WEwe maana uliyonayo ni ipi? kumbe wewe unamaana
Wewe maana yako ni ipi hapo Fisadi wenu alipomwita binadamu mwenzie SISIMIZI MDUDU
Na bahati yake tu Tanzania hakuna utawala wa sheria kama ingelikuwapo basi ingembidi athibitishe jinsi Daud alivyo mdudu sisimizi
Tena usinihusishe na hao wagalatia, mimi nimejaribu kuuona ukweli habari za sisimizi hazinihusu .
Ila huenda alitumia mifano ya YESU kwani mara zote watu wenye akili za kawaida kamwe hatuelewi mifano nini maana yake.