Salamu za Mwaka Mpya 2023 za Rais Samia kwa Watanzania

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,812
11,989
Salamu za mwaka mpya 2023 za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa watanzania wote.



Amemshukuru Mungu mtukufu, mkarimu na mwingi wa rehema kwa kuiona siku ya leo tunapoaga mwaka 2022 sasa tunaingia mwaka mpya 2023, amewatakia watanzania wote mwaka wenye furaha na neema. Anawaombea wale wenye changamoto watazame mwaka mpya kwa uthubutu wa kutokukata tamaa na kupambana. Kwa marehemu wote, Rais Samia amewaombea pumziko la amani.

Amewasifu watanzania kwa kuvuka mwaka wakiwa na mshikamano, kulinda amani na kupiga hatua kubwa za kimaendeleo. Amewakumbusha viongozi kuongoza kwa juhudi, uadilifu, misingi ya haki na sheria.

Ameomba tuendelee kushikamana, kutunza umoja wetu na amani ya nchi. Pia, tujitahidi kuepuka misiba isiyo ya lazima mwishoni mwa mwaka huu na tunapoanza mwaka mpya.
 
31 December 2022

SALAMU ZA CHADEMA MWAKA MPYA 2023

Katibu mkuu wa CHADEMA kamanda John John Mnyika atoa salamu za mwaka mpya 2023, asisitiza madai ya Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi


Haki, Utawala Bora na Uwazi. Katiba mbaya ya 1977. Uhuru wa Tanganyika 1961 kupitia CCM kuna matatizo ya kiuongozi.

Katika Mazingira haya mwaka 2022 kitu ambacho kingeweza kutubainisha ni kuondoa mkwamo wa katiba mpya uliokwamishwa na CCM tangu 2014.

Salamu za CCM na serikali yake kutoa salamu za mwaka 2023 isiache kuweka wazi suala la katiba mpya na jinsi itakavyo shiriki kuhakikisha katiba mpya inapatikana, CHADEMA kupitia katibu mkuu kamanda John John Mnyika anakumbushia ulazima wa kupatikana katiba mpya na tume huru ya uchaguzi Tanzania ... kilio cha katiba ni kilio cha wengi na CCM ilitoa kauli 2022 ikiambia serikali yake ya CCM itekeleze na kutoa muelekea wa kweli kuhusu kupatikana mchakato wa kweli kuelekea kupata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.

Katika hotuba hii ya kihistoria ya madai ya katiba inayobainisha umuhimu wa katiba mpya katika kuhakikisha fedha za miradi ya ..... zinatumiwa vyema na kuwajibisha wale wanaotumia fedha za walipa kodi vibaya ...

Kuhusu geresha na propaganda za serikali kupitia Kikosi Kazi ....
 
31 December 2022

SALAMU ZA CHADEMA MWAKA MPYA 2023

Katibu mkuu wa CHADEMA kamanda John John Mnyika atoa salamu za mwaka mpya 2023, asisitiza madai ya Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi


Haki, Utawala Bora na Uwazi. Katiba mbaya ya 1977. Uhuru wa Tanganyika 1961 kupitia CCM kuna matatizo ya kiuongozi.

Katika Mazingira haya mwaka 2022 kitu ambacho kingeweza kutubainisha ni kuondoa mkwamo wa katiba mpya uliokwamishwa na CCM tangu 2014.

Salamu za CCM na serikali yake kutoa salamu za mwaka 2023 isiache kuweka wazi suala la katiba mpya na jinsi itakavyo shiriki kuhakikisha katiba mpya inapatikana, CHADEMA kupitia katibu mkuu kamanda John John Mnyika anakumbushia ulazima wa kupatikana katiba mpya na tume huru ya uchaguzi Tanzania ... kilio cha katiba ni kilio cha wengi na CCM ilitoa kauli 2022 ikiambia serikali yake ya CCM itekeleze na kutoa muelekea wa kweli kuhusu kupatikana mchakato wa kweli kuelekea kupata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.

Katika hotuba hii ya kihistoria ya madai ya katiba inayobainisha umuhimu wa katiba mpya katika kuhakikisha fedha za miradi ya ..... zinatumiwa vyema na kuwajibisha wale wanaotumia fedha za walipa kodi vibaya ...

Kuhusu geresha na propaganda za serikali kupitia Kikosi Kazi ....

Mashavu yanaashiria asali imenoga utamu
 
Back
Top Bottom