JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 6,717
- 13,950
Unajuaje kama ni wanyarwanda?watu wa mipakani kagera,Kyaka,mtukura,mlongo border au Karagwe,kwa kuwaangalia usoni,huwezi kuwatofautisha na raia wa nchi jirani.Sijasoma yote Ila wewe jamaa inaonekana ni mzalendo kwerii kweriii.. kuna sehemu nilipita huko Kagera , wanyarwanda wamepata NIDA kibaoo, na wanajitambilisha kuwa wao ni watz wa kuzaliwa
Na inapokuja Swala la uraia kwanini watu wa kagera wanakuwa wahanga?kwanini wamasai,waluo,au wamakonde hawazungumziwi?hakuna tofauti kati ya mmasai wa TZ na Kenya