The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Angalia maajabu ya Samsung Galaxy S22 Ultra.
Kwa teknolojia ya kisasa ya kamera ujue hakuna usiri tena.
Unaweza kufanya jambo ukiamini hakuna anaekuona kumbe mtu yuko kilomita kadhaa anakuangalia tu.
Juzi baada ya Apple kutoa Iphone 14 nikawa naangalia reviews kadhaa online ikiwemo ya Iphone Diehard Bw. Mrwhoistheboss akikiri kwamba Samsung ila strong and advanced camera hardware ila ina weak system ya android ambao inashindwa ku optilmize sawa sawa picha.
Akaenda mbali na kusema Apple wana weaker camera hardware ila wana good software ambayo inawasaidia kubalance weakness za camera hardware.
Anyway, point yangu ni kwamba, be careful where you are.
Kwa teknolojia ya kisasa ya kamera ujue hakuna usiri tena.
Unaweza kufanya jambo ukiamini hakuna anaekuona kumbe mtu yuko kilomita kadhaa anakuangalia tu.
Juzi baada ya Apple kutoa Iphone 14 nikawa naangalia reviews kadhaa online ikiwemo ya Iphone Diehard Bw. Mrwhoistheboss akikiri kwamba Samsung ila strong and advanced camera hardware ila ina weak system ya android ambao inashindwa ku optilmize sawa sawa picha.
Akaenda mbali na kusema Apple wana weaker camera hardware ila wana good software ambayo inawasaidia kubalance weakness za camera hardware.
Anyway, point yangu ni kwamba, be careful where you are.