SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,117
- 8,096
Hapo mstari wa mwisho hebu edit kidgo isomeke "mtetezi wa wanyonyaji".Nampongeza sana Swai kwa kitendo chake cha ujasiri. Bila yeye kufanya hivi hawa majinuni wangeendelea kunyanyasa wafanyabiashara.
Hata makonda kafanya sana michezo hii.
Walionewa na makonda hawakuwa na uthubutu wa kukusanya ushahidi.
Tulishaona hadi gari la drug dealer likiwa nyumbani kwa Makonda.
Mtetezi wa wanyonge endelea kukaa kimya