Hakuna jipya hapa.
Mbona kwa swala la mwigamba wote tulisema amekosea?
Huyu anajaribu kumtetea lema kwa kujificha na kwa maneno yake anaonesha kukubali njia aliyotumia
Godbless J Lema.
Albert anasema kwenye vikao vya chama mambo ubaki kulekule na huwa siri za vikao hivyo muda mwingine ni lazima watu waseme nje ya vikao hili tujue.
Kwa mantiki hiyo kukingana na maansishi ya albert ni wazi ana support njia ya aliyotumia mwigamba.
Na kama mwigamba was right kwa nini alipewa adhabu? Is this double standard albert?
Albert kwa nini mwigamba aliadhibiwa?
Albert amejikuta ana muita
Godbless J Lema mnafiki maana amesema posho si chanzo cha vurugu za lema.
Albert mbona una jichanganya?
Albert anaonekana kujua chanzo cha hizi vurugu kinyume tunavyo fikiri na amejikuta ajiita mnafiki kama alivyo muita lema maana hata yeye kashindwa kusema pamoja na kusema kuwa muda mwingine watu wanatakiwa kuongea hata nje ya vikao lakini yeye kashindwa.
Albert amejaribu kuzunguka mbuya lakini mwisho wa siku ameonesha dharau kubwa kwa vikao vya chama na walio tunga kanuni maana ana zipinga.
Albert anaogopa kumwambia ukweli lema kuwa amekosea na aache ujinga.
Albert ni mnafiki anamuogopa lema.
Hivi mbowe,albert lema ni nani mpaka asikemewe?
Zitto ni naibu katibu mkuu lakini huyu albert ana halalisha lema kumtuhumu kiongozi wa juu wa chama kupitia mitandao.
Hivi albert una muogopa lema hili iweje?
Albert anajidanganya kuwa njia anayo itumia lema kuwa ni nzuri na cha kina weza baki salama,hapa akawadanganye watoto wake ,time will tell.