Saikolojia: Niulize chochote kuhusu wanawake

Saikolojia: Niulize chochote kuhusu wanawake

Mleta Uzi unisaidie kwenye hili tafadhali nini huwa kinafanya wanawake wengi kumis hali ya ugomvi na kuwa wachokozi kwa wenza wao ilimradi tu kaugomvi katokee
Sababu kuu ni kuwa iddle kunako pelekea upweke (loneliness).
 
hahaha [emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana chief....ndio maana wakati mwingine ni bora kuamua tu alafu unakuja kumpa taarifa, wanachosha sana.
Aisee ndio maana watu hujifanyia yao kisha lawama mbele kwa mbele!
 
Why wanawake wako weak Sana kwny vyakula? Ilinipa shda kunipa nafas ya kuongea nae lkn nkaanza kumpelekea vyakula ,vinywaj na n.k had sasa anakja room mwnyewe hawa mabinti
Ukitambua kwanini Eva alidanganywa kirahisi kula epo bustani ya Eden ndipo utajua kwanini ni rahisi sana kwa mwanamke kudanganywa kupitia vyakula.

Mfano mwepesi hongo ya chips kuku imepelekea kuongezeka kwa lindi kubwa la mimba za wanafunzi na hata single mothers huku wale wabishi wakijikuta wamefanya abortion bila kutarajia.
 
Mkuu me kunademu angu anakataa kunipa gemu anasema mpaka ndoa saiv ni zaod ya miez mitatu yan hataki kabsaaa
duuuhh " hivi watu wenye uvumilivu huo kama nyie bado mpo ..ktika sayari hii""?
 
Huwa najiuliza why wanawake wanaweza kuolewa na mwanau.e mmoja na maisha yakaenda, ila why wanaume hawawezi kuoa mwanamke mmoja na maisha yaende smooth, ila kwa mchepuko mnaweza kusubiriana akichomoa huyu na wewe unaingiza
hahahaaa hapo sasa ...but jibu ni rahisi tu "" kwamchepuko weweza kuwa unafuata ngono na kwa mkeo unafuata upendo "
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kweli kabisa chief..
unaweza kumwambia tule nn leo....atakwambia chagua ww, ss kila utakachochagua atakwambia hapana hahahaa hapo ndio wanaume tunabaki tunajisemea moyoni tu hahahaha
hatari sana Hawa watu
 
Mim kina vitu huwa nafanya Mr anafooka alafu badae nakaa najitafakari hivi nilifanya nn najicheka mwenyew,,kina ile ya kumisi kugombana na mtu basi utamchokonoa mwanaume mradi tu mgombane hapo roho kwaatu,,yani mwanamke wacha kabisaa
kuna demu mmoja alishawahi kunikorofisha ..basii tukacharuana katika text ile mbaya...but keshi yake ...akaniambia nili miss tu kugombana na mtu "" geeez
 
Kwa nn mwanamke ukimwambia ukweli , kwamba k inanuka au umeanza kuchanganya shahawa, anakasirika!
 
Siku utakayojua kuwa Mwanamke anataka nini yawezekana ndio siku utakayokufa.
 
Ninapomtongoza mwanamke; huwa najibiwa:
-Siko tayari kuolewa
-Mapenzi ya sasa pasua kichwa
-Wanaume wa sasa hawaeleweki
-Nakula ujana au bado sana kuwa na mpenzi.

Lakini ikitokea ukapiga shows kwake/kwa wasemao maneno hayo; mtafutano si wa nchi hii.
Yaani utafikiri wasiojulikana wanavyowatafuta wapinzani au members wa JF.

Husababishwa na nini hiyo?
mtafutano si wa nchi hii.😀😀😀😀😀😀
 
Kwa nn mwanamke ukimwambia ukweli , kwamba k inanuka au umeanza kuchanganya shahawa, anakasirika!
kuna mmoja nili mchana kuwa K yako ime change sana sio kama nilivyo kuacha pamoja na titi sime anza kuwa ndala akaanza kulia akasema ni sidiria nikamuuliza na chini akasema hajui. huku amezima simu niliposhika simu yake kuiwasha mamaaa.
 
Hahahahah,,,utaskia this man is so boring! Akimpata huyo asshole atalia kinoma ati you dont even give me your time and listen to me. Cha ajabu atasalitiwa and she will still be there to stay just whining on her female friends ila hakuachi.
ukiwa understand guy unaonekana mjinga....ukiwa mkorofi utaonekana mnyanyasaji hahaha kazi kweli kweli.View attachment 776114
 
Back
Top Bottom