenda karibia kila eneo, kwani wao ndiyo hawana majimbo?Ujui kuwa pia ni mbunge anatakiwa ajue kero za walio mchagua au wewe unadhani ukiwa waziri Mkuu majukumu ya kuwakilisha wananchi wake yanakoma toa hoja ya msingi hila hii big No.
Arusha waziri mkuu alitembelea Wilaya zote...chuga wasije watume tuu hela mambo yakuja kuulizana makaburi ya faru wakati tunashida ya pesa hatutaki
Ushabiki wa kijinga ni ujingaWewe tangu mwaka jana umeshaenda nyumbani kwenu mara ngpi? Na xmass umeilia wapi? Na ulipopata likizo hukwenda kwenu? Au ulitaka likizo akailie ngorongoro?
We umetaja sehemu walizotembelea sana, ukataja Mwanza, Geita, Simiyu na Shinyanga...Mbona mmeng'ang'ana na Arusha tu, kwani hii nchi ni Arusha pekee?
PressReader.com - Journaux du Monde EntierTanga, Iringa, Morogoro, Ruvuma, Njombe, Tabora ja mingine miingi.
Salaam Wakuu.
Takribani ni Mwaka mmoja toka Serikali ya Awamu ya 5 ishike hatamu naona Trip za Wakubwa zaidi kwanzia PM zaidi ya 90% ni Kusini, yaani Lindi na Mtwara, mathalani PM baada ya Kutoka tu Arusha Juma lililopita kapitiliza Mtwara na leo hii Ruangwa ambako ndiyo jimbo lake, ni zaidi ya mara 3 anashinda huko wakati kuna Mikoa hajakanyaga Kusikiliza Kero za Wananchi wao wenyewe maana ndiyo inatia Uzito. Ikumbukwe ni Waziri Mkuu na si Mbunge wa kawaida.
Naye Mkulu toka State House ndiyo Kabisaaa, ameenda Chato naye si Chini ya Mara 3 na leo yupo huko kwa kisingizio eti kaenda Msibani.Mbona Bukoba walikufa Watanzania na wengi zaidi na jirani na Chato ila hajawahi Kanyaga?
Kama wewe si wa Kusini ama Kanda ya Ziwa hususani Mwanza, Shinyanga, Simiyu na Geita nje na Dar es Salaam utasubiri saana.Kumbuka Ukweli hisia huja zaidi baada ya Kujionea.
Aliyoyakataza Muasisi wa Taifa hili la Tanznaia Hayati; Mwl. JK Nyerere yaani, Ukabila, Ukanda na Udini yanarejea kwa Kasi ya Ajabu saana, kwa Pamoja wapenda Tanzania tuyapinge kwa nguvu zetu zote.
Ukikutana na mchango wa hovyo ujue umetoka kwa mtu aliye jiunga juzijuzi ili kuja kumtetea yule Mungu mtu.Kwahiyo unataka kijijini kwenu mjengewe international airport?
Acha majungu bro.Salaam Wakuu.
Takribani ni Mwaka mmoja toka Serikali ya Awamu ya 5 ishike hatamu naona Trip za Wakubwa zaidi kwanzia PM zaidi ya 90% ni Kusini, yaani Lindi na Mtwara, mathalani PM baada ya Kutoka tu Arusha Juma lililopita kapitiliza Mtwara na leo hii Ruangwa ambako ndiyo jimbo lake, ni zaidi ya mara 3 anashinda huko wakati kuna Mikoa hajakanyaga Kusikiliza Kero za Wananchi wao wenyewe maana ndiyo inatia Uzito. Ikumbukwe ni Waziri Mkuu na si Mbunge wa kawaida.
Naye Mkulu toka State House ndiyo Kabisaaa, ameenda Chato naye si Chini ya Mara 3 na leo yupo huko kwa kisingizio eti kaenda Msibani.Mbona Bukoba walikufa Watanzania na wengi zaidi na jirani na Chato ila hajawahi Kanyaga?
Kama wewe si wa Kusini ama Kanda ya Ziwa hususani Mwanza, Shinyanga, Simiyu na Geita nje na Dar es Salaam utasubiri saana.Kumbuka Ukweli hisia huja zaidi baada ya Kujionea.
Aliyoyakataza Muasisi wa Taifa hili la Tanznaia Hayati; Mwl. JK Nyerere yaani, Ukabila, Ukanda na Udini yanarejea kwa Kasi ya Ajabu saana, kwa Pamoja wapenda Tanzania tuyapinge kwa nguvu zetu zote.