Samsung Galaxy A10, 20, 50, 90

Uyuu ni makerting wa REDMI so usitegemee kupata ukwelii hapaa
Mimi naweka ushahidi wangu hapa
Mwaka jana zilianza tetesi samsung ana outsource production ya simu zake za low end na midrange kwa Wintech kampuni inayotengeneza simu za xiaomi
https://www.gizmochina.com/2018/09/...intech-to-manufacture-galaxy-phones-for-china

Tetesi zikawa kweli na A6 ikawa simu ya kwanza

Baada ya hapo simu nne zaidi wakapewa na tetesi za kuongezewa simu mbili zikawepo
http://en.thelec.kr/news/articleView.html?idxno=350

Na wewe pinga na ushahidi wako.
 
Mimi naweka ushahidi wangu hapa
Mwaka jana zilianza tetesi samsung ana outsource production ya simu zake za low end na midrange kwa Wintech kampuni inayotengeneza simu za xiaomi
https://www.gizmochina.com/2018/09/...intech-to-manufacture-galaxy-phones-for-china

Tetesi zikawa kweli na A6 ikawa simu ya kwanza

Baada ya hapo simu nne zaidi wakapewa na tetesi za kuongezewa simu mbili zikawepo
http://en.thelec.kr/news/articleView.html?idxno=350

Na wewe pinga na ushahidi wako.
Mkuu nlkuwaa katika kutaniaa but still naona wanasema itakuwa samsung ile ile coz hataa apple mliwahii sema umu kuwa USA ni design ila watengenezajii ni Chinaa
 
Kingine nilitaka kujuaa ubora wake au ubovu wake unaletwa na nini kuwa haijatengenezwa na samsung au Iyoo kampuni coz km Samsung wamekubali watengenezewe simu kwa kiwango cha Chini means wameamua kujimalizaa wenyewee
 
Mkuu nlkuwaa katika kutaniaa but still naona wanasema itakuwa samsung ile ile coz hataa apple mliwahii sema umu kuwa USA ni design ila watengenezajii ni Chinaa
Apple ana design mwenyewe kule inafanyika tu manufacturing, ODM stand for Original Design manufacture, hapa ina maana hata kwenye kudesign wintech anahusika.
 
Mimi naweka ushahidi wangu hapa
Mwaka jana zilianza tetesi samsung ana outsource production ya simu zake za low end na midrange kwa Wintech kampuni inayotengeneza simu za xiaomi
https://www.gizmochina.com/2018/09/...intech-to-manufacture-galaxy-phones-for-china

Tetesi zikawa kweli na A6 ikawa simu ya kwanza

Baada ya hapo simu nne zaidi wakapewa na tetesi za kuongezewa simu mbili zikawepo
http://en.thelec.kr/news/articleView.html?idxno=350

Na wewe pinga na ushahidi wako.

Ila mkuu Xiaomi si moja ya best brand katika brand za smartphone za China.

Kwa hiyo sidhani kama hizi Samsung zitakuwa low quality kama hizo chinese zingine. Maana naona ata processor zake ziko vizuri ukilinganisha na product zingine za China.

Na pia kwa maelezo hayo wanasema lengo sio kushusha ubora wa Samsung ila kuwafikia watumiaji wengi wa smart phone.
 
Na mimi ndo nlichokielewaa hapaa
Ila mkuu Xiaomi si moja ya best brand katika brand za smartphone za China.

Kwa hiyo sidhani kama hizi Samsung zitakuwa low quality kama hizo chinese zingine. Maana naona ata processor zake ziko vizuri ukilinganisha na product zingine za China.

Na pia kwa maelezo hayo wanasema lengo sio kushusha ubora wa Samsung ila kuwafikia watumiaji wengi wa smart phone.
 
hardware zake lowtech ambazo hata tecno anatumia kwenye simu zake hvyo lever kama za spark 2 na wenzake hao
ila samsung kacheza na camera battery kutunza moto pamoja na storage kuna wenzangu na mm hao wakisikia gb32 halafu kwa 250k kwa samsung wanachachawa
 
uwongo upi ukweli upi
wewe umezoea simu camera kari gb16 batter kutunza moto usharidhika lkn wanaojua simu 7bu wanajua kadri unavyojaza apps itakusumbua ndo mana ushauri simu zenye uwezo mkubwa kwa gharama nafuu

Kweli miss Moro.

Hapa nimejua kwa nini GB 32 internal memory, 2GB ram na octa core processor kwa 300k.
 
Hizi simu ziko vizuri sana..mapungufu hayakosekani kwa kila product. Hakuna simu inayojitosheleza.hata hizo s10+ ama iPhone x.bado zina mapungufu sana..back to the point hizi simu series ya A..huwezi kujilaumu..mi nilichukua A 20.ubora wake na wepesi wake sijutii..kuhusu uimara hilo mtu asikudanganye mara gorilla glass..hapa ni utunzaji tu wa mtu..nunua simu weka glass protector..then cover case..sio unanua simu unaitumia ilivyo naked ..unategemea nini ikidondoka..hilo limenitokea kwa s7edge..upuuzi wa gorilla glass..kumbe mbwembwe tu..hii A20 ipo faster kwangu kuliko s7 edge niliyokuwa natumia.
bei yake ikoje mkuu
 
Niaje wakuu, Nimetumia A50 4gb/128gb kwa takribani wiki ya tatu sasa. Nilinunua kenya.

Mazuri
1. Design nzuri
2. Kioo cha kisasa cha super amoled
3. Ina mambo mengi kama flagship brands ukizingatia bei yake. Kiufupi samsung linapokuja ishu ya software wako vizuri sana
4. inachaji kwa haraka sana. ndani ya dk 40-45 inakuwa imejaa
5. Storage kubwa ya 128gb

Mapungufu
1. Haikai sana chaji hasa ukiwa unatumia internet(light browsing mf twitter, whatsapp, ). Inashangaza ukizangatia ina battery kubwa ya 4000mah
2. Iko very delicate sana hasa kioo, inahitaji uangalifu mkubwa sana
3. Ubora wa camera uko chini sana. ila watu wengi wanashauri kuinstall GCAM ila sijaribu

Kwa mtumiaji wa simu ya kawaida ni sawa, ila ukiondoa swala la battery na camera ni simu nzuri sana kulingana na bei yake
 
Ila mkuu Xiaomi si moja ya best brand katika brand za smartphone za China.

Kwa hiyo sidhani kama hizi Samsung zitakuwa low quality kama hizo chinese zingine. Maana naona ata processor zake ziko vizuri ukilinganisha na product zingine za China.

Na pia kwa maelezo hayo wanasema lengo sio kushusha ubora wa Samsung ila kuwafikia watumiaji wengi wa smart phone.
Ni kweli mkuu xiaomi wapo vizuri ila kuna vitu simu kama samsung wanakuwa vizuri kuliko Xiaomi, hivyo hizo advantage utazimiss. Na pia kuna advantage nyengine utazipata.

Mfano.
-hii A10 ina core 2 kubwa za cortex A73 na core 6 ndogo za cortex A53, zamani simu za samsung zenye core kubwa ulikuwa unazipata kwa laki 8 kupanda, pia kupata simu ya samsung yenye internal 32gb kwa laki 2 na nusu ilikuwa haiwezekani, hivyo specs wise hizi simu zime improve sana.

-japo zime improve specification ila zime adapt mambo ya kichina, display yake ukiangalia kwa macho tu unaona sio top quality ya samsung tuliyoizoea zile icon rangi zimefifia na sio sharp, pia camera ni ya kawaida kama brand nyengine za kichina.

Ipo A10 hapa nyumbani nimechukua sample ya picha uone, kopo la dawa ya mbu hit, nimecompare na note 5.
20190611_114517.jpg


20190611_114915.jpg

Ukiangalia kwa haraka haraka unaona kama 10 ni nzuri hizo rangi, lakini unapocrop unaona utofauti kwenye note 5 unaweza soma hayo maneno wakati A10 inaonyesha kabisa haina details nyingi

20190611_114736.jpg

20190611_115117.jpg


Hizi ndio camera nyingi za simu za kichina zilivyo zinasaturate color na picha inaonyesha kama ni nzuri lakini inakuwa fake.

Ila still A10 ni simu nzuri bila wasiwasi ningenunua hii over something kama spark 7
 
Niaje wakuu, Nimetumia A50 4gb/128gb kwa takribani wiki ya tatu sasa. Nilinunua kenya.

Mazuri
1. Design nzuri
2. Kioo cha kisasa cha super amoled
3. Ina mambo mengi kama flagship brands ukizingatia bei yake. Kiufupi samsung linapokuja ishu ya software wako vizuri sana
4. inachaji kwa haraka sana. ndani ya dk 40-45 inakuwa imejaa
5. Storage kubwa ya 128gb

Mapungufu
1. Haikai sana chaji hasa ukiwa unatumia internet(light browsing mf twitter, whatsapp, ). Inashangaza ukizangatia ina battery kubwa ya 4000mah
2. Iko very delicate sana hasa kioo, inahitaji uangalifu mkubwa sana
3. Ubora wa camera uko chini sana. ila watu wengi wanashauri kuinstall GCAM ila sijaribu

Kwa mtumiaji wa simu ya kawaida ni sawa, ila ukiondoa swala la battery na camera ni simu nzuri sana kulingana na bei yake

Gcam inakuwaje mkuu, ndo zile camera za kumodoa?
 
Ni kweli mkuu xiaomi wapo vizuri ila kuna vitu simu kama samsung wanakuwa vizuri kuliko Xiaomi, hivyo hizo advantage utazimiss. Na pia kuna advantage nyengine utazipata.

Mfano.
-hii A10 ina core 2 kubwa za cortex A73 na core 6 ndogo za cortex A53, zamani simu za samsung zenye core kubwa ulikuwa unazipata kwa laki 8 kupanda, pia kupata simu ya samsung yenye internal 32gb kwa laki 2 na nusu ilikuwa haiwezekani, hivyo specs wise hizi simu zime improve sana.

-japo zime improve specification ila zime adapt mambo ya kichina, display yake ukiangalia kwa macho tu unaona sio top quality ya samsung tuliyoizoea zile icon rangi zimefifia na sio sharp, pia camera ni ya kawaida kama brand nyengine za kichina.

Ipo A10 hapa nyumbani nimechukua sample ya picha uone, kopo la dawa ya mbu hit, nimecompare na note 5.
View attachment 1124416

View attachment 1124414
Ukiangalia kwa haraka haraka unaona kama 10 ni nzuri hizo rangi, lakini unapocrop unaona utofauti kwenye note 5 unaweza soma hayo maneno wakati A10 inaonyesha kabisa haina details nyingi

View attachment 1124399
View attachment 1124400

Hizi ndio camera nyingi za simu za kichina zilivyo zinasaturate color na picha inaonyesha kama ni nzuri lakini inakuwa fake.

Ila still A10 ni simu nzuri bila wasiwasi ningenunua hii over something kama spark 7

Nimekupata chief, ila kwa hizo processor inawezekana iketa zile shida za tecno za ku stack?

Hapo ndo wasi wasi wangu kuhusu kukwama kwama ukitia app’s nyingi.
 
Nimekupata chief, ila kwa hizo processor inawezekana iketa zile shida za tecno za ku stack?

Hapo ndo wasi wasi wangu kuhusu kukwama kwama ukitia app’s nyingi.
Processor yange ina nguvu sana mkuu, ila ram 2gb tu, hakuna maajabu itakwama tu hasa vile umewahi tumia simu kama s7.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom