Sina historia ya siasa ya mh.Lema kuliko Zitto.Zitto nilimfahamu kwa mara ya kwanza nko form 3 na saiv nimemaliza SUA kupitia Jarida la Fema wakati huo likiwa linaitwa FEMINA.Nilisoma historia yake toka akiwa shule ya msingi.Kwa Mh.Lema sjui chochote kuhusu yeye,lakin kuhusu huu mgogoro wanachadema kuweni makini chama chenu kitakufa kifo cha Mende.
Halafu kuna tatizo moja kwa vijana wengi wa chadema kuamini viongozi wao kwa kufuata mkumbo kuliko kutafakari wao binafsi.Sijawahi kushuhudia maandamo Kigoma kama Arusha,na kabla ya Zitto kigoma ilikua haipo kabisa kwenywe ramani ya siasa lakini saivi ukitaja kigoma moja kwa moja jina la Zitto linakujia kichwan.
uko sahihi asilimia zote.