samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,174
watanzania wengi tuna tamaa kupitiliza, tuko tayari kuuza hata nchi ili tu upate hela ukafanyie uzinzi na kunywea pombe....
Waarabu, wahindi, wasomali hawa wengi wanauraia wa nchi mbili na uraia wa tanzania ni kichaka chao cha uzawa na kutupigia hapa kama watanzania...
Sasa hivi kuna wimbi la nigerians, senegalise, waganda, wanyarwanda kuwa na passport ya Tanzania kwa ajili ya mambo yao..
Waarabu, wahindi, wasomali hawa wengi wanauraia wa nchi mbili na uraia wa tanzania ni kichaka chao cha uzawa na kutupigia hapa kama watanzania...
Sasa hivi kuna wimbi la nigerians, senegalise, waganda, wanyarwanda kuwa na passport ya Tanzania kwa ajili ya mambo yao..