Fulling Porce
Member
- Mar 26, 2018
- 39
- 36
AiseeMim kina vitu huwa nafanya Mr anafooka alafu badae nakaa najitafakari hivi nilifanya nn najicheka mwenyew,,kina ile ya kumisi kugombana na mtu basi utamchokonoa mwanaume mradi tu mgombane hapo roho kwaatu,,yani mwanamke wacha kabisaa


... na vile wanaume hatupendi ugomvi na kujibizana sometym..





