SK2016
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 8,077
- 13,936
Ninapomtongoza mwanamke; huwa najibiwa:
-Siko tayari kuolewa
-Mapenzi ya sasa pasua kichwa
-Wanaume wa sasa hawaeleweki
-Nakula ujana au bado sana kuwa na mpenzi.
Lakini ikitokea ukapiga shows kwake/kwa wasemao maneno hayo; mtafutano si wa nchi hii.
Yaani utafikiri wasiojulikana wanavyowatafuta wapinzani au members wa JF.
Husababishwa na nini hiyo?
-Siko tayari kuolewa
-Mapenzi ya sasa pasua kichwa
-Wanaume wa sasa hawaeleweki
-Nakula ujana au bado sana kuwa na mpenzi.
Lakini ikitokea ukapiga shows kwake/kwa wasemao maneno hayo; mtafutano si wa nchi hii.
Yaani utafikiri wasiojulikana wanavyowatafuta wapinzani au members wa JF.
Husababishwa na nini hiyo?

