Sakata la Mahujaji: Utendaji ATCL na Yaliyojiri Hadi Leo Hii

Tatizo la watanzania ni kuongea bila vigezo, nyie wadau mnaozungumza maneno ya kashfa kuhusu Balozi nyanganyi na kusema yeye ni mbomoaji nadhani hamna vigezo. Kama unataka kujua mambo aliyoyafanya siyo Tanzania tu bali dunia nzima unaweza kwenda kwenye mtandao na kusearch by his name na utaona kazi kubwa aliyoifanya Marekani kuitangaza Tanzania na kujenga Umoja baina ya Watanzania wanaoishi huku, nenda World Bank na IMF na uone kiasi gani cha fedha alileta nyumbani kwa projects na misaada mbali mbali kipindi alichokuwa Balozi, namba ya watalii iliongezeka mara dufu kwa kipindi hicho. Alikwenda Uarabuni na akaendelea na hilo hilo. Hotel ya Kilimanjaro ilikuwa gofu na akaitangaza Tanzania na waarabu wakaja kufanya vitu vyao, akaanzisha umoja wa Watanzania wanaoishi huko UAE na kuunda katiba. Ukiacha haya yote ya nje ya nchi, aliicha wizara ya Mawasiliano ikiwa imesheehena ndege zikiruka Uarabuni, Uingereza na bara lot ela Afrika akiwa waziri wa Mawasiliano na uchukuzi.Mbona hamuongelei kilichotokea ni nini? Na ndege hizo zilienda wapi? Kakabidhiwa shirika halina hata helicopter ya kupaa!Sasa JAKAYA kumrudisha hapo kuwa mwenyekiti wa bodi haikuwa kwa sababu ya kujuana bali ni kwa ajili ya uzoefu alionao. Makosa hutokea lakini si vizuri watu kukashifu mtu kama hakufanya chochote katika nchi hii. Hawa ni viongozi wachache ambao wameitumikia nchi kwa uaminifu kwa kufanya kazi karibu na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere hadi alipostaafu! Tuwe wakweli na tujifunze kukumbuka Historia, na siyo kuendeleza gumzo lisilo na maaana.

Na wewe jikumbushe hiyo historia yako,huyo ndugu yako ndie alituletea pantoni mbovu pale magogoni,ufisadi hakuanza leo wala jana ila mamekubuu ktk fani
 
Tatizo la watanzania ni kuongea bila vigezo, nyie wadau mnaozungumza maneno ya kashfa kuhusu Balozi nyanganyi na kusema yeye ni mbomoaji nadhani hamna vigezo. Kama unataka kujua mambo aliyoyafanya siyo Tanzania tu bali dunia nzima unaweza kwenda kwenye mtandao na kusearch by his name na utaona kazi kubwa aliyoifanya Marekani kuitangaza Tanzania na kujenga Umoja baina ya Watanzania wanaoishi huku, nenda World Bank na IMF na uone kiasi gani cha fedha alileta nyumbani kwa projects na misaada mbali mbali kipindi alichokuwa Balozi, namba ya watalii iliongezeka mara dufu kwa kipindi hicho. Alikwenda Uarabuni na akaendelea na hilo hilo. Hotel ya Kilimanjaro ilikuwa gofu na akaitangaza Tanzania na waarabu wakaja kufanya vitu vyao, akaanzisha umoja wa Watanzania wanaoishi huko UAE na kuunda katiba. Ukiacha haya yote ya nje ya nchi, aliicha wizara ya Mawasiliano ikiwa imesheehena ndege zikiruka Uarabuni, Uingereza na bara lot ela Afrika akiwa waziri wa Mawasiliano na uchukuzi.Mbona hamuongelei kilichotokea ni nini? Na ndege hizo zilienda wapi? Kakabidhiwa shirika halina hata helicopter ya kupaa!Sasa JAKAYA kumrudisha hapo kuwa mwenyekiti wa bodi haikuwa kwa sababu ya kujuana bali ni kwa ajili ya uzoefu alionao. Makosa hutokea lakini si vizuri watu kukashifu mtu kama hakufanya chochote katika nchi hii. Hawa ni viongozi wachache ambao wameitumikia nchi kwa uaminifu kwa kufanya kazi karibu na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere hadi alipostaafu! Tuwe wakweli na tujifunze kukumbuka Historia, na siyo kuendeleza gumzo lisilo na maaana.

We kijana kwanza karibu sana hapa JF Where people dare to talk openly!!

Pili kabla huja changia tulia kwanza......! Maneno yako hapo juu ni yakimipasho mipasho.....! toa data zenye uhakika, kila mtu anaweza kuandika kwamba huyu kafanya hiki na kile...lete ushaidi wa hayo mazuri in terms of numbers....! unasema kaleta fedha nyingi....unamaanisha nini na how ameleta fedha hizo hapa na alimletea nani? zilienda hazina or wapi? toa udhibitisho!
Unasema alileta ndege zikiruka huko uarabuni....! ndege zipi hizo toa data kamili kama unauhakika na hayo!! Vinginevyo acha kudandia gari kwa mbele na kushauri usome vizuri michango ya wote waliochangia thread hii kabla hujaanza kuropoka ovyo!!

Hata kama huyo Nyang'anyi kafanya mazuri huko nyuma, wenzio hapa wanazungumzio issue iliyokuwa current i.e mahujaji we unanza kuleta issue za mwaka sabini bila ya udhibitisho!!

Moderator - Naomba michango kama hii uitolee mimacho, inatupotezea dira!!
 
MKJJ, I salute! Jana ulisema swali litajibiwa naona wameshawasilisha mojawapo ya zile DHC mbili imetua jana nimeona kwenye gazeti la leo.....

Still, swali langu ni juu ya ile ya kukodi, A300 hizi ndogondogo sina wasi nazo!!

Jibu lake nadhani majaliwa!!!!
 
Katika miaka ambayo nimefanya ATCL katika 18 sijawahi kuona kampuni ilivyopata hasara kama wakati huu,,ndugu zangu hasa wale wlipa kodi nimona vyema tuichambue hizi kashfa nani atabeba lawama ATCL ikifa??????SA TENA?MMhh,wanablogu kampuni hii kila mmoja alisikia kilio cha watu je kwa haya mambo yafuatayo tutafika ???

1)MAHUJAJI WAMETOA HELA KWENDA HIJA,,,LAWAMA HIZI TUMTUPIE MWENYEKITI WA B.....AMBAE BAADA YA KUULIZA SANA INASEMEKANA
HATA KITENGO HUSIKA HAKIJUI NINI KINAENDELEA;;;INA MAANA HII ILIKUWA NI DILI YA WATU AU??NA WAKINA NANI WALIOHUSIKA,,MAHUJAJI HIVI SASA WANALALA MAHOTELINI NA KILA HOTELI KWA SIKU SI CHINI YA SH 40,000 NA ATALIPA HIZI,ABIRIA WAKO 1000,JE 40,000*1000 KWA SIKU TANO NI SH NGAPI??

2)MAHUJAJI WAMETOA USD900 NA HABARI KAMILI WENYE NDEGE WANATAKA 1200 USD JE HIZI USD 300 ZINATOKEA KWENYE KAMPUNI HII HASARA ABEBESHWE NANI?.
ATCL siku hizi bana ina mi ndege kibao
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom