Adiel
Member
- May 20, 2013
- 91
- 19
Nimependa sana hiki kipande,kina mengi ndani yake.
Lakini, nafsi pia inaweza
kukutuma kuchanganya
mazuri na mabaya.
Ukapokea posho ukakataa
rushwa. Au ukakataa
posho ukapokea rushwa.
Ni nafsi yako.
CcZito
Mwandishi yuko vizuri sana na kauli hii ndo tofauti kati ya Lema na Zitto. Mmoja anatudanganya.