Llio 002
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 1,615
- 2,031
Habari wana Jf, nilikuwa nna mpango wa kununua simu hii ya Samsung galaxy s21 Ultra 128 Gb storage yake... bei zake zinanichanganya kuna jamaa anaduka lake Kkoo hapa jengo la Infinix anauza millions 1.7 na simu hiyo hiyo nimezunguka maduka ya Mlimani imakwenda hadi 2.5 millions.
Hizi tofauti za bei ndio zinanichanganya maana range of difference ni kubwa sana. Wajuzi naombeni mnitowe tongo tongo jamani
Chief-Mkwawa
Hizi tofauti za bei ndio zinanichanganya maana range of difference ni kubwa sana. Wajuzi naombeni mnitowe tongo tongo jamani
Chief-Mkwawa