Tony Gwanco
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 5,913
- 1,208
nachojua mpk sasa uongozi wa juu ushafanya kazi yake ndiyo maana kwa sasa wameanza kujitokeza washauri wa karibu kama akina albert
kazi gani wanaogopa nn walikuwa wapi?
nachojua mpk sasa uongozi wa juu ushafanya kazi yake ndiyo maana kwa sasa wameanza kujitokeza washauri wa karibu kama akina albert
kazi gani wanaogopa nn walikuwa wapi?
Unamuuliza Ben mambo yanayomuhusu Zitto hiyo akili? Kesi ya mbuzi unaopeleka kwa fisi? Unategemea nini?
Wee hujuwi msimamo wa Ben juu ya Zitto? Hata mtoto aliyetumboni anajua Hilo tena lipo wazi kabisa!
Wee kweli hujuwi siasa pole sana!
Kama ni umaarufu tu,hata shetani alikuwa nao mbinguni kabla ya kuasi na kutupwa chini.Nawaomba viongozi wa Chadema,tupa chini waasi na wote wanaokiharibu chama hata kama wana umaarufu na walishiriki kuimarisha chama kwani hata shetani alikuwa karibu sana na Mungu lakini alipoanza uasi alitupwa chini yeye na wafuasi wake
ther is strong point toka kwa mwanasheria, well explained keep it up mzee!!!!
Nilisikia Ben kapata mwandani ambaye anamjua kuliko mtu mwingine yeyote. Hongera mama kwa kujitokeza hadharani.
Hakuna kipya alichokiongea ambacho hakijasemwa na watu wengine hapa JF na kwenye social media zingine. He just reward a tape and play again.
Anadai tatizo siyo posho bali kuna kitu kiko nyuma yake. Sasa kama kuna kitu kiko nyuma yake kwa nini asikiseme hapa jukwaa kwa sababu yeye mwenyewe amedai haoni taabu kugombana nao na pia haoni taabu kurumbana kwenye mitandao.
Maelezo yake yamejikita kwenye posho wakati anadai posho ni non-issue.
Viongozi wa CHADEMA wanataka kutoana macho kwa ajiri ya "sitting allowance", pesa inayotoka kwa wananchi walalahoi ambao wabunge hao hao wanaodai kuwapigania ili zifutwe kodi zisizokuwa na tija wakati hizo ndizo zinaongeza posho zao wanazotaka kutoana macho!. Gosh.
It's too good to be true but is true.
Yetu macho na masikio.
Ni kweli hafahamu?
nachojua mpk sasa uongozi wa juu ushafanya kazi yake ndiyo maana kwa sasa wameanza kujitokeza washauri wa karibu kama akina albert
ben ni msaka tonge hana lolote
Acha watu wajadili wewe, mmekalili kila jambo la siasa lazima likajadiriwe kwenye vikao vya chama? kuna siasa gani katika hilio? Wakajidiri kwenye vikao vya chama, hizo posho wanalipwa na CHADEMA?
Dawa ya jeuri ni kiburi,aliwawahi kusema sugu.
Nimesoma majibu ya Zitto kwa Lema, lakini niseme tu kwamba Zitto Kabwe anafanya kosa kubwa kwa kuendesha siasa zake ndani ya CHADEMA akidhani kuwa yuko Ulaya na Marekani ambako ukomavu wa siasa katika vyama na uelewa wa wanachama na wananchi kwa ujumla ni wa kiwango cha juu sana. Amekosa utambuzi wa kuelewa level ya utambuzi wa watu wake, hivyo kutaka kuwajaza demokrasia za Kimarekani na Ulaya ni sawa na yeye kukimbia km 50 kwa saa wakati anaowaongoza wanakimbia km 5 kwa saa,(Hata CCM hawakuwa wanafanya hivyo siku za nyuma, walijitahidi sana kwenda mwendo wa wajumbe wa mashina enzi ya Mwalimu). Mwisho wake Zitto anajikuta anakimbia peke yake na wenzake wachache na kuliacha kundi kubwa nyuma, ndio maana anaitwa msaliti. Ushauri wangu kwake kama anaweze ashike breki aamgalia nyuma wenzake kawaacha wapi, vinginevyo anaweza kupitiliza hata katika mstari wa kumaliza mbio na kujikuta hana hata mtu wa kumsghangilia