William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,378
Quote:-
"BODI ya Shirika la Ndege nchini (ATCL), imependekeza Mwenyekiti wake, Balozi Mustafa Nyanganyi, awajibike kwa kuboronga safari ya Mahujaji ya mwaka huu."
With all due respect kwa mahujaji, ninauliza why only ishu hii tu? Maana kama ni kuboronga viongozi wetu si wanaboronga kila siku tena kwenye kila sekta, mbona hii ishu tu ndiyo inapewa umuhimu zaidi? Kwa nini hii tabia ya kushauri kuondolewa kwa viongozi wabovu isifanyike kwenye kila ishu?
"BODI ya Shirika la Ndege nchini (ATCL), imependekeza Mwenyekiti wake, Balozi Mustafa Nyanganyi, awajibike kwa kuboronga safari ya Mahujaji ya mwaka huu."
With all due respect kwa mahujaji, ninauliza why only ishu hii tu? Maana kama ni kuboronga viongozi wetu si wanaboronga kila siku tena kwenye kila sekta, mbona hii ishu tu ndiyo inapewa umuhimu zaidi? Kwa nini hii tabia ya kushauri kuondolewa kwa viongozi wabovu isifanyike kwenye kila ishu?