Salamu za wiki kwa ZITTO NA LEMA

Salamu za wiki kwa ZITTO NA LEMA

Hivi alichojibiwa Lema na Zitto ni dharau au unataka kubalance habari yako usionekane mbaya kwa Lema.
 
Rutta, Mwigamba alifanya nini kati ya haya?
1. Kuandika habari JF bila kuwaambia wengine

2. Kutokutumia vikao kusema yale anayoona ni matatizo chamani?

Kumbuka yeye ni mjumbe wa vikao vya chama kaka. Sio kama mimi na wewe ambao ni wajumbe wa JF. Labda ndio maana akahukumiwa haraka haraka. Ila kama alisema ukweli kuhusu Mbowe au mtu mwingine yeyote basi yuko sahihi. Na asipewe adhabu kwa kusema ukweli hata kama unauma na unawagusa wale tunaowapenda.

Kuna kitu kimoja kwenye Sheria, ushahidi ni ushahidi hata kama umepatikana katika mazingira vunjifu ya Sheria. Nasema ukweli ni ukweli hata kama umetolewa katika njia ambayo sio sahihi.

Mwigamba kakosea njia ya kusema kile anachoamini ni ukweli lakini hajakosea kukisema. Sasa tunakijua na hilo ndilo la msingi. Waliosemwa watoe maelezo tofauti na kumpinga kwamba kasemea nje ya vikao lakini hatua pia zichukuliwe kwa yeye kukiuka utaratibu kama upo. Ni rahisi sana mbona?

Zitto na Lema wamesemana na sasa tunajua walichokisema. Njia ya kusemea sio sahihi kwa madai ya baadhi ya watu. Sawa. Lakini tumeshasikia watueleze tatizo ni nini.

Pia Nakubali kujadiliwa. Na kama nimekosea nikishajadiliwa basi nipuuzwe kama nilichosema sio sahihi au kina mapungufu. Hiyo ndio maana ya majadiliano.

hapo sasa MsandoAlberto tumeanza kuwa pamoja kwenye hili swala na katika hayo juu uliyo yasema ni makosa ya Mwigamba na pia yanafanana na Makosa ya lema.

Laiti bandiko lako la kwanza lingekuwa hivi kusingekuwa na mjadala mrefu na ulicho takiwa kuonesha au kusema toka mwanzo ni kuwa Lema amepotoka na kukosea maana yeye ndio alikurupuka kuja kutuhumu kiongozi wake kwenye mtandao.

MsandoAlberto usisahau kuwa bandiko la kwanza linaonesha kuwa tatizo si posho kuna kitu nyuma na hapa umemuonesha Lema kama kiongozi mnafiki maana hayuko tayari kusema ukweli.

Unachukuliaje swala la lema kutokemewa? na hastahili hatua za kinidhamu?

YAAH UKWELI NI UKWELI HATA KAMA NJIA YAj UPATIKAJI WAKE IMEVUNJA SHERIA NYINGINE,LAKINI HIYO AIONDOI UKWELI KUWA SHERIA NA KANUNI ZIMEVUNJWA NA LAZIMA TUHAKIKISHE AZIVUNJWI KWA KUTOA ONYO NA ADHABU KWA WAVUNJA KANUNI.NDIO MAANA HATURUHUSIWI KUUA WEZI BALI TUNATAKIWA KUWAFIKISHA PAHALA USIKA.

LAZIMA TUKUBALIANE KUWA LEMA INABIDI ACHUKULIWE HATUA ZA KINIDHAMU.
 
Last edited by a moderator:
Rutta, Mwigamba alifanya nini kati ya haya?
1. Kuandika habari JF bila kuwaambia wengine

2. Kutokutumia vikao kusema yale anayoona ni matatizo chamani?

Kumbuka yeye ni mjumbe wa vikao vya chama kaka. Sio kama mimi na wewe ambao ni wajumbe wa JF. Labda ndio maana akahukumiwa haraka haraka. Ila kama alisema ukweli kuhusu Mbowe au mtu mwingine yeyote basi yuko sahihi. Na asipewe adhabu kwa kusema ukweli hata kama unauma na unawagusa wale tunaowapenda.

Kuna kitu kimoja kwenye Sheria, ushahidi ni ushahidi hata kama umepatikana katika mazingira vunjifu ya Sheria. Nasema ukweli ni ukweli hata kama umetolewa katika njia ambayo sio sahihi.

Mwigamba kakosea njia ya kusema kile anachoamini ni ukweli lakini hajakosea kukisema. Sasa tunakijua na hilo ndilo la msingi. Waliosemwa watoe maelezo tofauti na kumpinga kwamba kasemea nje ya vikao lakini hatua pia zichukuliwe kwa yeye kukiuka utaratibu kama upo. Ni rahisi sana mbona?

Zitto na Lema wamesemana na sasa tunajua walichokisema. Njia ya kusemea sio sahihi kwa madai ya baadhi ya watu. Sawa. Lakini tumeshasikia watueleze tatizo ni nini. Bado sijabariki njia aliyotumia ila sina tatizo na yeye kusema kisa tu kitaathiri chama Rutta. Chama ni zaidi ya Zitto na Lema. Trust me.

Pia Nakubali kujadiliwa. Na kama nimekosea nikishajadiliwa basi nipuuzwe kama nilichosema sio sahihi au kina mapungufu. Hiyo ndio maana ya majadiliano.

mkuu tukifikia hapa tunaweza tukaiimarisha CDM kuelekea kuwa chama imara kwamba Mwigamba alikosea njia ya kutoa maoni yake lakini hili halifuti hoja zake za msingi
 
Mnaosema Chadema ni chama cha wachaga msome Msando between the the lines!!

Hivi kikiwa cha wachaga kuna tatizo gani? Kwani wao siyo watanzania? Long as hakuna sehemu kabila lingine limekatazwa kujiunga then hizo informal rules hazi epukiki.... Kama ni cha wachaga na kinatupa solution kwa matatizo ya watanzania wote whats wrong? So wachaga waue chama chao kisa makabila mengine hayataki kuunga mkono mawazo ya wachaga yanayotoa majibu kwa watanzania wote?

My mentor once told me racism is very clear to the eyes of a racist! Kwamba huwezi kuona ukabila kama ww siyo mkabila.... Inferiority complex zenu zisitufanye wengine tuache kufanya tuyaonayo kuwa sahihi!

Uchaga ni tabia siyo kabila.... Wachaga hawana kabila ni mkusanyiko wa makabila mengi yaliyopo ndani na nje ya Tanzania.... Ila ni watu ambao wako responsible, determined na committed... Anakuja mjini na ndala lakini akirudi mgombani ana VX yake safi na nyumba inayofanana na exposure aliyoipata.., this is a plus character kama CDM ni uchaga then let it be maana uchaga ni tabia siyo kabila!

I am proud to be a CDM chaga japo natoka uhayani!
 
Sina historia ya siasa ya mh.Lema kuliko Zitto.Zitto nilimfahamu kwa mara ya kwanza nko form 3 na saiv nimemaliza SUA kupitia Jarida la Fema wakati huo likiwa linaitwa FEMINA.Nilisoma historia yake toka akiwa shule ya msingi.Kwa Mh.Lema sjui chochote kuhusu yeye,lakin kuhusu huu mgogoro wanachadema kuweni makini chama chenu kitakufa kifo cha Mende.
Halafu kuna tatizo moja kwa vijana wengi wa chadema kuamini viongozi wao kwa kufuata mkumbo kuliko kutafakari wao binafsi.Sijawahi kushuhudia maandamo Kigoma kama Arusha,na kabla ya Zitto kigoma ilikua haipo kabisa kwenywe ramani ya siasa lakini saivi ukitaja kigoma moja kwa moja jina la Zitto linakujia kichwan.
 
Huwezi kuwa Chadema kaskazini ukatamka hadharani kuwa Lema anafanya makosa,MsandoAlberto anajaribu kujitutumua lakini anashindwa kuweka bayana tatizo.

Sipendi hii tabia ya ukabila naona vijana wa ccm imewaigia damuni kabisa eeeh? Endeleeni kujipabanua
 
Unauliza haja kubwa utapataje wakati umebebelea kinyeo.
We vipi!!! lazima utakuwa bonge la mbwege!!
Hawa ndiyo watetezi Lema, kaishapewa viroba basi anaropoka tu.

Hawa huwa wanadhani Tanzania yote ipo kama stendi ya vifodi au unga limited.
 
tatizo lako sijui kuna vita ya kimaslahi kati yako na Albert ndiyo maana ukakurupuka na maneno makali.

Elewa point ya hakuna uwoga, bali kinachotakiwa hapa ni Mnafiki ni nani na Mwongo ni nani, na point ya kusema watu wajue ulielewa watajulia wapi?

Acha ushabiki wa u-ccm mkuu.

Mungi your wrong:lazima tukubaliane kutokubaliana kwenye hili swala.

Mungi msome Msandu utagundua tumekubaliana kuwa Godbless J Lema kakosea na kapotoka.

Mungi kumwambia ukweli lema kuwa kapotoka na kukosea si dhambi.

Mungi unaamini lema hajavunja kanuni yeyote ya chama?

Mungi mimi sina maslai yeyote hapa. naomba ujibu hilo bandiko ambalo umeliqoute pamoja na hili.
 
Last edited by a moderator:
hapo umemuwekea msandoalberto maneno mdomoni, ni wapi kasema lema kapotoka?

mkuu zumbemkuu mtu anaposema njia iliyo tumiwa na lema si sahihi maana yake nini?
Hapo ni sawa na kusema kuwa lema kapotoka na amekosea na anastahili hatua za kinidhamu kama ilivyo kuwa kwa mwigamba.
Mkuu uwe unatafakari habari.

Hebu sasa pitia mabandiko ya msando uone kasema wazi kuwa lema kakosea na kapotoka.
 
Last edited by a moderator:
Albert Msando

Wewe ni rafiki yangu tunafahamiana muda sasa umenistua uliposema tatizo siyo posho kuna kitu nyuma.

Mkuu kama umeamua kufunguka tuambie tatizo ni nini.

Kumbe kelele za posho ni uongo.

Majanga.

Ritz wewe mbeya unataka kujua mambo ya watu wa Chadema yanakuhusu nini?
 
Last edited by a moderator:
Rutta, Mwigamba alifanya nini kati ya haya?
1. Kuandika habari JF bila kuwaambia wengine

2. Kutokutumia vikao kusema yale anayoona ni matatizo chamani?

Kumbuka yeye ni mjumbe wa vikao vya chama kaka. Sio kama mimi na wewe ambao ni wajumbe wa JF. Labda ndio maana akahukumiwa haraka haraka. Ila kama alisema ukweli kuhusu Mbowe au mtu mwingine yeyote basi yuko sahihi. Na asipewe adhabu kwa kusema ukweli hata kama unauma na unawagusa wale tunaowapenda.

Kuna kitu kimoja kwenye Sheria, ushahidi ni ushahidi hata kama umepatikana katika mazingira vunjifu ya Sheria. Nasema ukweli ni ukweli hata kama umetolewa katika njia ambayo sio sahihi.

Mwigamba kakosea njia ya kusema kile anachoamini ni ukweli lakini hajakosea kukisema. Sasa tunakijua na hilo ndilo la msingi. Waliosemwa watoe maelezo tofauti na kumpinga kwamba kasemea nje ya vikao lakini hatua pia zichukuliwe kwa yeye kukiuka utaratibu kama upo. Ni rahisi sana mbona?

Zitto na Lema wamesemana na sasa tunajua walichokisema. Njia ya kusemea sio sahihi kwa madai ya baadhi ya watu. Sawa. Lakini tumeshasikia watueleze tatizo ni nini. Bado sijabariki njia aliyotumia ila sina tatizo na yeye kusema kisa tu kitaathiri chama Rutta. Chama ni zaidi ya Zitto na Lema. Trust me.

Pia Nakubali kujadiliwa. Na kama nimekosea nikishajadiliwa basi nipuuzwe kama nilichosema sio sahihi au kina mapungufu. Hiyo ndio maana ya majadiliano.

Yaah chama ni zaidi ya zitto,LEMA,SLAA,MBOWE lakini tusifikiri kuwa njia hizi za kufikiri tuna mkomesha fulani zita himarisha chama.

Muda mwingine tunaweza kudhani tuna mvua nguo fulani kumbe tunajivua sote.

Busara lazima ifate mkondo.
 
Bw Msando,nadhani huna nia nzuri na Lema,utampimaje Lema kwenye mambo ya Elimu,Afya,Ajira na Uwajibikaji?

Maana toka kaingia Bungeni amewika mara moja tu,napo sio kwa hoja bali kwa kupiga kelele kwa kusema "Waziri Mkuu Amelidanganya Bunge",hana lingine.

Ungemtendea haki sana Lema kama tungempima kwa vigezo vya Kuanzisha Maandamano,kupiga matofali,kuhudhuria kesi na kulala jela.

Hivi vigezo vingine hivi,ebu tuwaachie akina Zitto,Mnyika na Lissu,hivyo sio vya level ya Lema.
 
Nimesoma majibu ya Zitto kwa Lema, lakini niseme tu kwamba Zitto Kabwe anafanya kosa kubwa kwa kuendesha siasa zake ndani ya CHADEMA akidhani kuwa yuko Ulaya na Marekani ambako ukomavu wa siasa katika vyama na uelewa wa wanachama na wananchi kwa ujumla ni wa kiwango cha juu sana. Amekosa utambuzi wa kuelewa level ya utambuzi wa watu wake, hivyo kutaka kuwajaza demokrasia za Kimarekani na Ulaya ni sawa na yeye kukimbia km 50 kwa saa wakati anaowaongoza wanakimbia km 5 kwa saa,(Hata CCM hawakuwa wanafanya hivyo siku za nyuma, walijitahidi sana kwenda mwendo wa wajumbe wa mashina enzi ya Mwalimu). Mwisho wake Zitto anajikuta anakimbia peke yake na wenzake wachache na kuliacha kundi kubwa nyuma, ndio maana anaitwa msaliti. Ushauri wangu kwake kama anaweze ashike breki aamgalia nyuma wenzake kawaacha wapi, vinginevyo anaweza kupitiliza hata katika mstari wa kumaliza mbio na kujikuta hana hata mtu wa kumsghangilia

True 100% Bro umenena
 
Ritz, kama mmoja anasema napokea posho, mwingine anasema sipokei posho ugomvi unatoka wapi? Ni sawa na mimi kusema wewe unaitwa Ritz mimi naitwa Albert. Sasa tunagombana nini kuhusu majina??? Eti tunabishana mpaka tulete vyeti vya Ubatizo na Kuzaliwa??

Kwa nafasi zao wala wasingefika huku kama suala ni 'Je Mbunge apokee au asipokee posho'

Hapa ukisoma vizuri jinsi wote walivyoandika utaona kutofautiana kuhusu posho ni exit point. Ni mahali pa kutokea tu. utaona wazi kuwa hawa ni watu ambao hawaongei kila siku.

Unajua tunaendekeza mambo ambayo hayana msingi kama vijana. Kama mtu ni mwizi na fisadi kwa nini tunamuacha? Tunasingizia hakuna ushahidi, je sasa kama ushahidi haupo kwanini tunamsema??

Haya tunasema huyu ni muongo na msambaza fitna mbona anaachwa?? Kulindana mpaka lini?? Hiyo ndio mantiki yangu kwamba kuna zaidi ya yale tunayoambiwa.

Kuna watu wanadhani kwamba kuna ninayojua. Ukweli ni kwamba sijui ila sio mjinga kutokutafakari kile ninachokiona.

Tutafika tu. Mti utapuputisha majani ila hautakauka.
 
Back
Top Bottom