Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,824
kwahyo ss wabahiri tufanyaje ss?!Ndo hivyo nimewafunulia siri mjue,sio mnakuja kulalamika huku kila nikifanya na mbebez anachelewa kufika kumbe tatizo ndo hilo.![]()
kwahyo ss wabahiri tufanyaje ss?!Ndo hivyo nimewafunulia siri mjue,sio mnakuja kulalamika huku kila nikifanya na mbebez anachelewa kufika kumbe tatizo ndo hilo.![]()
Ndo mvumilie tu kukosa ushirikiano wakati wa mechi!kwahyo ss wabahiri tufanyaje ss?!
Sawa. Wacha aje mtaalam tuchukue tips.Wanawaelewa sana tu.
AiseeNdo mvumilie tu kukosa ushirikiano wakati wa mechi!
Kakitabu kenyewe kana page nne si bora unipe no yako nikupigie nikueleze tuuToeni na kitabu on how to understand men. Mtusaidie na sisi
Hahahaha! Unavyoumiza kichwa sasa,kwahyo ss wabahiri tufanyaje ss?!





Ngoja mleta Uzi ajibu
muwe mnathurumia ss....muangalie na muda wa kuanzisha hizo fujo, tunachoka aisee!
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app

Hahahaha tunaelewa lakin hatujui tatizo nnHahh
Asante kwa swali. Kumbe mnajijua!
Hahahaha! Unavyoumiza kichwa sasa,
Ni hivi:-
Ku cum ni hisia, kama mwanamke hana hisia kwako kwa siku hiyo, ni ngumu sana kumfanya acum, labda acum kwa taswira ya mwingine anayemfeel***** ( Ukiondoa mambo ya Stress)
Vinginevyo labda aamue kufake KILELE![]()


kwahyo pesa zinawapa hisia kwetu?ngoja tumsubiri hapa...Ngoja mleta Uzi ajibu![]()
![]()
![]()
Unaweza jitoa ufaham na bado usituelewemm hata sitaki kuwajua....nimeupenda huu uzi maana najua nitacheka sana, hahaha
kuwajua nyie aisee inabidi kujitoa ufahamu
Hahaha haishindikani wew ndo ukawa mwenye maliyangu huhuhu haya mambo bhana nimecheekaPossibly wewe ndie Mke wangu. Maana unavyojieleza ni copyright![]()

Sisi wenyew hatujui why,,mi huwa nalianzisha alafu badae nakaa natafakari najicheka na kujiona fala labda huyo anaetujua zaid atuambieIli swali linajibika zaidi na wanawake. Ebu tusaidieni
Kakitabu kenyewe kana page nne si bora unipe no yako nikupigie nikueleze tuu

Kila mwanamke anapenda anachopenda kwa mwanaume, mwingine anapendea pesa, mwingine muonekano (unadhifu, mambo ya body, sura) na sifa nyinginezo..kwahyo pesa zinawapa hisia kwetu?
HahahahhaSawa. Wacha aje mtaalam tuchukue tips.
