Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
KadaMpinzani na Mwafrika wa Kike,
Waheshimiwa kumbukeni hii sio MSN/AOL/Yahoo Chat, hii ni forum ambayo watu wengi wenye muda mfupi wa kupita huku kwa muda then waendelee na shughuli zao wanakuja kuangalia mambo ya maana ya ujenzi wa taifa hili maskini kabisa...
Cha kusikitisha mmeamua KUBAKA na KUNAJISI na KUFISAD forum hii... Acheni jamani... mengine endelezeni kwenye PM, mtakubaliana tu!!! Hapa hamtakubaliana maana kuna watu wanatia chumvi..
Narudia tena, "Jamani naamba tuache huu mjadala"
Waheshimiwa kumbukeni hii sio MSN/AOL/Yahoo Chat, hii ni forum ambayo watu wengi wenye muda mfupi wa kupita huku kwa muda then waendelee na shughuli zao wanakuja kuangalia mambo ya maana ya ujenzi wa taifa hili maskini kabisa...
Cha kusikitisha mmeamua KUBAKA na KUNAJISI na KUFISAD forum hii... Acheni jamani... mengine endelezeni kwenye PM, mtakubaliana tu!!! Hapa hamtakubaliana maana kuna watu wanatia chumvi..
Narudia tena, "Jamani naamba tuache huu mjadala"