Sakata la Lwakatare: Wanasheria CHADEMA walonga

Sakata la Lwakatare: Wanasheria CHADEMA walonga

Mbona wanasheria hawasemi ile video ni fake?

Kama ule mkanda nk genuine basi huo ni ugaidi.

Ha ha haaa...hivi hata kama ina UKWELI wowote clip ile iso na mwanzo wala mwisho..muhusika mkuu (LWAKATARE)..akisema nilikua natengeneza MOVIE flan hivi..na ile ni sehem tu ya SCRIPT ya movie husika ....mtamfanya nn???,,,manake haonekan muhusika mwingine yeyote zaid ya yule dada (sijui muhudumu yule???) anaepita pale...hii kesi haina MASHIKO zaidi ya kujaribu KUUKOMOA upande wa pili.
 
sina imani kama kweli kwa hali ya Tz mahakamani ni sehemu ya kupatia haki kwa mwenendo wa mambo sasa yanavyokwenda kisiasa, yani kila kitu ni siasa

Tanzania, tuko kwenye hali inayofanana na msiba wa kitaifa. Wananchi hawana imani na vyombo vya ulinzi na usalama, hawana imani na mahakama, na wala hawana imani na bunge! Mchanganyiko huu unapaliliwa kuwa na 'disfunctional state'.
 
Tundu Lissu siku ile alijidhalilisha sana pale mahakamani mpaka akachekwa na umati wa watu!!!

Hilooooo! halioni hata haya. Kanjanja linaloweka njaa kali mbele. Fanya kazi utapata wacha kusubiri vya kupewa. Siku ukikosa wanaume watakupa kazi ya kuwaokotea vipande vya sabuni bafuni vinavyodondoka wakati wa kuoga.
 
CCM mazuzu jamani msiwaseme mnawaonea tuu bure hawapendi pia kuwa mazuzu ni basi tuu imetokea
 
Ha ha haaa...hivi hata kama ina UKWELI wowote clip ile iso na mwanzo wala mwisho..muhusika mkuu (LWAKATARE)..akisema nilikua natengeneza MOVIE flan hivi..na ile ni sehem tu ya SCRIPT ya movie husika ....mtamfanya nn???,,,manake haonekan muhusika mwingine yeyote zaid ya yule dada (sijui muhudumu yule???) anaepita pale...hii kesi haina MASHIKO zaidi ya kujaribu KUUKOMOA upande wa pili.

Mkuu hawam iq 7 wala usijibizane nao. Hawajui kilichoko mbele yao futi 2 na wala nyuma yao. Ukweli ni kwamba hii kesi haina nguvu yoyote, ila wanataka kufanya propaganda za kijinga na mbaya zaidi hata hizo propoganda hawajui wazifanyaje. Kina ZeMaproco na waganga njaa wenzake chini ya uratibu wa vilaza wa CCM na serikali yao iliyooza.
 
Mbona wanasheria hawasemi ile video ni fake?

Kama ule mkanda nk genuine basi huo ni ugaidi.

Video inaongelea kuteka mtu mmoja hivyo haiwezi kuchukuliwa ni ugaidi. DPP atakuwa amefungua kesi ya ugaidi akiwaza na matukio ambayo hayajapatiwa ufumbuzi ya akina Kubenea, kibanda na waandishi wengine. Mahakama haijui ilo. Vilevile polisi hawakuichunguza ile video vizuri, kwangu mimi naonelea kushtaki kwa uchochezi ilikuwa sahihi kwani walijirekodi ili iwe propaganda bahati mbaya wakakosea vitu vingi
 
Tundu Lissu siku ile alijidhalilisha sana pale mahakamani mpaka akachekwa na umati wa watu!!!

toa ushahidi wa picha au chanzo kinachoonesha tundu akichekwa na watu hapo mahakamani vinginevo wewe ni mjinga na hayawani mkubwa,penda nchi yako acha ushabiki.
 
Wanatafuta huruma ya wananchi kupitia wanahabari hakuna jipya hapo.
 
Mkuu hawam iq 7 wala usijibizane nao. Hawajui kilichoko mbele yao futi 2 na wala nyuma yao. Ukweli ni kwamba hii kesi haina nguvu yoyote, ila wanataka kufanya propaganda za kijinga na mbaya zaidi hata hizo propoganda hawajui wazifanyaje. Kina ZeMaproco na waganga njaa wenzake chini ya uratibu wa vilaza wa CCM na serikali yao iliyooza.

Kumbe mlisha muona huyo jamaa na wenzake...watu hatari sana..lao ni zaidi ya njaa...
 
huu muda wa kubabikiziana mi-kesi isiyo na manufaa kwa taifa tungeutumia kutengeneza mitaala ya elimu ambayo hatuna tangu uhuru - eti UGAIDI, hivi mnacheza na UGAIDI nyie? hiyo kidnapping mnaita ugaid? police wa tanzania wanaseza kupeleleza UGAIDI?

nafikiri Tanzania mnautaka UGAIDI mtaupata, kama mlivyouomba udini na ukabila.
 
Wanatafuta huruma ya wananchi kupitia wanahabari hakuna jipya hapo.

images
 
Sidhani kama mahakama ni mhimili unaojitegemea kama bunge na executive!
Katiba mpya kuna haja ya kuyafanyia kazi haya mapungufu.
Maana mahakama inaendeshwa kama gari bovu!
Hivi unaamini kuwa bunge ni mhimili unaojitegemea? Wote bunge na mahakama wanaendeshwa remotely toka magogoni.
 
Back
Top Bottom