Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,824
Ulikuwa kwenye akili yanguKwanini mawifi automatic huwa hatupendani?
Unaweza kuta kwe hyo research kadanganywa pia hahaha wanawake tuna balaa,

Ni kweli. Japo sio ukaribu wote humpelekea lady kufall in love. (Sorry mimi sio Mr Bean)ni kweli kwamba ukiwa na ukaribu na msichana, mfano ukaribu wa kikazi labda mnafanya kazi ofisi moja au mnasoma wote darasa moja, huwa ni rahisi msichana yule kupata hisia za kukupenda automatically wewe mwanaume hata kama hakujui vizuri undani wako na wewe mwenyewe huna hisia nae zozote zaidi ya ushirikiano tu ktk baadhi ya mambo kama ya kikazi? yaani ni kweli ukaribu wa msichana unapitilizaga na hadi kumjengea hisia zingine juu ya mwanaume?
Ukweli 100%zipo sababu nyingi sana, ila sababu kubwa na common sana ni tabia ya wanawake kujiona wapo bora zaidi ya wanawake wengine. najua hapa itakua ngumu kwa wewe ku connect dots, ila niamini, pale unapoanza tu kuhisi mwanamke mwenzako ni bora (superior) kuliko wewe basi kuna ka wivu flani kanakuja ambako hako ka wivu ndo kana sababisha musipendane.
na hii sio kwa mawifi tu, hata kwa marafiki, mashosti nk.
kuna wengine machoni wanachekeana, ila moyoni wanachomana visu.
Mr Miller, MUNGU anakuona ujue! Hivi mwanamke anaweza kushout bila sababuMungu atusaidie sana kwakweliView attachment 776087
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Asante. Nakupenda piaNmekupenda.
kabisaa, wanawake kila dk mnakuwa na akili mpya hahahaUnaweza kuta kwe hyo research kadanganywa pia hahaha wanawake tuna balaa,![]()
![]()
Mim kina vitu huwa nafanya Mr anafooka alafu badae nakaa najitafakari hivi nilifanya nn najicheka mwenyew,,kina ile ya kumisi kugombana na mtu basi utamchokonoa mwanaume mradi tu mgombane hapo roho kwaatu,,yani mwanamke wacha kabisaakabisaa, wanawake kila dk mnakuwa na akili mpya hahaha
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
sababu inaweza ikawepo ila mwanaume asiijue.....Mr Miller, MUNGU anakuona ujue! Hivi mwanamke anaweza kushout bila sababu
kwahyo automatic tu na ww huwapendi wifi zakoUlikuwa kwenye akili yangu




aiseee,Mim kina vitu huwa nafanya Mr anafooka alafu badae nakaa najitafakari hivi nilifanya nn najicheka mwenyew,,kina ile ya kumisi kugombana na mtu basi utamchokonoa mwanaume mradi tu mgombane hapo roho kwaatu,,yani mwanamke wacha kabisaa






kwenye hicho kitabu utaelewa sana jinsi ya kuishi nao tu ila kuwaelewa sio rahisi chief, zingatia wanatofautiana piaMen are from Mars, Women are from Venus
Go through this book, it helps to understand woman.
HahhMleta Uzi unisaidie kwenye hili tafadhali nini huwa kinafanya wanawake wengi kumis hali ya ugomvi na kuwa wachokozi kwa wenza wao ilimradi tu kaugomvi katokee
Kweli kabisa,kwenye hicho kitabu utaelewa sana jinsi ya kuishi nao tu ila kuwaelewa sio rahisi chief, zingatia wanatofautiana pia
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Kujua jinsi ya kuishi nao ndio kuwaelewa kwenyewe, ama unataka uwaelewe vipi Chief? Unataka remote control kabisa, Boss?kwenye hicho kitabu utaelewa sana jinsi ya kuishi nao tu ila kuwaelewa sio rahisi chief, zingatia wanatofautiana pia
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Basi ukiona wifi anashout nawe hujui sababu, tambua Kuwa kumekuwa na mrundikano wa vitu ndani yake. Na hapo ndo amepata nafasi ya kuvitoa. Anaweza akacharuka leo kumbe wewe ulimkosea last month