Well saidAwamu hii kuna wizi kuliko awamu nyingine zote.
Wanachofanya wateule wa rais ni kupitia kwenye ukali wa rais kujinufaisha. Huu ni ujambazi wa wazi kabisa.
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !mhhh kwa hali hii na malalamiko na mioyo ilopondeka kwa udhalimu na uonevu wa serikali hyo ilopita. Mungu amejibu kwa namna nyingine..
Mkuu hizi nyuzi tunazoweka hatubahatishi , maktaba yetu inazo nyingi tu za wazito kuliko huyu Sabaya , sema tunazihifadhi ili zisiharibu ushahidiKwenye Hiyo CLip Sylvester Nyegu na Daniel Mbura tuwapoint na wao.
noma sanaTayari Anatumikia
Vipi leo umeshaenda kumsalimia Gaidi Mbowe Segerea?Hivi ndivyo Jukwaa Makini la JF lilipoanza kuripoti Uharamia wa Sabaya kwa vielelezo
, Tena bila kuogopa kutekwa , ilikuwa enzi za mwendazake
Mbowe sio GaidiVipi leo umeshaenda kumsalimia Gaidi Mbowe Segerea?
Mwenzako uliyebeba jina lake anakuita ukamsaidie "mikwaju" huko purgatory.Vipi leo umeshaenda kumsalimia Gaidi Mbowe Segerea?
Hako kadogo nyegu ni hako nyuma ya sabaya...Kwenye Hiyo CLip Sylvester Nyegu na Daniel Mbura tuwapoint na wao.
Si Magufuli alikuwa anamlinda , hakukuwa na shida yoyoteMtu mpumbavu yaani mkuu wa wilaya anaiba huku camera zinamchuku
Mbona nipo naye tunakula raha za milele.Mwenzako uliyebeba jina lake anakuita ukamsaidie "mikwaju" huko purgatory.
Wacha wafu wazike wafu waoMbona nipo naye tunakula raha za milele.
Hivi imekuwaje , mbona ghafla sana aiseee ?Jambazi sabaya habari yake kwisha ,mwili umepukutika wote ,ung'avu umeisha wote sasa rangi kama ya msouth sudan!!