Saikolojia: Niulize chochote kuhusu wanawake

Saikolojia: Niulize chochote kuhusu wanawake

Aisee... na vile wanaume hatupendi ugomvi na kujibizana sometym..
Haswaa hapo tunatakaga tubembelezwe tu,,tutolewe out na tuwe handled with care utashangaa tunacheeka,,na sometimes tunatakaga makofi mawili au moja linatosha tunacheka wakati mwingine tunatakaga show ya kufa MTU ukitoka hapo jasho chaapa BA's ugomvi umeisha
 
Kila mwanamke anapenda anachopenda kwa mwanaume, mwingine anapendea pesa, mwingine muonekano (unadhifu, mambo ya body, sura) na sifa nyinginezo..

Kama kakupenda kwa kigezo cha misuli misuli nini, ama muonekano wako, hata muda ule ukifika hisia zake zinazama kwenye muonekano wako na ile misuli, hivyo kupelekea akili + mwili wake kurelax kuruhusu hisia zitawale na matokeo yake yataonekana.

Kama kigezo ni pesa, hisia zake zitaangukia kwenye ile migao yako ya pesa kwake, hivyo akilini mwake atajenga taswira ya kujaliwa (Care), kwa wanaoamini kujaliwa ni kupewa PESA.. Hivyo atakuvutia hisia kama mtu muhimu sana kwake. Vile vile matokeo yake yataonekana.
Aaaah!
 
kwa nini wanawake wanapaka make up,na wanaume hawafanyi hivyo...?LOL

kwa nini mama wa kambo wanakua wakali sana kwa watoto??

ni kweli wanawake tunachukia watu waliotubikiri???

ni kweli ni rahisi kwetu 'kukumbushia' game na watu waliokua wapenzi wetu??? WHY ?lol
Na kwa maswali haya bado sielewi..

ivi unauliza why unachukia aliekubikiri? Kweli? Unauliza?...
 
Lakini yote hayo kuumiza kichwa tu,
kumjua nani ni nani.

Huo mkanganyiko wote unaanzia hapa

"Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu. Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe"

"Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama kristo naye alivyolipenda kanisa" AKAJITOA KWAAJILI YAKE.

"Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke HESHIMA.
 
Lakini yote hayo kuumiza kichwa tu,
kumjua nani ni nani.

Huo mkanganyiko wote unaanzia hapa

"Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu. Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe"

"Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama kristo naye alivyolipenda kanisa" AKAJITOA KWAAJILI YAKE.

"Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke HESHIMA.
I'd rather give all my love nd cares to my daughter
atleast she isn't complicated...
 
Ninapomtongoza mwanamke; huwa najibiwa:
-Siko tayari kuolewa
-Mapenzi ya sasa pasua kichwa
-Wanaume wa sasa hawaeleweki
-Nakula ujana au bado sana kuwa na mpenzi.

Lakini ikitokea ukapiga shows kwake/kwa wasemao maneno hayo; mtafutano si wa nchi hii.
Yaani utafikiri wasiojulikana wanavyowatafuta wapinzani au members wa JF.

Husababishwa na nini hiyo?

Sasa unafikiri ukipiga show ile wanaita one for the road.... kwanini mwanamke asikutafute. ..... hapo hata kuhonga atakuhonga ili tuu ukarine asali tena na tena Hehehehehehehe

Hapana chezea chezea kinembe kinasababisha nguvu kubwa ya uvutano.

Kasie Mahaba.
 
Haswaa hapo tunatakaga tubembelezwe tu,,tutolewe out na tuwe handled with care utashangaa tunacheeka,,na sometimes tunatakaga makofi mawili au moja linatosha tunacheka wakati mwingine tunatakaga show ya kufa MTU ukitoka hapo jasho chaapa BA's ugomvi umeisha
Afadhali ww unaeleza kabisa thank youu mali yake jamaa yangu..
 
Sasa unafikiri ukipiga show ile wanaita one for the road.... kwanini mwanamke asikutafute. ..... hapo hata kuhonga atakuhonga ili tuu ukarine asali tena na tena Hehehehehehehe

Hapana chezea chezea kinembe kinasababisha nguvu kubwa ya uvutano.

Kasie Mahaba.
Exactly.
Nimejikuta nacheka mwenyewe geto.

Yaani hujakosea.
 
Back
Top Bottom