Kubwajinga
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,193
- 299
Kama CCM itapitisha huu uamuzi wa kijinga wa kumuadhibu 'whistle blower' Nape na hasa kwa kumkatalia kugombea uongozi ili angalau akashindiwe huko mbele ya safari, au mbaya zaidi kumfuta uanachama, hii itadhihirisha rasmi kuwa ndani ya UVCCM na CCM kwa ujumla Demokrasia imekufa na kilichobaki ni kwa kila kiongozi kuchukua chake mapema.
Ni vema wakabandika bango pale makao makuu ya UVCCM kuwa UVCCM sasa ni Chuo Kikuu cha Kufundisha Vichanga Jinsi ya Kujiunga na Mtandao wa Mafisadi.
UVCCM chini ya Kihiyo Nchimbi, Kamanda rushwa Yusufu Makamba, Director wa DSM car parking project Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, Mzee wa nyama changa Rashid Kawawa na Jemedari wao mkuu JK, ni Kitengo Maalum cha Kuwafunza Vichanga Uongozi Mbovu Unaoshurutisha Kila Mmoja Kushiriki Katika Ufisadi au la kufutwa Uanachama.
Wako wapi akina Warioba, Butiku, SAS, Mr. & Mrs. Malecelas n.k. katika kukemea huu uonevu wa wazi unaohatarisha Demokrasia kiduchu iliyopo?
Ni vema wakabandika bango pale makao makuu ya UVCCM kuwa UVCCM sasa ni Chuo Kikuu cha Kufundisha Vichanga Jinsi ya Kujiunga na Mtandao wa Mafisadi.
UVCCM chini ya Kihiyo Nchimbi, Kamanda rushwa Yusufu Makamba, Director wa DSM car parking project Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, Mzee wa nyama changa Rashid Kawawa na Jemedari wao mkuu JK, ni Kitengo Maalum cha Kuwafunza Vichanga Uongozi Mbovu Unaoshurutisha Kila Mmoja Kushiriki Katika Ufisadi au la kufutwa Uanachama.
Wako wapi akina Warioba, Butiku, SAS, Mr. & Mrs. Malecelas n.k. katika kukemea huu uonevu wa wazi unaohatarisha Demokrasia kiduchu iliyopo?