Saikolojia: Niulize chochote kuhusu wanawake

Saikolojia: Niulize chochote kuhusu wanawake

Sasa unafikiri ukipiga show ile wanaita one for the road.... kwanini mwanamke asikutafute. ..... hapo hata kuhonga atakuhonga ili tuu ukarine asali tena na tena Hehehehehehehe

Hapana chezea chezea kinembe kinasababisha nguvu kubwa ya uvutano.

Kasie Mahaba.
Upo? I miss your comments with english..[emoji2]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kweli kabisa chief..
unaweza kumwambia tule nn leo....atakwambia chagua ww, ss kila utakachochagua atakwambia hapana hahahaa hapo ndio wanaume tunabaki tunajisemea moyoni tu hahahaha

Dah aisee mbona huyo kama mpenzi wangu kabisa. Ananiboaga kinoma yani. Anakupa uhuru uchague kisha utachochagua ataanza tena kulalamika kwamba ni kibaya. Mi huwa nachoka man naamuaga kumpa uhuru achague yeye ili akianza kulalamika kiduanzi nimuwashe vibao.Jana nimezunguka mitaa kibao natafta nyumba mpya tuhamie na hiki ndicho kilichojiri.

The 1st house akaikataa ambayo ndio ilikuwa most preffered by me kisa tu haina perving blocks nje, 2nd house akaikataa, third akaipenda, bahati mbaya ya 3 aliotaka ikawa ishachukuliwa ila location ya nyumba ni nzuri pembeni kulikuwa na apartment nyingine nkamwambia tuichukue hio akagoma tena. Hivyo tukaendelea zunguka, 4th akaikataa pia ila 5th akaipenda sana shida haikuwa na nafasi ya parking akaikataa.

Katika mzunguko wote huo mwisho wa siku akaanza tena kunipa choice nchague mie ninataka ya wapi. Nikamwambia the 1st house. Tukaanza lumbana tena nkamwambia haya basi tuingie nyumba ilioko on the opposite na ya 3 akagoma kata kata ikabidi kwa upole nimwambie mama ushanichosha sasa hueleweki aisee. Unaniyumbisha mno so will go with the first house wether you like it or not.

Akakubali tu kiroho safi,,ila ukichek mda tuliopoteza huo tungekuwa tumesettle deal mapema mno! Wanawake huwa hawajielewi kabisa.
 
Dah aisee mbona huyo kama mpenzi wangu kabisa. Ananiboaga kinoma yani. Anakupa uhuru uchague kisha utachochagua ataanza tena kulalamika kwamba ni kibaya. Mi huwa nachoka man naamuaga kumpa uhuru achague yeye ili akianza kulalamika kiduanzi nimuwashe vibao.Jana nimezunguka mitaa kibao natafta nyumba mpya tuhamie na hiki ndicho kilichojiri.

The 1st house akaikataa ambayo ndio ilikuwa most preffered by me kisa tu haina perving blocks nje, 2nd house akaikataa, third akaipenda, bahati mbaya ya 3 aliotaka ikawa ishachukuliwa ila location ya nyumba ni nzuri pembeni kulikuwa na apartment nyingine nkamwambia tuichukue hio akagoma tena. Hivyo tukaendelea zunguka, 4th akaikataa pia ila 5th akaipenda sana shida haikuwa na nafasi ya parking akaikataa.

Katika mzunguko wote huo mwisho wa siku akaanza tena kunipa choice nchague mie ninataka ya wapi. Nikamwambia the 1st house. Tukaanza lumbana tena nkamwambia haya basi tuingie nyumba ilioko on the opposite na ya 3 akagoma kata kata ikabidi kwa upole nimwambie mama ushanichosha sasa hueleweki aisee. Unaniyumbisha mno so will go with the first house wether you like it or not.

Akakubali tu kiroho safi,,ila ukichek mda tuliopoteza huo tungekuwa tumesettle deal mapema mno! Wanawake huwa hawajielewi kabisa.
hahaha [emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana chief....ndio maana wakati mwingine ni bora kuamua tu alafu unakuja kumpa taarifa, wanachosha sana.
 
Dah aisee mbona huyo kama mpenzi wangu kabisa. Ananiboaga kinoma yani. Anakupa uhuru uchague kisha utachochagua ataanza tena kulalamika kwamba ni kibaya. Mi huwa nachoka man naamuaga kumpa uhuru achague yeye ili akianza kulalamika kiduanzi nimuwashe vibao.Jana nimezunguka mitaa kibao natafta nyumba mpya tuhamie na hiki ndicho kilichojiri.

The 1st house akaikataa ambayo ndio ilikuwa most preffered by me kisa tu haina perving blocks nje, 2nd house akaikataa, third akaipenda, bahati mbaya ya 3 aliotaka ikawa ishachukuliwa ila location ya nyumba ni nzuri pembeni kulikuwa na apartment nyingine nkamwambia tuichukue hio akagoma tena. Hivyo tukaendelea zunguka, 4th akaikataa pia ila 5th akaipenda sana shida haikuwa na nafasi ya parking akaikataa.

Katika mzunguko wote huo mwisho wa siku akaanza tena kunipa choice nchague mie ninataka ya wapi. Nikamwambia the 1st house. Tukaanza lumbana tena nkamwambia haya basi tuingie nyumba ilioko on the opposite na ya 3 akagoma kata kata ikabidi kwa upole nimwambie mama ushanichosha sasa hueleweki aisee. Unaniyumbisha mno so will go with the first house wether you like it or not.

Akakubali tu kiroho safi,,ila ukichek mda tuliopoteza huo tungekuwa tumesettle deal mapema mno! Wanawake huwa hawajielewi kabisa.
Muda mwingine tunahitaji kufanyiwa maamuzi hatujuagi kuamua on the spot
 
..
book-women.jpg
 
kwa nini wanawake wanapaka make up,na wanaume hawafanyi hivyo...?LOL

kwa nini mama wa kambo wanakua wakali sana kwa watoto??

ni kweli wanawake tunachukia watu waliotubikiri???

ni kweli ni rahisi kwetu 'kukumbushia' game na watu waliokua wapenzi wetu??? WHY ?lol
hahaha Rebecca nshamsoma long ni psychologists ila anakusoma na ww tu kma n kwel humo au umejibatiza?
 
Yani unawajua wanawake!!?...usinichekeshe!ndo maana huwa nawashangaa watu ambao kutwa kuuliza ushauri kuhusu wanawake wao!...
 
Mr Psychology Sir andika Kiswahili tu. Mbona tunakuelewa vizuri tu.
 
Back
Top Bottom