Samsung Galaxy A10, 20, 50, 90

Samsung Galaxy A10, 20, 50, 90

Mimi naweka ushahidi wangu hapa
Mwaka jana zilianza tetesi samsung ana outsource production ya simu zake za low end na midrange kwa Wintech kampuni inayotengeneza simu za xiaomi
Samsung reportedly in talks with Xiaomi's Wintech to manufacture Galaxy phones for China - Gizmochina

Tetesi zikawa kweli na A6 ikawa simu ya kwanza

Baada ya hapo simu nne zaidi wakapewa na tetesi za kuongezewa simu mbili zikawepo
Samsung’s ODM strategy boon for China’s Wingtech

Na wewe pinga na ushahidi wako.
 
Hizi simu ziko vizuri sana..mapungufu hayakosekani kwa kila product. Hakuna simu inayojitosheleza.hata hizo s10+ ama iPhone x.bado zina mapungufu sana..back to the point hizi simu series ya A..huwezi kujilaumu..mi nilichukua A 20.ubora wake na wepesi wake sijutii..kuhusu uimara hilo mtu asikudanganye mara gorilla glass..hapa ni utunzaji tu wa mtu..nunua simu weka glass protector..then cover case..sio unanua simu unaitumia ilivyo naked ..unategemea nini ikidondoka..hilo limenitokea kwa s7edge..upuuzi wa gorilla glass..kumbe mbwembwe tu..hii A20 ipo faster kwangu kuliko s7 edge niliyokuwa natumia.
mie ninataka kununua S7 edge lakini naona version yake ya android ni ya muda
 
Chief mkwawa vipi Mi A3 kwa upande Wa games iko poa??
M30 features zake nzuri ni.
-battery kubwa la 5000mah, nimeona video moja youtube inacheza pubg masaa 7 mfululizo,
-kioo kizuri super amoled Full HD
-processor yenye nguvu na ram/storage ya kutosha.

Ila pia vitu hivi vinazingua
-gpu isiyo na nguvu sana inaiangusha processor nzuri
-camera sio nzuri kivile compare na competition.

Ni simu nzuri kama unataka simu ya mishe mishe ya kutumia kila siku, ila kama kucheza games ni priority angalia A50 ama xiaomi redmi note 7.
 
Chief-Mkwawa unachomeka cable charging
Charging 90% (Approximately 1 minutes until full charged) hili tatizo ni nini.
 
Wakuu habari,

Nimekutana na hizi simu sokoni (Samsung A10, 20, 50, 90), ni toleo jipya la Samsung. Vp kuhusu ubora wake kwa ambao wanazifahamu au ambao tayari wanzitumia.

Nimevutiwa na bei ya A10 iko reasonable sana nataka nivute moja.

Msaada kwa wajuzi wa hii kitu.

Cc: wana jukwaa wote wa technology.

kwa uelewa wangu mm ...hizo cm sio main line ya samsung ni BUDGET phones by samsung kwaajili ya kushindana na chinese market ....kumbuka mwaka jana kama skosei ...kwenye top5 ya wauzaj wa cm nying duanian china ilikua na 3 companies ...which wanafanya vizur sana kwa india ..Africa na some european parts na marekan kdogo ...since mchina yy ana tengeneza these flagship phones at a very low price na kuuza sana kwenye hayo maeneo Samsung akaona asibaki nyuma ndio akatoa izo A SERIES n in some extent kaingia sokoni

but still S SERIES NA NOTE SERIES ..ndio main line ya samsung na kwenye hizo line Samsung puts its A game n go agressive ...but izo budget Aseries ni mostly wame base kwenye looks though perfomance zake ni za kawaida ...n some camera pia ni kawaida so ni BUDGET phones the best line ni S series na Note series


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kama naweza kuaccess email zangu, kupiga simu, whatsapp call etc kwa hivyo tosha sanaaaa...mimi sijui pixel za camera sijui nini havinihusu maana mie sio mpiga picha
 
Nipo na A70 hapa hata sijutii aisee charge inakaa mda mrefu aisee kioo kizurii hapa naina raha ya simu japo ki redm note 4 changu bado nakihusudu
 
Mkuu jaribu kutumia 3rd party camera yoyote search play store camera.

Pia angalia Kama hujaziba camera na protector
Kuna Samsung m30s hii ikoje kiongozi sababu inaonekana ina specifications nzuri kiasi. Inafaa kununua na bei zake kwa bongo zikoje
 
Kuna Samsung m30s hii ikoje kiongozi sababu inaonekana ina specifications nzuri kiasi. Inafaa kununua na bei zake kwa bongo zikoje
Hii haiuzwi huku kwetu ni ya kuagizishia nje. Ukiikuta huku ni mtu ameitoa nje na bei zake zinakuwa kubwa.

Ni simu nzuri kama ukaaji chaji ni kitu muhimu zaidi kwako.
 
Back
Top Bottom