Sakata la Kafulila na wenzake CHADEMA

Last edited by a moderator:
Chadema ni saccos ya wachaga Ikiongozwa na Mbowe,ni saccos inayoabudu ukanda na udini,Kazi yao ni kupiga deal na sio kumkomboa mtanzania, ndo maana ukionekana think tank kama Kafulila,Kitila,Zito wanakutimua.
 
Mbowe alisema hawezi kufanya kazi na Kafulila?kweli Zitto hakukosea "TUWEKE AKIBA YA MANENO"

Mbowe ni mwanasiasa gaidi na mbinafsi anaeua demokrasia nchini,ebu nambie leo hii chadema Zito angekuwa ndani,Kafulila ndani,Marehem Chacha Wangwe ndani,pro Kitila ndani,Mwigamba ndani na wengine waliobakia kama Mnyika na mdee hii nchi ingekuwa ishachukuliwa mda mrefu ila huyu mpuuzi ndo ndo adui wa demokrasia wachache sana wanaweza kujua.Leo hii tunamlaumu Zito kuanzisha chama sasa angefanyaje Jitu binafsi kama Mbowe halimtaki?Kafulila kajilazimisha kuingia chama cha kipuuzi(NCCR) sio kwa sababu anapenda ila tu bado anapenda kuwatumikia watanzani,Kw kweli Chadema kwa sasa ni Saccos tu sio chama tena ni saccos ya Wachaga na lengo lao ni kutafuna ruzuku tu akiongozwa na form 6 div O.Huyu Mbowe namshauri aende kwenye fani yake ya Udj wa muziki ila siasa aachane nazo.
 
Asili ya watu wenye makengeza ni wachache sana kukuta wako vizuri kichwani wengi huwa na mtindio wa ubongo hivyo kwa mimi siwezi kumshangaa Mbowe .
 
Adharusi huu uzi niwa 2009 sijui kama watu wanajua hilo

Pili, sioni kwanini uni alike mtu akioa hoja yake au matusi

Tatu,ni kipi hasa ulichotaka kueleza, maana naona unanialika ' tu
 
Adharusi huu uzi niwa 2009 sijui kama watu wanajua hilo

Pili, sioni kwanini uni alike mtu akioa hoja yake au matusi

Tatu,ni kipi hasa ulichotaka kueleza, maana naona unanialika ' tu

nimekualika ili uone historia ni mwalimu bora duniani,jinsi gani mbowe hapendi ushindani katika nafasi yake,kama mnavadai Kule katika Mnakasha ule,wa ACT kuwa ni mpini,mnaandika ili historia iendelee kuishi,nikaona nikukumbushe mwenendo wa Mbowe
 
kwahiyo ujumbe ni kwamba baada ya matukio hayo ZZK alikuwa na haki ya kuanza kukisaliti chama!
 
Back
Top Bottom