Katika pre emptying ya Mawakili wa Lwakatare,
Watu hawawezi kupanga mauaji katika sehemu ya wazi wanayopitapita watu?Mmmmh----Aiseee!Nani kasema!--Hebu jiulize na wewe,Hii ni strong argument kweli ya kumtetea mtu?
Ni Kweli Lwakatare alirekodiwa,Sura yake,ILA baadhi ya maneno sio yake....LAKINI HAKUREKODIWA KWA RIDHAA YAKE,NA HIYO NI MAKOSA?Mmmmmh---Jamani...Mtu anasikika kurekodiwa KUTEKA NA KUMDHURU MWINGINE<HALAFU UNATEGEMEA ATATOA RIDHAA AREKODIWE?--Mmmmh---What an argument jamani.....Dah!(Utadhani Video iliyopelekwa inawaonyesha Wanakunywa pombe na kupiga Soga za Kulima Viazi------Eti "Kuna sheria ya kuzuia mkosaji asirekodiwe"?)
Usalama wa Taifa hauna ruhusa ya kurekodi mawasiliano ya Vyama vya Siasa kwa ajili ya faida ya Chama Tawala---Mmmmh,Jamani jamani---OK OK,Ikithibitika Chama Tawala kimewafanyia Uhuni ili Usalama wa taifa wamrekodi Lwakatare,basi hii haitaondoa "dhana" ya kwamba Lwakatare alifanya Kosa,bali tu itabidi "Chama Tawala" wafunguliwe mashtaka na atakayeona wamefanya Kosa.
Saa 5.55 tarehe 28/12/2012 Mwigulu awasiliana na Ludovick----Eeeeeh?SWALI LETU WENGI LIMEKUWA NI NANI ALIMREKODI LWAKATARE?Kila Mtu anaendelea kuwa na jibu lake Kichwani....Siku ya kurekodiwa mkanda,Mwigulu anawasiliana na Ludovick(ambaye inasemekanika ni mtu mwaminifu ndani ya Wakuu wa Chadema),Kesho yake Mwigulu anasema tunao ushahidi wa CHADEMA kupanga mambo ya Uuaji....Mmmmmh,What a coincidence,...kweli Mwigulu ni Kijukuu cha mtume kama hakuwa ameshaupata huu Mkanda..
Kesi irudi mahakama ya Kwanza ilipofunguliwa?---Kwa sababu hapo ndio lazima Kesi kama hiyo LAZIMA isikilizwe?---Wameshasema kwamba "walikuwa wamekosea" Kuipeleka pale,kwani inaonyesha mahakama ile haina uwezo wa kuendesha Kesi hiyo------Suala litofautishwe hapa---Kati ya sehemu ambayo Kesi itafutwa kwa sbabu Mahakama hiyo haina uwezo wa kusikiliza,na lile la kwamba Kesi itafutwa kutokana na kwamba itaonekana "watu hawajafanya makosa wanayotuhumiwa"..
Ok OK.....Tusubiri mambo yanaendaje
JF---Kila mtu mwandishi,mchambuzi,mropokaji,Mwana Intelijensia----raha ndani ya Karaha yani
Tunaendelea kusikiza wengine wanachambueje mambo.