Ahsante mkuu ngoja nifanye mchakato wa kuiagizaHii haiuzwi huku kwetu ni ya kuagizishia nje. Ukiikuta huku ni mtu ameitoa nje na bei zake zinakuwa kubwa.
Ni simu nzuri kama ukaaji chaji ni kitu muhimu zaidi kwako.
Ahsante mkuu ngoja nifanye mchakato wa kuiagizaHii haiuzwi huku kwetu ni ya kuagizishia nje. Ukiikuta huku ni mtu ameitoa nje na bei zake zinakuwa kubwa.
Ni simu nzuri kama ukaaji chaji ni kitu muhimu zaidi kwako.
unazimia na restart wapi??Tarehe 10 juni 2019..nilichangia uzi huu...nilinunua A 20..nimeitumia mpaka leo bado naitumia. Nimetumiwa updates tarehe 29 july 2020. Nimepakua ime upgrade simu kutoka android ya 9 -10. Na kuiongezea features nyingi sana nzuri kama za kuzima simu na restart haina haja ya buttons tena na recycle bin kwa kila kitu..na features nyingi sana. My recommendation kwa wale wenye budget ndogo na mnataka simu nzuri angalieni hizi series za A's. Hutojutia hela yako. Kuhusu battery huwezi jutia kabisa.
I second youTarehe 10 juni 2019..nilichangia uzi huu...nilinunua A 20..nimeitumia mpaka leo bado naitumia. Nimetumiwa updates tarehe 29 july 2020. Nimepakua ime upgrade simu kutoka android ya 9 -10. Na kuiongezea features nyingi sana nzuri kama za kuzima simu na restart haina haja ya buttons tena na recycle bin kwa kila kitu..na features nyingi sana. My recommendation kwa wale wenye budget ndogo na mnataka simu nzuri angalieni hizi series za A's. Hutojutia hela yako. Kuhusu battery huwezi jutia kabisa.
Umeichukua kwa Bei gani mkuuLeo nimemnunulia mzee wangu Samsung M11, nimeipenda karibu kilakitu but camera naona kama ya kawaida
400,000/=Umeichukua kwa Bei gani mkuu
Hivi mkuu hujaulizia m21 inapiga Bei gani mkuu400,000/=
Hapo juu kwenye hicho kidude kama cha power buttonunazimia na restart wapi??
A 10 Sasa hivi kuna Mkubwa ake a10 s hutojutia mkuu laki tatu na nusu Ina finger print scanner, 2 gb ram 32 gb rom ....hutojutia mzee babaKwa bei yake ni reasonable hio A10 madukani kama 250k hivi version ya 2gb na 32GB storage.
Sema usitegemee quality ya samsung, zinafanana tu na simu nyengine za kichina hivyo shusha expectation zako.
Hapana, niliponunua kulikuwa na a11,m11 na a20sHivi mkuu hujaulizia m21 inapiga Bei gani mkuu
A10s ni ndogo ya A10A 10 Sasa hivi kuna Mkubwa ake a10 s hutojutia mkuu laki tatu na nusu Ina finger print scanner, 2 gb ram 32 gb rom ....hutojutia mzee baba
Hizi zote zinapishana bei zake kwa kiasi gani dukani mkuu?A10s ni ndogo ya A10
A10 ni rahisi kuliko A10s na A11 sema ni kama zimepotea Sokoni.Hizi zote zinapishana bei zake kwa kiasi gani dukani mkuu?
Mkuu nimepitia comments zote za huu uzi. Swali langu ni dogo tu, nahitaji kujua uimara wa screen ya A10 na A10s. Je uimara wa screen ya hizi simu mbili uko sawa au unatofautiana?A10s ni ndogo ya A10
Kama hujali gaming na nguvu ya simu A11 ina make sense zaidi,Mkuu nimepitia comments zote za huu uzi. Swali langu ni dogo tu, nahitaji kujua uimara wa screen ya A10 na A10s. Je uimara wa screen ya hizi simu mbili uko sawa au unatofautiana?
Kwangu camera na gaming sio issue, hivyo hii brand inaweza ikanifaa.
Asante sana mkuuKama hujali gaming na nguvu ya simu A11 ina make sense zaidi,
Na uimara wa kioo zote zina kioo cha kawaida tu, itabidi uweke protector.