Gushleviv
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 3,457
- 5,322
Simu nzuri kwa sasa ni ipi kwa budget ya 350k?Kwa bei yake ni reasonable hio A10 madukani kama 250k hivi version ya 2gb na 32GB storage.
Sema usitegemee quality ya samsung, zinafanana tu na simu nyengine za kichina hivyo shusha expectation zako.
