William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
According to the dataz ya baadhi ya yaliyojiri ni kwamba:-
1. Wahusika wote wakuu wa EPA, toka wiki iliyopita wamekuwa wakiwatafuta wenyeviti wa mikoa wa UV-CCM, kwa kumtumia mwenyekiti mmoja kutakla kuwapa hela kwa ajili ya msimamo wa kumfukuza uanachama Nape, huko Dodoma.
2. Huyu mwenyekiti akapata tatizo kwamba wengi wao walikataa kwamba wako upande wa Nape, ndipo Tom Mwang'onda akatumwa kuwahi Dodoma in advance akiwa na hela nyingi sana kwa ajili ya hii shughuli ambapo dau lilikuwa kuanzia shillingi millioni moja mpaka mbili, kulingana na nafasi ya umuhimu wa mjumbe kwenye baraza la Uv-CCM.
3. Kikao kilipoanza, aliyekifungua ni Nchimbi, akatumia nusu saa kumtukana sana Nape, akafuatia Ngombale yeye akatukana wote kuanzia Nape mpaka wabunge wanao kikosoa chama, ndipo alipofuatia Makamba ambaye aliongea kwa karibu masaa mawili akiwatukana sana Nape na wabunge kina Mwakyembe, wakati wote huu Kawawa alikuwa amekaa kimyaa, ilipofika zamu yake, Kawawa alizungumzia vijana na kilimo na hasa kilimo cha matrekta, alipomaliza tu akaondoka na hakurudi tena, kwa sababu kilichotakiwa pale ni kuonekana tu kuwa angalau alikuwepo.
4. Baada ya Kawawa tu kuondoka, kukawa na kikao cha kamati ya utekelezaji ambapo Nape, aliitwa na kuulizwa maswali mengi sana kwamba kwa nini amesema uongo kuhusu jengo, akatakiwa aende kwenye public na kusema kuwa anaomba radhi kwa kusema uongo, kitu ambacho Nape alikataa kata kata kuwa hana mpango wa kubadili msimamo.
5. Ndipo usiku kukawa na kikao cha kupitisha majina, ambapo Nape alitoka nje hasa ilipoanza nafasi ya mwenyekiti, alipotoka tu Nchimbi akawaaambia wajumbe kua ana hoja nzito toka kwa kamati ya Utekelezaji, nayo ni kufukuzwa uanachama kwa Nape, wajumbe wwengi wakaja juu kuwa haiwezekani, kuona hivi Makamba akasimama na kuchukua fomu ya Nape huku akiionyesha kwa wajumbe, aliwaambia kuwa Nape ni mtoto wake na ndiye pekee anayemjua mle ndani kuliko wote,
- Na kwamba ameshaongea naye sana kuhusu hili tatizo, kwa hiyo wasijifanye wanajua sana, hiyo ya kufukuzwa kwake Nape yeye ameshaimepitisha tayari na hata huko mbele yeye ndiye atakayekwenda kutoa maelezo zaidi sio wao, wajumbe wakabaki na mshangao na Mkamba akiendelea kuwatisha kuwa hapa tatizo sio Nape tu ila wale wote wanaomuunga mkono nao wote lazima watajadiliwa kwa kina na kufukuzwa pia, hapo ndipo wajumbe wakapitisha hiyo hatua ya kumfukuza Nape, baada ya kikao kufungwa wajumbe wakiwa wanajitayarisha kuondoka ndipo mjumbe mmoja akasimama na kusema kwa sauti kubwa sana kuwa kwa nini Nape asianyang'anywe kadi pia?
- Mwenyekiti Nchimbi kwa tabasamu kubwa sana akasema kwa nguvu sana kuwa hiyo nayo imepitishwa.
6. Hiki kikao ukweli ni kwamba kimeruka kanuni nyingi sana za umoja huo na CCM kwa ujumla, kwa sababu according to wanaojua vizuri mambo ya CCM, ni kwamba CCM kama chama inatawaliwa na kanuni moja tu ya maadili na usalama wake, kanuni yake ya Ibara ya kati ya 87 na 89 ni kwamba,
-Kiongozi yoyote wa taifa kama Nape, akifanya makosa against CCM, anatakiwa apewe;-
1. Onyo. 2. Onyo kali. 3. Karipio. 4. Kufukuzwa.
Meaning kwamba kufukuzwa ni baada ya hatua zote tatu za mwanzo kushindwa, sasa Uv-CCM wanatakiwa kuwakilisha adhabu yao kwa CC, swali la kwanza litakuwa je ni vipi kanuni zilifuatwa?
Wakuu haya ni baadhi tu yaliyojiri na hii sagga na tutaendelea kuyamwaga zaidi, kama tunavyoyapata lakini support imekua kubwa sana kwa kijana Nape, hii habari imewashitua wakulu wengi sana na hasa uwt, kwa maoni yangu jina la Nape halitarudi kwenye wagombea kwa sababu ya umri, lakini hili la adhabu hapana hilo halitasimama, na kuna wananchi wengi wanachama wa CCM, wanaomtaka arudishe kadi ili wajiunge naye hiyo siku ya kurudisha.
Ahsante wakuu, na tutaendeela kuhabarishana yanayojiri.
1. Wahusika wote wakuu wa EPA, toka wiki iliyopita wamekuwa wakiwatafuta wenyeviti wa mikoa wa UV-CCM, kwa kumtumia mwenyekiti mmoja kutakla kuwapa hela kwa ajili ya msimamo wa kumfukuza uanachama Nape, huko Dodoma.
2. Huyu mwenyekiti akapata tatizo kwamba wengi wao walikataa kwamba wako upande wa Nape, ndipo Tom Mwang'onda akatumwa kuwahi Dodoma in advance akiwa na hela nyingi sana kwa ajili ya hii shughuli ambapo dau lilikuwa kuanzia shillingi millioni moja mpaka mbili, kulingana na nafasi ya umuhimu wa mjumbe kwenye baraza la Uv-CCM.
3. Kikao kilipoanza, aliyekifungua ni Nchimbi, akatumia nusu saa kumtukana sana Nape, akafuatia Ngombale yeye akatukana wote kuanzia Nape mpaka wabunge wanao kikosoa chama, ndipo alipofuatia Makamba ambaye aliongea kwa karibu masaa mawili akiwatukana sana Nape na wabunge kina Mwakyembe, wakati wote huu Kawawa alikuwa amekaa kimyaa, ilipofika zamu yake, Kawawa alizungumzia vijana na kilimo na hasa kilimo cha matrekta, alipomaliza tu akaondoka na hakurudi tena, kwa sababu kilichotakiwa pale ni kuonekana tu kuwa angalau alikuwepo.
4. Baada ya Kawawa tu kuondoka, kukawa na kikao cha kamati ya utekelezaji ambapo Nape, aliitwa na kuulizwa maswali mengi sana kwamba kwa nini amesema uongo kuhusu jengo, akatakiwa aende kwenye public na kusema kuwa anaomba radhi kwa kusema uongo, kitu ambacho Nape alikataa kata kata kuwa hana mpango wa kubadili msimamo.
5. Ndipo usiku kukawa na kikao cha kupitisha majina, ambapo Nape alitoka nje hasa ilipoanza nafasi ya mwenyekiti, alipotoka tu Nchimbi akawaaambia wajumbe kua ana hoja nzito toka kwa kamati ya Utekelezaji, nayo ni kufukuzwa uanachama kwa Nape, wajumbe wwengi wakaja juu kuwa haiwezekani, kuona hivi Makamba akasimama na kuchukua fomu ya Nape huku akiionyesha kwa wajumbe, aliwaambia kuwa Nape ni mtoto wake na ndiye pekee anayemjua mle ndani kuliko wote,
- Na kwamba ameshaongea naye sana kuhusu hili tatizo, kwa hiyo wasijifanye wanajua sana, hiyo ya kufukuzwa kwake Nape yeye ameshaimepitisha tayari na hata huko mbele yeye ndiye atakayekwenda kutoa maelezo zaidi sio wao, wajumbe wakabaki na mshangao na Mkamba akiendelea kuwatisha kuwa hapa tatizo sio Nape tu ila wale wote wanaomuunga mkono nao wote lazima watajadiliwa kwa kina na kufukuzwa pia, hapo ndipo wajumbe wakapitisha hiyo hatua ya kumfukuza Nape, baada ya kikao kufungwa wajumbe wakiwa wanajitayarisha kuondoka ndipo mjumbe mmoja akasimama na kusema kwa sauti kubwa sana kuwa kwa nini Nape asianyang'anywe kadi pia?
- Mwenyekiti Nchimbi kwa tabasamu kubwa sana akasema kwa nguvu sana kuwa hiyo nayo imepitishwa.
6. Hiki kikao ukweli ni kwamba kimeruka kanuni nyingi sana za umoja huo na CCM kwa ujumla, kwa sababu according to wanaojua vizuri mambo ya CCM, ni kwamba CCM kama chama inatawaliwa na kanuni moja tu ya maadili na usalama wake, kanuni yake ya Ibara ya kati ya 87 na 89 ni kwamba,
-Kiongozi yoyote wa taifa kama Nape, akifanya makosa against CCM, anatakiwa apewe;-
1. Onyo. 2. Onyo kali. 3. Karipio. 4. Kufukuzwa.
Meaning kwamba kufukuzwa ni baada ya hatua zote tatu za mwanzo kushindwa, sasa Uv-CCM wanatakiwa kuwakilisha adhabu yao kwa CC, swali la kwanza litakuwa je ni vipi kanuni zilifuatwa?
Wakuu haya ni baadhi tu yaliyojiri na hii sagga na tutaendelea kuyamwaga zaidi, kama tunavyoyapata lakini support imekua kubwa sana kwa kijana Nape, hii habari imewashitua wakulu wengi sana na hasa uwt, kwa maoni yangu jina la Nape halitarudi kwenye wagombea kwa sababu ya umri, lakini hili la adhabu hapana hilo halitasimama, na kuna wananchi wengi wanachama wa CCM, wanaomtaka arudishe kadi ili wajiunge naye hiyo siku ya kurudisha.
Ahsante wakuu, na tutaendeela kuhabarishana yanayojiri.