JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
kasana,lunyungu,GT,chuma,bubu,...
..Mahujaji waliingia mkataba na ATC siyo serikali.
..Kisheria/Kimahakama ATC na serikali ni vyombo viwili tofauti kabisa.
..Kwa mtizamo wangu Mahujaji wanaweza kupata haki yao Mahakamani toka kwa ATC lakini siyo serikali.
..Mtu akiwa na madai na ATC na akashinda, basi mali za ATC zinaweza kukamatwa. Kama ATC haina kitu nadhani ndiyo imetoka hiyo. Mahakama haiwezi kuamuru wizara ya mawasiliano, au Ikulu, iuzwe ili kufidia, kwasababu ati ATC ni mali ya serikali.
..Leo hii IPP ikishitakiwa haina maana kwamba mali zote za Reginald Mengi zipo mashakani. Ni mali zile zilizoko chini ya IPP ndiyo zinaweza kufidia kesi ya madai.
..Ukiona serikali imeingilia suala kama hili la Mahujaji basi ujue imefanya hivyo for HUMANITARIAN or POLITICAL reasons.
..Mahujaji waliingia mkataba na ATC siyo serikali.
..Kisheria/Kimahakama ATC na serikali ni vyombo viwili tofauti kabisa.
..Kwa mtizamo wangu Mahujaji wanaweza kupata haki yao Mahakamani toka kwa ATC lakini siyo serikali.
..Mtu akiwa na madai na ATC na akashinda, basi mali za ATC zinaweza kukamatwa. Kama ATC haina kitu nadhani ndiyo imetoka hiyo. Mahakama haiwezi kuamuru wizara ya mawasiliano, au Ikulu, iuzwe ili kufidia, kwasababu ati ATC ni mali ya serikali.
..Leo hii IPP ikishitakiwa haina maana kwamba mali zote za Reginald Mengi zipo mashakani. Ni mali zile zilizoko chini ya IPP ndiyo zinaweza kufidia kesi ya madai.
..Ukiona serikali imeingilia suala kama hili la Mahujaji basi ujue imefanya hivyo for HUMANITARIAN or POLITICAL reasons.