Sakata la Kafulila na wenzake CHADEMA

Sakata la Kafulila na wenzake CHADEMA

Umenielewa kweli ndugu yangu? Nimelalamika wapi, kwa lipi?

umelalamika mara nyingi ndugu yangu kuwa Lowasa ni fisadi ama nimekosea?? lakini hujawahi kusema asiyeridhika na maelezo ya lowasa amtafute amweleweshe.

Mimi ndo nikahoji utamtafuta vipi FISADI Slaa atueleweshe??
 
Kaka, Slaa hawezi kuwacorrupted kirahisi kama udhaniavyo. Tatizo la Dr Slaa, akiwa kama Padri mstaafu anaamini sana katika AUTHORITY. Ni vigumu kusimama kidete dhidi ya mkubwa wake kimadaraka.....

omarilyas

Kuna kaarufu ndani ya CHADEMA cha UDINI na UKABILA . Na ndio maana ZITO alikataliwa kugombea Uwenyekiti.

Poleni sana Chadema
 
FP

Mbowe anashambuliwa zaidi kwa maoni yangu, kwa kuwa unapozungumza masuala ya fedha huku mzungumzwa ni mchagga. Ni mkakati wa kumvika beji ya ubadhirifu, kwa kuwa wafanya propaganda hizo wanajua wazi kuwa jamii ya watanzania ina mtazamo tofauti kuhusu wachagga. Mbowe anashambuliwa zaidi kwa kuwa ni Mwenyekiti wa chama, ni mkakati tu wa mpige Mchungaji na kondoo watatawanyika. Kumwangusha Mbowe Mwenyekiti, ni kuiangusha CHADEMA. Hivyo, wote mnapenda CHADEMA iendelee kudumu mnawajibu wa kumlinda Mwenyekiti wa CHADEMA. Nafurahi kama Dr Slaa analitambua hilo

Mbowe ni tofauti kabisa na Wenyeviti wote; halipwi mshahara na CHADEMA kama Lipumba anavyolipwa na CUF. Hapewi Posho za vikao. Anajiweka mbali na fedha za CHADEMA. Kosa lake kubwa ni kuwa mwaka 2005; alitoa kiwango kikubwa cha fedha kukupesha kampeni za CHADEMA. Zaidi ya milioni 300 kwa baraka za Kamati Kuu ya Chama. Baada ya uchaguzi huo akaseme zaidi ya nusu ya fedha hizo kama mchango wake kwa chama. Sasa wakina Mrema,Mbatia nk; hakuna aliyefanya hivyo. Ndio maana anatajwa kwenye masuala ya fedha. masuala yote haya ya fedha CHADEMA iliyaweka hadharani. Wenyeviti wengine wote na vyama vyao hawajawa transparent kwa kiwango hicho

Asha
Kuna gazeti moja ua mwandishi mmoja alishawahi sema ni kwanini Mbowe ni tishio kwa CCM.

- Uwezo wake wa kifedha na ujanja wake wa mjini aka mtoto wa mjini
- Hahongeki kwa kuwa hakendwa CHADEMA kuganga njaa.

Hili la kusema kuwa Mbowe anaogopa wasomi? ni kichekesho!!! Tusubiri tuone.
 
Kuna kaarufu ndani ya CHADEMA cha UDINI na UKABILA . Na ndio maana ZITO alikataliwa kugombea Uwenyekiti.

Poleni sana Chadema


sio udini

Mle kuna ukabila, ufisadi na umafia.

Marehem wangwe alikuwa dini yao lakini kile kitendo cha kuhatarisha ufisadi wao wakampoteza kabisa.
 
Kuna gazeti moja ua mwandishi mmoja alishawahi sema ni kwanini Mbowe ni tishio kwa CCM.

- Uwezo wake wa kifedha na ujanja wake wa mjini aka mtoto wa mjini
- Hahongeki kwa kuwa hakendwa CHADEMA kuganga njaa.

Hili la kusema kuwa Mbowe anaogopa wasomi? ni kichekesho!!! Tusubiri tuone.

Wewe utashindana vipi na mali ya mtu kwa namna nyingine nawashangaa hata akina Daudi na wenzake.

Maana wenzetu walioendelea hata kama kampuni ni lake kama anafanya kazi ndani ya kampuni naye huwa anaenda kupokea mshahara kwa mhasibu.
japo sio kuiga kila kitu lakini kuna mambo mema ambayo wenda tukijaribu tunaweza piga hatua.

Sasa fisadi Mbowe yeye kaenda mbali zaidi hata kama CHADEMA kampuni ni yake inabidi achukue mshahara ili kurahisisha mahesabu ya mwaka.Vinginevyo anafanya hivyo kwa sababu za kifisadi.

Kama ile kukopesha chopa karuka mwenyewe harafu anajilipa kutoka ktk posho hili ni zaidi ya ufisadi ni umafia dizaini.

wasomi wakihoji basi ndo mwisho wao ktk kampuni chadema.
 
jamani acheni uhuni, kama chama kina taratibu zake na kama kuna watu wanavijusha si´ri za chama kwa maslahi yao binafsi waondoke? Nashindwa kuelewa kwanini Zitto anaweka makundi na kuanza kutetetea Kafulila eti ana potentials! Potential my foot kama anabomoa chama!
 
Kuna kaarufu ndani ya CHADEMA cha UDINI na UKABILA . Na ndio maana ZITO alikataliwa kugombea Uwenyekiti.

Poleni sana Chadema

Kuna harufu ya Udini ndio maana Bob Makani Muislamu akawa Mwenyekiti na kuna ukabila sana ndio maana Bob Makani Msukuma akawa Mwenyekiti wa CHADEMA taifa

Asha
 
Wewe utashindana vipi na mali ya mtu kwa namna nyingine nawashangaa hata akina Daudi na wenzake.

Maana wenzetu walioendelea hata kama kampuni ni lake kama anafanya kazi ndani ya kampuni naye huwa anaenda kupokea mshahara kwa mhasibu.
japo sio kuiga kila kitu lakini kuna mambo mema ambayo wenda tukijaribu tunaweza piga hatua.

Sasa fisadi Mbowe yeye kaenda mbali zaidi hata kama CHADEMA kampuni ni yake inabidi achukue mshahara ili kurahisisha mahesabu ya mwaka.Vinginevyo anafanya hivyo kwa sababu za kifisadi.

Kama ile kukopesha chopa karuka mwenyewe harafu anajilipa kutoka ktk posho hili ni zaidi ya ufisadi ni umafia dizaini.

wasomi wakihoji basi ndo mwisho wao ktk kampuni chadema.

Chama ni vikao, Mbowe hafanyi maamuzi binafsi. Maamuzi yote ya kukopa ama kutumia fedha kiasi kikubwa za chama hufanywa na vikao. Uamuzi wa kutumia helikopta sio wa Mbowe ni wa Kamati Kuu ya chama na uliidhinishwa pia na Baraza Kuu na hata mikutano mikuu yote ya chama ya mwaka 2005 na 2006.


Asha
 
jamani acheni uhuni, kama chama kina taratibu zake na kama kuna watu wanavijusha si´ri za chama kwa maslahi yao binafsi waondoke? Nashindwa kuelewa kwanini Zitto anaweka makundi na kuanza kutetetea Kafulila eti ana potentials! Potential my foot kama anabomoa chama!


Wewe ndio tutakushangaa

Siri gani hizo kama sio ufisadi, wewe kama mbinu zako ni halali kuna siri ya ziada ya nini?

Mbona serikali inaposema hizi ni siri za serikali watu tunalalamika??

Jamani naomba tuache uhuni kabisa
 
Chama ni vikao, Mbowe hafanyi maamuzi binafsi. Maamuzi yote ya kukopa ama kutumia fedha kiasi kikubwa za chama hufanywa na vikao. Uamuzi wa kutumia helikopta sio wa Mbowe ni wa Kamati Kuu ya chama na uliidhinishwa pia na Baraza Kuu na hata mikutano mikuu yote ya chama ya mwaka 2005 na 2006.


Asha

Ni kweli kabisa kwa maana fisadi mbowe ndiye kikao na ndiye baraza kuu na ndiye mkutano mkuu.

Na hata hivyo kwanini wewe huwa unalalamika nini sasa kuhusu mikataba mibovu maana nayo hupitishwa na baraza la mawaziri kwako hiyo inatosha?

Acheni uhuni
 
chama huwa kina spokesman na mambo ya kuanika kila kitu kwenye magazeti ndo kukibomoa kwenyewe haswa hili swala la Zitto kupingana na wenzake kwa utetezi wa ati Kafulila ana potentials! Consultations ni muhimu na hawa vijana naona wana lao jambo time will tell us soon!
 
chama huwa kina spokesman na mambo ya kuanika kila kitu kwenye magazeti ndo kukibomoa kwenyewe haswa hili swala la Zitto kupingana na wenzake kwa utetezi wa ati Kafulila ana potentials! Consultations ni muhimu na hawa vijana naona wana lao jambo time will tell us soon!


ni kweli jambo wanalo la kuhatarisha maslahi ya Mifisadi
 
Huu ugonjwa wa ukabila Nyerere aliwaweza kweli na hii syndrome maana kama sikosei hata yeye jeshi zima aliweka watu wa karibu yaani wa Mara. So sioni mtu anayebisha ati ukabila kwa kila kitu sidhani kama anakitendea haki chama mbona mle ndani kuana Wanyakyusa, Wahaya, Wangoni na makabila mengine mengi tu toka Kigoma na Sumbawanga! Au kwa vile Wachagga ndio walianzisha kile chama ndo kuwa-victimize namna hiyo! We endelea na ukalagha bao wako huo wa Ukabila huku wanaosambaza propaganda hizo yaani CCM ikiwatayarisha watoto wao kuwarithi!
 
Huu ugonjwa wa ukabila Nyerere aliwaweza kweli na hii syndrome maana kama sikosei hata yeye jeshi zima aliweka watu wa karibu yaani wa Mara. So sioni mtu anayebisha ati ukabila kwa kila kitu sidhani kama anakitendea haki chama mbona mle ndani kuana Wanyakyusa, Wahaya, Wangoni na makabila mengine mengi tu toka Kigoma na Sumbawanga! Au kwa vile Wachagga ndio walianzisha kile chama ndo kuwa-victimize namna hiyo! We endelea na ukalagha bao wako huo wa Ukabila huku wanaosambaza propaganda hizo yaani CCM ikiwatayarisha watoto wao kuwarithi!
KAKASLAA.jpg



Mwangilie huyu fisadi utafikiri anawaza la maana
 
Naamini wanalijua sana, lakini wanafanya makusudi. Suala la kujiuliza ni kwanini?

Kuhusu maridhiano, mambo yote haya ikiwemo taarifa za fedha yanajadiliwa kwa uwazi kwenye vikao vya CHADEMA kama ambavyo Dr Slaa ameeleza. Swali la kujiuliza; kwanini badala ya kwenda kuyajadili kwenye vikao vya chama watu hao kazi yao ni kuzungumza uongo kwenye vyombo vya habari?

Hata Zitto aliwahi kuandika hapa kwa kirefu JF kuhusu uadilifu wa Mbowe na kujitolea kwake kukisaidia chama kifedha; sasa huyo Kafulila anaposema kwamba ameondolewa kwa kuhoji masuala ya fedha kwenye sekretariati anaanzia wapi?


Atoe mtu maelezo au vielelezo kuwa Mbowe anaiba ruzuku ya CHADEMA basi! Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.

Asha


Asha;

Wape benefit of doubt, labda hawajui. Nao kama wanyonge tuwanyonge lakini haki zao tuwape.

Mi binafsi nimekuelewa sana.

Siku njema

FairPlayer
 
CHADEMA ni ya wanachama (Wanachadema) na si ya mtu binafsi au kundi fulani la viongozi. Ni vizuri migogoro inapojitokeza, viongozi wasichukue maamuzi kwa ajili ya kilinda maslahi yao binafsi, bali wachukue maamuzi kwa ajili ya wanachama wote.
Wasipokuwa makini, wapinzani wao hasa ccm wataitumia hiyo nafasi ili kuwasambaratisha zaidi.

MWISHO TUTAPA USEMI HUU "VITA VYA CHADEMA, NEEMA KWA CCM"
Uongozi ni kitu cha tofauti sana ndugu yangu. Kinahitaji maamuzi mengine magumu sana! na hapa kama JK angekuwa anajua hili hawa wezi ndani ya chama chake wasingemyumbisha kama wanavyofanya sasa. Angesha wafungia nje ya uongozi na nje ya chama ikiwezekana.
Kuwa kiongozi ni kuweka chama katika umoja, lakini lazima kuwa makini kwamba kama baadhi ya viongozi wakiamua kutokuwa watii, basi kuwavua nyadhifa ni lazima.
Ni jambo jema kwamba hawakuvuliwa uanachama bali wamevuliwa uongozi tu. Wabaki kama wanachama na waone jinsi ya kujirekebisha na kama itaonekana vema warudi katika uongozi. Kafulila bado anaweza kugombea ubunge hajazuiwa lakini si lazima awe kiongozi Chadema ili agombee ubunge. Nimefurahi kusikia bado anakipenda chama chake na yuko royal to the party.
Mwisho kwa kukunukuu kwa kuwa chama si cha viongozi bali wanachama haimaanishi kila mtu ajifanyie aonavyo. Viongozi watabaki wakiwajibika katika mambo ya chama na kuhakikisha kiko imara.
mbinu zote zinazotumika sasa hivi kutoka kile chama cha kijani kutaka kudhoofisha Chadema hazitaweza.
Watu kukaa wakifikili kwamba kwa sababu kiongozi kavuliwa madaraka ni kwa sababu ya uchaguzi tu haya ni mawazo dhaifu ambayo hayawezi kukijenga chama.
Chadema Oyeeeeeeeeeee.
 
FP

Mbowe anashambuliwa zaidi kwa maoni yangu, kwa kuwa unapozungumza masuala ya fedha huku mzungumzwa ni mchagga. Ni mkakati wa kumvika beji ya ubadhirifu, kwa kuwa wafanya propaganda hizo wanajua wazi kuwa jamii ya watanzania ina mtazamo tofauti kuhusu wachagga. Mbowe anashambuliwa zaidi kwa kuwa ni Mwenyekiti wa chama, ni mkakati tu wa mpige Mchungaji na kondoo watatawanyika. Kumwangusha Mbowe Mwenyekiti, ni kuiangusha CHADEMA. Hivyo, wote mnapenda CHADEMA iendelee kudumu mnawajibu wa kumlinda Mwenyekiti wa CHADEMA. Nafurahi kama Dr Slaa analitambua hilo

Mbowe ni tofauti kabisa na Wenyeviti wote; halipwi mshahara na CHADEMA kama Lipumba anavyolipwa na CUF. Hapewi Posho za vikao. Anajiweka mbali na fedha za CHADEMA. Kosa lake kubwa ni kuwa mwaka 2005; alitoa kiwango kikubwa cha fedha kukupesha kampeni za CHADEMA. Zaidi ya milioni 300 kwa baraka za Kamati Kuu ya Chama. Baada ya uchaguzi huo akaseme zaidi ya nusu ya fedha hizo kama mchango wake kwa chama. Sasa wakina Mrema,Mbatia nk; hakuna aliyefanya hivyo. Ndio maana anatajwa kwenye masuala ya fedha. masuala yote haya ya fedha CHADEMA iliyaweka hadharani. Wenyeviti wengine wote na vyama vyao hawajawa transparent kwa kiwango hicho

Asha
Acha kupotosha ukweli, mbona Mramba ni mchaga na unapozungumzia masuala ya fedha husemi kwa sababu ni mchaga na wasema ni fisadi?
tumia akili coz unazi hadi wa kujiondoa akili haufai. unaposema Mbowe amejiweka mbali na fedha za chama unamaanisha nini? nini maana ya kujiweka mbali, Mbowe kang'anga'nia kuwa signatory ya akaunti ya chama na yeye pamoja na Antony Komu huwa wanasaini na kuchukua fedha za chama, mfano December 2008 alipocukua fedha kulipia kodi na Kumalizia ukarabati wa Club Bilcanas na ikaleta mtafaruku kwenye sekretariet, huko ndo kujiweka mbali? kwa nini wengine hawataki awe mtia saini ili awawajibishe wa chini yake lakini anang'ang'ania?, alipochukua fedha za msaada za Concervative na kuanzisha gazeti la Tanzania Daima na MSeto na kuua uhusiano na Conserative ndo kujiweka mbali na fedha za chama?
Mbowe kama watuhumiwa wengine wa ufisadi wanapaswa kuchunguzwa ili sheria iprove kama wako innocent au guilt na si kwa hoja za kitoto na za kupotosha umma. inabidi mkuwe coz uongo sio sustainable na wote mnaotetea uovu mtakuja umbuka ndani ya chadema kama wanavyoumbuka kina Simba na wenzake ndani ya CCM na historia itawaanika na vizazi vyote vitajua upuuzi wenu!
 
Acha kupotosha ukweli, mbona Mramba ni mchaga na unapozungumzia masuala ya fedha husemi kwa sababu ni mchaga na wasema ni fisadi?
tumia akili coz unazi hadi wa kujiondoa akili haufai. unaposema Mbowe amejiweka mbali na fedha za chama unamaanisha nini? nini maana ya kujiweka mbali, Mbowe kang'anga'nia kuwa signatory ya akaunti ya chama na yeye pamoja na Antony Komu huwa wanasaini na kuchukua fedha za chama, mfano December 2008 alipocukua fedha kulipia kodi na Kumalizia ukarabati wa Club Bilcanas na ikaleta mtafaruku kwenye sekretariet, huko ndo kujiweka mbali? kwa nini wengine hawataki awe mtia saini ili awawajibishe wa chini yake lakini anang'ang'ania?, alipochukua fedha za msaada za Concervative na kuanzisha gazeti la Tanzania Daima na MSeto na kuua uhusiano na Conserative ndo kujiweka mbali na fedha za chama?
Mbowe kama watuhumiwa wengine wa ufisadi wanapaswa kuchunguzwa ili sheria iprove kama wako innocent au guilt na si kwa hoja za kitoto na za kupotosha umma. inabidi mkuwe coz uongo sio sustainable na wote mnaotetea uovu mtakuja umbuka ndani ya chadema kama wanavyoumbuka kina Simba na wenzake ndani ya CCM na historia itawaanika na vizazi vyote vitajua upuuzi wenu!


Hakuna chama Karagosi kama CHADEMA
yani watu wawili tu wanamaliza mambo na kuchukua fedha.Bomu kweliii.

Haya ya msaada hata Marehem wangwe aliyasema ,huyu jamaa ni mafia dizaini
 
Sasa hapo mitego yao inakukaribia Zitto , na wanakutafuta wewe hao akina Daud ni chambo na wamerusha dowano lao la kuloea mamba unaliifahamu.

Wanategeshea tu wakiita hicho kikao ama vipi ,ukibisha sana na hata ukibisha kidogo wanasema ndo walewale akina daudi

Logically, kama akina Daudi wanahatarisha Chama na wewe unaatetea na hate kusema neno obvious ila hapa ngoja nilitumie yani obvious na wewe ndo mhimili mhatarishaji mkuu wa chama.
 
Acha kupotosha ukweli, mbona Mramba ni mchaga na unapozungumzia masuala ya fedha husemi kwa sababu ni mchaga na wasema ni fisadi?
tumia akili coz unazi hadi wa kujiondoa akili haufai. unaposema Mbowe amejiweka mbali na fedha za chama unamaanisha nini? nini maana ya kujiweka mbali, Mbowe kang'anga'nia kuwa signatory ya akaunti ya chama na yeye pamoja na Antony Komu huwa wanasaini na kuchukua fedha za chama, mfano December 2008 alipocukua fedha kulipia kodi na Kumalizia ukarabati wa Club Bilcanas na ikaleta mtafaruku kwenye sekretariet, huko ndo kujiweka mbali? kwa nini wengine hawataki awe mtia saini ili awawajibishe wa chini yake lakini anang'ang'ania?, alipochukua fedha za msaada za Concervative na kuanzisha gazeti la Tanzania Daima na MSeto na kuua uhusiano na Conserative ndo kujiweka mbali na fedha za chama?
Mbowe kama watuhumiwa wengine wa ufisadi wanapaswa kuchunguzwa ili sheria iprove kama wako innocent au guilt na si kwa hoja za kitoto na za kupotosha umma. inabidi mkuwe coz uongo sio sustainable na wote mnaotetea uovu mtakuja umbuka ndani ya chadema kama wanavyoumbuka kina Simba na wenzake ndani ya CCM na historia itawaanika na vizazi vyote vitajua upuuzi wenu!

Dr Slaa alishatoa ufafanuzi, si akaunti zote mwenyekiti anasaini. Lakini pia, haisaini maombi wala kuidhinisha matumizi. Yeye anachosaini ni kwa nia ya kudhibiti benki fedha kutoka. Maandalizi ya malipo yanafanywa na Mkurugenzi wa Fedha na kuidhinishwa na Katibu Mkuu. Hivyo, kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA accounting officer ni Katibu Mkuu hivyo kama kuna matatizo kwenye matumizi ya CHADEMA wa kuhojiwa ni Dr Slaa sio Mbowe.

Umetaja suala la fedha za Conservative, Dr Slaa alishaeleza kwamba toka mwaka 2005 CHADEMA haijawahi kupokea fedha toka chama hicho. Sasa fedha za Conservative wakati huo Mkurugenzi wa Mambo ya Nje alikuwa Zitto Kabwe. Na ni fedha kidogo sana, na Zitto alishazitolea ufafanuzi humu humu JF kuwa ni kiwango gani na zilitumikaje, hayo uliyoyataja hakuyasema kabisa. Hebu fanya search tu hapa utaona. Sasa kama unasema zilijenga Bilicanas au kuanzishia Tanzania Daima unataka kutuambia kwamba Zitto alitudanganya humu kumlinda Mbowe?

Asha
 
Back
Top Bottom