Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,161
- 16,249
simu nzuri ila sio sawa na ya mleta flagshipWakuu hii Samsung A72 mnaionaje? Kwa bajeti yangu nataka nichukue hii kwanza..
simu nzuri ila sio sawa na ya mleta flagshipWakuu hii Samsung A72 mnaionaje? Kwa bajeti yangu nataka nichukue hii kwanza..
Kwa bei yake unapata s10 plus bora uchukue flagship achana na hzo midranges unless target yako ni battery...ila hyo a72 imezidiwa kila kitu na S10 plus kasoro batteryWakuu hii Samsung A72 mnaionaje? Kwa bajeti yangu nataka nichukue hii kwanza..
ukiona watu wanapambana na umasikini huwezi elewa
jaribu simu ya milioni 2.5 kwenda mbele utautukana umasikini kwa nguvu sana.
Kwa bei yake unapata s10 plus bora uchukue flagship achana na hzo midranges unless target yako ni battery...ila hyo a72 imezidiwa kila kitu na S10 plus kasoro battery
10 mpya au refubKweli kabisa mkuu nilitaka kumshauri hivyo
Imenibidi niende kuangalia ni ya mwaka ganiSAMSUNG nawaelewa sana. Ndio simu zangu mimi SAMSUNG. Hivi sasa niko na C9 PRO. Sina mpango wa radha ya simu ingine.
Nilikua na milion 2.5 nikataka kununua macho matatu baadae nikafanya maamuzi magumu nimenunua vitoto vya nguruwe 50 ndo napambana navyo najua baada ya miezi 6 nikija kuwauza ntaingia befoward kutafuta BMW X 3Kiufupi simu za 2.5+ kwenda mbele ndo simu,kuna siku nilishika macho matatu ya jamaa kama dkk 15 hv,aisee simu yang a12 niliona kopo kama makopo mengne kasoro kopo lang linatoa mwanga na kuhangaika kulichaji tu
S10 + kwa sasa inauzwa shilingi ngapi?Kwa bei yake unapata s10 plus bora uchukue flagship achana na hzo midranges unless target yako ni battery...ila hyo a72 imezidiwa kila kitu na S10 plus kasoro battery
Hatari sanaKuna chuma kinaitwa Xiaomi mi 11 Ultra...
Weka mbali na watoto.
dah we jamaa umenichekesha sana, ila umefanya maamuzi sahihi sanaNilikua na milion 2.5 nikataka kununua macho matatu baadae nikafanya maamuzi magumu nimenunua vitoto vya nguruwe 50 ndo napambana navyo najua baada ya miezi 6 nikija kuwauza ntaingia befoward kutafuta BMW X 3
umefanya uamuzi uliopevuka,ila usisahau kutwambia vinakula kiasi gani kwa siku!!!Nilikua na milion 2.5 nikataka kununua macho matatu baadae nikafanya maamuzi magumu nimenunua vitoto vya nguruwe 50 ndo napambana navyo najua baada ya miezi 6 nikija kuwauza ntaingia befoward kutafuta BMW X 3
Wanaonunua simu kwa 2.5mil wana BMW X3 tayariNilikua na milion 2.5 nikataka kununua macho matatu baadae nikafanya maamuzi magumu nimenunua vitoto vya nguruwe 50 ndo napambana navyo najua baada ya miezi 6 nikija kuwauza ntaingia befoward kutafuta BMW X 3
Hii si ni simu ya mwaka 2016?? au mimi ndio nimekosea??SAMSUNG nawaelewa sana. Ndio simu zangu mimi SAMSUNG. Hivi sasa niko na C9 PRO. Sina mpango wa radha ya simu ingine.
Inawezekana. Kuna utofauti gani na hizi mnazotumia za sasa?. Simu nyingi tu za sasa hiv zinazidiwa uwezo kwa mambo kadhaa na C9Hii si ni simu ya mwaka 2016?? au mimi ndio nimekosea??
Yes ni kweli, nilikuwa nauliza tu kupata uhakika.Inawezekana. Kuna utofauti gani na hizi mnazotumia za sasa?. Simu nyingi tu za sasa hiv zinazidiwa uwezo kwa mambo kadhaa na C9
Kweli kabisa...enzi hzo natumia midranges nlikua sielewi utamu wa flagships ila siku nimeonja sitamani kurudi kwa midranges kabisa...tutafute elaukiona watu wanapambana na umasikini huwezi elewa
jaribu simu ya milioni 2.5 kwenda mbele utautukana umasikini kwa nguvu sana.
Kama alishawahi kutumia flagship ataelewa nn tunamaanisha!Kweli kabisa mkuu nilitaka kumshauri hivyo
1.2M sawasawa na hyo A72 bei ni moja!S10 + kwa sasa inauzwa shilingi ngapi?
Flagship ndio mpango hapo hata kama ya miaka 2 iliyopita1.2M sawasawa na hyo A72 bei ni moja!