This thing is incredible, maneno ya hii kitu inakuwa very interesting nimebahatika kuongea na wanaohusika, sana na this whole thing:-
1.According to deal ni kwamba Rais alipomteua Pinda kuwa PM kabla ya kuvunja baraza la mawaziri, kulikuwa na kikao cha CCM na joint UV-CCM, ambacho kilikuwa na lengo la kutoa azimio la kumpongeza Rais kwa chaguo lake, la Waziri Mkuu mpya.
2. Nchimbi akagoma akisema kuwa Uv-CCM au yeye under any capacity, hawezi kuwa involved na huo ujinga kwa sababu yeye hamtambui Pinda, kwa hiyo he is out na hilo azimio. Ujumbe ukafikishwa kwa rais kama ulivyo, na according to more dataz ni kwamba kwa makusudi mazima wale wote aliowapandihsa chati Nchimbi, kupitia UV-CCM, kina David, Masha, na Kamalla wakapewa uwaziri kamili.
3. Nchimbi akatanagaza rasmi ndani ya vikao vya CCM kuwa yeye sasa ni mfuasi wa Lowassa, kwa 100% na kwamba no matter what Pinda is no body to him, na kwamba majuzi Nchimbi alipoamua kumtumia muandishi wake kuandika uongo kuhusu habari za jengo na Nape huko CC, ni muungwana mwenyewe aliyempigia simu mwenyekiti wa IPP, akitaka kujua huku akifoka kuwa hiyo habari nani aliyeipeleka huko Nipashe, mwandishi alipobanwa ndio akatema sumu yote na kumtaja Nchimbi. Ni baada ya mkwara mzito sana aliopewa mwenyekiti wa IPP, ndio maana Nipashe wakaomba msahama na hata kumtaja waziri anyewapa habari za ndani za CC.
4. Ni mwenyekiti wa CCM ndiye aliyewaagiza UV-CCM kukutana jana, kuamua kuhusu majina na sio anything else, sasa according to the dataz ni kwamba Nchimbi na Makamba wanasubiriwa sana na CC, kwa sababu Kingunge haingii tena CC, nimedokezewa na wajumbe kama wanne wa CC kuwa huko kutawaka moto siku ya tarehe 9, maana no way hii kitu ya Nchimbi inaweza kupita huko kwa sababu wanajua kuwa ikifika NEC itakuwa aibu kubwa sana kwa CC wanaweza kuzomewa kama Butiama na muafaka, the dataz ni kwamba Nape ameambiwa atulie na kusuubiri tarehe 9.
My Take:
Kwa kweli sasa hili taifa tumefika mbali sana, yaani the lowest mark kwa any president aliyewahi kuliongoza taifa hili, I mean Nchimbi anwezaje kuwa na utovu wa adabu kiasi hiki na bado akapewa uwaziri mdogo wa Ulinzi kama adhabu? Haya ni mambo ya aibu sana sio tu kwa mwenyekiti wa CCM na viongozi wote wa CCM, bali ni kwa wananchi wote wa taifa hili. I want kuamini kuwa CC itasimama kidete na kumfundisha adabu Nchimbi, otherwise tutakuwa tumekubali kuwa under mafisadi, tunaisubiri kwa hamu tarehe 9, kusikia maamuzi ya mwisho.
Ahsante Wakuu na Tunaendelea Kufuatilia Kwa Makini na Ukaribu Sana hizi Stunning Events. Kesho Tutakuwa Na Zaidi Ya Yalioyjiri na Pia Tutazungumza na Nape Mwenyewe.