Saikolojia: Niulize chochote kuhusu wanawake

Saikolojia: Niulize chochote kuhusu wanawake

Ninapomtongoza mwanamke; huwa najibiwa:
-Siko tayari kuolewa
-Mapenzi ya sasa pasua kichwa
-Wanaume wa sasa hawaeleweki
-Nakula ujana au bado sana kuwa na mpenzi.

Lakini ikitokea ukapiga shows kwake/kwa wasemao maneno hayo; mtafutano si wa nchi hii.
Yaani utafikiri wasiojulikana wanavyowatafuta wapinzani au members wa JF.

Husababishwa na nini hiyo?
 
Kila nikitongoza mrembo anataka nimuoe hata nikienda kwa wale wauzaji nao wanataka mahusiano yaendelee ...nifanyeje mkuu?
ukiwa unatongoza wanawake walio na umri mkubwa sana na hawajaolewa basi hicho ni kitu cha kawaida.

ndoa zimekua adimu siku hizi, wanawake wanapishana milangoni kwa waganga kuzisaka.

cha muhimu ukipata unaempenda sio mbaya ukamuoa. ndoa sio crime, usiiogope sana.
 
Kwanini mawifi automatic huwa hatupendani?
zipo sababu nyingi sana, ila sababu kubwa na common sana ni tabia ya wanawake kujiona wapo bora zaidi ya wanawake wengine. najua hapa itakua ngumu kwa wewe ku connect dots, ila niamini, pale unapoanza tu kuhisi mwanamke mwenzako ni bora (superior) kuliko wewe basi kuna ka wivu flani kanakuja ambako hako ka wivu ndo kana sababisha musipendane.

na hii sio kwa mawifi tu, hata kwa marafiki, mashosti nk.
kuna wengine machoni wanachekeana, ila moyoni wanachomana visu.
 
ukiwa unatongoza wanawake walio na umri mkubwa sana na hawajaolewa basi hicho ni kitu cha kawaida.

ndoa zimekua adimu siku hizi, wanawake wanapishana milangoni kwa waganga kuzisaka.

cha muhimu ukipata unaempenda sio mbaya ukamuoa. ndoa sio crime, usiiogope sana.

Mkuu me kunademu angu anakataa kunipa gemu anasema mpaka ndoa saiv ni zaod ya miez mitatu yan hataki kabsaaa
 
Nini mwanamke anachotaka ili sasa atuli tuli kwa mtu wake?
hakuna mahala niliposema kuwa wanawake wote wapo similar.
kila mwanamke ana vitu vyake binafsi anavyotaka.
hili swali lako lipo too general, women aren't simple as you think.
mie nlitegemea utanipa some hints juu ya huyo mwanamke kisha nitumie saikolojia yangu kumchambua.
 
Huwa najiuliza why wanawake wanaweza kuolewa na mwanau.e mmoja na maisha yakaenda, ila why wanaume hawawezi kuoa mwanamke mmoja na maisha yaende smooth, ila kwa mchepuko mnaweza kusubiriana akichomoa huyu na wewe unaingiza
 
mpenzi wangu ajui kupet pet, ananipeleka kijeshi sana, akikosea, nimnuno hadi mimi ndiyo nimuombe msamaha, nifanyaje?
 
Saikolojia inasemaje kwa mwanamke mwenye kazi yake akiolewa na mwanaume mbwiga (mbangaizaji), ndoa itadumu kweli?
inategemeana na huyo mwanamke husika.

na pia to some extent itategemea namna gani huyo mwanamme mbangaizaji anavyomu-handle huyo mkewe.

takwimu zinaonesha kuwa ndoa nyingi za namna hii huwa hazidumu sana. na utastaajabu ukisikia kuwa wanaume wenyewe ndio wanaamua kutoka wenyewe katika ndoa za namna hii kuliko wanawake.

ila zipo baadhi ya ndoa za namna hii ambazo hudumu milele.
 
Ninapomtongoza mwanamke; huwa najibiwa:
-Siko tayari kuolewa
-Mapenzi ya sasa pasua kichwa
-Wanaume wa sasa hawaeleweki
-Nakula ujana au bado sana kuwa na mpenzi.

Lakini ikitokea ukapiga shows kwake/kwa wasemao maneno hayo; mtafutano si wa nchi hii.
Yaani utafikiri wasiojulikana wanavyowatafuta wapinzani au members wa JF.

Husababishwa na nini hiyo?

vitu vingi vinaweza kuwa sababu, pia hutofautiana baina ya hao wanawake (sio wote wakawa na sababu moja)

miongoni mwa sababu hizo ni
  • Kiasi unacho tip baada ya show
  • namna unavyo mgharamia/kumjali
  • Hapo mwanzo alikua akisema hivyo ili umuone mgumu, na sio malaya.
  • kapenda show unayopiga
 
Ninapomtongoza mwanamke; huwa najibiwa:
-Siko tayari kuolewa
-Mapenzi ya sasa pasua kichwa
-Wanaume wa sasa hawaeleweki
-Nakula ujana au bado sana kuwa na mpenzi.

Lakini ikitokea ukapiga shows kwake/kwa wasemao maneno hayo; mtafutano si wa nchi hii.
Yaani utafikiri wasiojulikana wanavyowatafuta wapinzani au members wa JF.

Husababishwa na nini hiyo?
 
nakubaliana na wewe kwa kuamini kuwa wanawake wapo complex sana.
ila haimaanishi kuwa haiwezekani kuwasoma na kuwaelewa
Hivi complexity yetu ladies iko wapi? Ama katika vipengele vipi? Kwangu, wanaume ndo hamueleweki. Kama lady anaamua kumhandle with care mahabuba wake, na hata kwenye show atasimamia had kucha, bado hapa hapa jf mnasema mwanaume kamili lazima awe na mpango wa kando, na mnasapoti hili. Ktk situation hii nani ni complex zaid ya mwenzie? Mnatuonea bure wanawake
 
"A thinnest book that a man doesn't know is all about women"
Father of African Literature
 
mpenzi wangu ajui kupet pet, ananipeleka kijeshi sana, akikosea, nimnuno hadi mimi ndiyo nimuombe msamaha, nifanyaje?
kuna vitu vingi ambavyo kwa namna moja au nyingine husababisha mpenzi wako awe namna hiyo
  • huenda ikawa na malezi alio lelewa.
  • mazingira aliokulia
  • Au ni personality yake tu
cha muhimu ni kukaa na kuongea nae kwa utaratibu wa hali ya juu. anza kidogo kidogo, sio unakaa nae alafu unaanza kumshushia list nzima ya weakness zake. hapo utampoteza mazima.

pia kama unampenda, sioni sababu ya wewe kushindwa kusema "samahani", if that is all it takes to make her happy.

unajua ili relationship iwe inaenda smooth, patners inabidi wawe wanavumiliana madhaifu yao (hakuna alie kamilika). hapo umemuangalia yeye kwenye viatu vyake, hebu jaribu kuviangalia na vya kwako, je visafi ?.
 
Back
Top Bottom